Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kila la Kheri na Europa League yenu...
All the best kwenye Champions league finalKila la Kheri na Europa League...
Acha mbwembwe wewe kilichotokea ni matokeo ya mpira. Usijikute wewe ndio mtabiri.Tayari umeshadonolewa Kimoja...
Nazani ukifukua Makaburi utaiona Post yangu humu Kuwa Niliwaambieni Kuwa Benitez Ni Legend Wa Liverpool hatowaacha Salama Mukanibishia..
Ndugu mchambuzi ndo kashasema tena... Sisi hatuna kinyogo naoAcha mbwembwe wewe kilichotokea ni matokeo ya mpira. Usijikute wewe ndio mtabiri.
Sasa kwa taarifa yako. Chelsea huwa hana rekodi nzuri kwa Newcastle hata kabla ya Benitez kufika pale.
Hakuna mchambuzi hapoNdugu mchambuzi ndo kashasema tena... Sisi hatuna kinyogo nao
Umri wangu mdogo Sana miaka 30 sijawahi kuona team inayoitwa Liverpool ikichukua epl Labda Liverpool ya Colombia au Bolivia
MmhHii Game Ya BHA tunacheza Anfield Wakati Wewe Muda Huohuo unacheza Away na Newcastle (RAFA BENITEZ).
Hii Mechi Yetu Sisi Home Hatutakuwa Na Pressure Ya #CL tofauti Na Mbili Zilizopita (WBA & Stoke) ambazo tulikiwa na Pressure Ya Roma Katikati huku Wakiwa Wanataka Kujinasua Kushuka Daraja.
Lakini Hawa BHA wako Safe hawana Pressure ya Kushuka Daraja wala Kugombania [HASHTAG]#Europa[/HASHTAG]! Kwahiyo Ni Game easy Kabisa.
Nakukumbusha tu Kuwa Una Newcastle away! Ni game Ngumu Hii Kuliko unavyodhania!!!
Matokeo fair kabisa kwa kocha kumuondoa Costa na kuruhusu matic kuondoka ,naye pia ataondoka team hii mwakani utajiuliza ilikuwa wapi. City amestahili kavunja karekodi ketu 95 point mwisho kabisa baada ya kuona Gabriel Jesus akitupia ndio nimejua kwanini Brazil kijana ni first eleven firmihno akisubiri .mpira hauitaji hasira
Mi naona hao kina Hazard, Morata, Kipa, Luiz, Pedro waondoke tu
Epl ina mpunga mrefu kuliko UCLLkn umewahi waona wanachukua ule mndoo mkubwa wenye malipo makubwa wa UCL?
acha masihara mkuu ujue inafurahisha sana na kuuma kwa pamoja daaaaaaah LONDON CLUBSWhile...... Europa League: Svhjkf vs Chelsea 03:05 GMT
Venue: Afghanistan