Kuna Siku mimi niliyokwambia Liverpool bingwa???
Fukua Makaburi uilete hiyo post niliyowahi kukwambia Kuwa Liverpool Ni Bingwa.
Ivi unadhani anachokisema Malafyale ndiyo anatuwakilisha sisi site?
Halafu juu ya kuwa umejua Mpira 2010, lakini hiyo elimu yako ndogo uliyonayo juu ya Mpira ndiyo inakufundisha kuwa Ukidraw na Arsenal Ndiyo Mwisho Wa Safari?
Sasa kama kudraw na Arsenal ndiyo Huna timu, Je uliyedraw na West Ham tukuite vipi?
Mimi sina timu ya Kutwaa Ubingwa that is why Points 27 tulizonazo Ni za Mezani tumezipata Kwa Rufaa hatukushinda.
Na kwenye Michezo 11 tulitocheza nadhani tumefungwa Michezo 6 kati ya hiyo that is why tunashika Mkia kwenye Relegation zone.
Jifunzeni Kuujua Mpira musiwe wabubusa kila Siku.
Mimi sio size yako bora Nikuache ngojea waje Size yako kina Malafyale ujibizane nao.