Awali Chelsea walikuwa na tatizo la mshambuliaji anayeishi ndani ya box. Batshuay alikuwa na Kaliba hiyo kwa mbaali japo naye mfumo ulimfanya awe anacheza zaidi nje ya box.....Hivi kati ya batshuai na geroud nani mzuri jamani?
Kwa wanaomfahamu huyu bwana Kaka nadhani watakuwa wanajua Chelsea wamepata Nini..... Huyu Ni versatile player(kiraka). Ceser Azzipcueta ni aina ya uchezaji wa Emerson.... Natural Ni mhudumu wa upande wa kushoto. Upande ambao Ndio upande wenye hatari na ubora zaidi kwa Chelsea..... Yupo Marcos Alonso upande ule ila pia yupo Eden Hazard mbele ya Alonso.![]()
Emerson Palmieri..
![]()
![]()
Wewe ni mtu wa nne humu jf unanichekesha leo hahahaaaGiroud mzuri.atawasaidia kuchukua EUFA.![]()
Angempata na P.Crouch,wangebeba trebleWewe ni mtu wa nne humu jf unanichekesha leo hahahaaa
Hahahahaa aya bhana ngoja nisubiri kuangalia lishetani(sanchez) litakavyotekeleza majukumu yake leo.Angempata na P.Crouch,wangebeba treble