Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Zola says if Cesc Fabregas plays tomorrow he's sure he will deliver a good performance. #CHEFOR
 
Chelsea are close to offloading Alvaro Morata to AC Milan on loan, allowing Gonzalo Higuain to complete a loan move to Stamford Bridge, with a view to a permanent deal in the summer
Source: The Sun

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli kabisa mkuu..sky sport ndiyo source ya uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa na skysport inabidi wawe ovyo, maana katika skysport kuna section ya paper talks na Sun ni moja ya gazeti habari zake zinakuwa listed kwenye mtandao wao. Anyway, a gossip is a gossip and has to be taken as a gossip regardless of the paper it is coming from

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo hapo
Mimi ni Sky Sports au BBC.
Screenshot_20190105-131135~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani katika maisha yako ya kufuatilia soka usije kuchukua habari za The sun serious .
Chelsea are close to offloading Alvaro Morata to AC Milan on loan, allowing Gonzalo Higuain to complete a loan move to Stamford Bridge, with a view to a permanent deal in the summer
Source: The Sun

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulishajifunza mkuu, sasa hivi tunahakikisha concentration ni kubwa.
Naona kule jukwaani kwenu watu Wana uhakika 100% kuchukua EPL as if wameanza kufuatilia EPL msimu uliopita , unaukumbuka msimu wa EPL 2011/12 , ule msimu kombe liliamuliwa dakika za nyongeza Mzee Fergie akabaki kukuna macho tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kule jukwaani kwenu watu Wana uhakika 100% kuchukua EPL as if wameanza kufuatilia EPL msimu uliopita , unaukumbuka msimu wa EPL 2011/12 , ule msimu kombe liliamuliwa dakika za nyongeza Mzee Fergie akabaki kukuna macho tu..

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakumbuka ile City na QPR kama sijakosea.

Kazi bado ngumu sana, confidence tuliyonayo ni kwa sababu ya strong defense tuliyonayo. Inatupa amani kiasi.
 
Kwanza niseme wasomaji wengi almost 70+ % wanapenda Gossip (Tetesi) na ndio maana mitandao na media maarufu duniani wanapenda kutumia tetesi zaidi kama njia ya haraka kuwasilisha hidden news. Tetesi ni upashanaji wa taarifa kabla tukio halijatokea au limetokea lakini taarifa zimefichewa na wahusika. Na by nature taarifa nyingi hasa za usajili ni confidential ili competitors wasitumie mgongo wako kubenefit. Hivyo kuitoa taarifa za kiinteligensia kwa mfumo wa tetesi ndio cheap way ya kupasha habari. Sio kwamba taarifa za tetesi zote ni za uongo, hata kama hilo tukio halikutokea haina maana taarifa ilikuwa ya uongo. kuna media zingine zinapata taarifa kutoka kwenye reliable sources na wengine wanatumia secondary and wengine third party sources hawa wa third party mara nyingi tetesi zao ni za uongo au karibu na uongo.

Njia rahisi ya kujua kuwa hizo tetesi zina ukweli ndani yake, soma kwa kuswap between media angalau 5-7, wote wakielezea kwa style ile ile ina maana tetesi ina ukweli ndani yake
Kwa hii habari ya Higuan ni za kweli kwa 80% kwa sababu zimeongelewa repeatedly na media nyingi maarufu. Labda deal isimature kwa sababu Juventus ni lazima waidhinishe hiyo swap deal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom