Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu tulia kwanza, mechi mbili tu......inatakiwa akae kama mechi 5 ili akiingia uwanjani aweze kuwajibika ipasavyo, unajua Fabrigas ni mzembe sana siku hizi.

Akipokonywa mpira wala ashughuliki kupokonya mpira wengine. Kwanza hawawezi kucheza wote 23 at the same time.

Hivi unaangaliaga mpira kweli??! hivi Pedro na fab nani anakaba zaidi? .............

halafu usijibu! post kama mtoto wa kike" utaolewa shauri yako!" nani kasema anataka wacheze wote 23"
 
Hivi unaangaliaga mpira kweli??! hivi Pedro na fab nani anakaba zaidi? .............

halafu usijibu! post kama mtoto wa kike" utaolewa shauri yako!" nani kasema anataka wacheze wote 23"

Mkuu mechi naangalia sana, kwani Pedro na Fab wanacheza position sawa? ndiyo maana nikasema kwa mechi 10 za karibuni alizocheza Fab amekua mzembe sana na mbaya zaidi hakuweza kujituma uwanjani.
 
Mkuu mechi naangalia sana, kwani Pedro na Fab wanacheza position sawa? ndiyo maana nikasema kwa mechi 10 za karibuni alizocheza Fab amekua mzembe sana na mbaya zaidi hakuweza kujituma uwanjani.
tena amekuwa mzito kukimbia, kanenepa kawa kibonge na akipokonywa mpira hakabi.
 
3785DF8F00000578-0-image-a-46_1471980363236.jpg


Michy Batshuayi marked his full Chelsea debut with a goal after half an hour in the EFL Cup tie against Bristol Rovers
 
  • Thanks
Reactions: Lee
3785C47F00000578-0-image-a-24_1471979034949.jpg


Belgian striker Batshuayi scored coming off the bench at Vicarage Road and was handed his full debut at Stamford Bridge

3785CD3400000578-0-image-a-29_1471979385657.jpg


The summer arrival from Marseille, Batshuayi, was very bright in the first half of the EFL Cup tie against Bristol Rovers
 
3785E70400000578-0-image-a-50_1471980378918.jpg


Moses doubled the lead soon after Chelsea's opener, converting from close range after Cesar Azpilicueta put it on a plate

3785F6E300000578-0-image-a-64_1471981208247.jpg


Just before the break Batshuayi slid home Chelsea's third goal after he was teed up by Loftus-Cheek's low cross

37860D7E00000578-0-image-a-73_1471982272710.jpg


Blues centre half Gary Cahill surveys downfield with the ball at his feet as he looks to play out from the back

378616C600000578-0-image-a-81_1471982333400.jpg

http://ec.tynt.com/b/rf?id=bBOTTqvd0r3Pooab7jrHcU&u=DailyMail
Loftus-Cheek is trying to establish himself in the Chelsea first team this season, here he shoots at the Rovers goal

37862BED00000578-0-image-a-89_1471983677850.jpg


Fabregas gets his head to the ball under pressure from Ollie Clarke and Sinclair as the League One continued to battle

3786503200000578-0-image-a-92_1471984056433.jpg


Matic tries to extend Chelsea's lead in the second half as Rovers captain Tom Lockyer looks to make a block
 
MTAZAMO WANGU JUU YA MECHI HIYO:

- Azpilicueta anacheza vizuri zaidi akiwa kushoto kuliko akiwa beki wa kulia.

- Ivanovic anaonekana mdhaifu (sikatai kuwa ana udhaifu) ila hasa kwa sababu ya udhaifu wa Cahill kushindwa kuusoma mchezo haraka. Angalia Terry anavyocheza...Hata Azpilicueta akipitwa ni mara nyingi sana Terry anakuwa amefika na kusaidia kuondoa hatari langoni tofauti na Cahill kumsaidia Iva. Lakini hasa kwa game ya jana..naamini ni dharau, midfielders (esp Matic) hawakuwa alert kurudi nyuma walikazana sana ku attack kiasi kwamba mabeki walifanya kazi sana.

- Loftus Cheek anahitaji kukubali kuwa sio mfungaji mzuri. Akijua na kukubali hilo basi atakuwa na assist nyingi sana za magoli....aache uchoyo!

- Tukitaka Costa afanye vizuri (zaidi) basi tuchezeshe 4-4-2 na hapo mbele acheze na Batshuayi. Nasikitika sana kwa nini walimpeleka dogo Traore kwa mkopo. sana yani...

- Tunahitaji MNO (Vibaya Sana) kununua beki - mkabaji na Left Back) maana tunao wachache mno na Ola Aina aliumia.

- Pedro! Duh sijaona kiwango chake aisee...

- Victor Moses..very disciplined play! I love him...
 
Mkuu mechi naangalia sana, kwani Pedro na Fab wanacheza position sawa? ndiyo maana nikasema kwa mechi 10 za karibuni alizocheza Fab amekua mzembe sana na mbaya zaidi hakuweza kujituma uwanjani.
kwa hiyo kutocheza position sawa ndio haifai kuwalinganisha wanavyokaba, wote kw pa1 wanatakiwa wautafute ............
 
Kuna na hawa watatu:

Napoli's Kalidou Koulibaly, Kostas Manolas of Roma and Juventus centre back Leonardo Bonucci have all been targeted but none of the moves have come off.

Ofa zilitumwa au walikuwa wakiwatamani tu!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom