Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tafadhali Chelsea msiniharibie show,yaani hapa Nina chakula ya kufa mtu ,msiwacheleweshe Hawa watoto kuwa washindi kwangu mimi jana ilikuwa ni aibu tu mtoto kuchezea naniihiii za baba yake
 
Mikel na Matic hawajawahi kucheza pamoja tukashinda mechi...leo ni nini cha maajabu watafanya!???
 
We had but one job only...

93a46b0d18b45d419cdf8647be312c50.jpg
 
Pedro out

Hazard in

Ningefurahi kama angemtoa Mikel
 
Kama tunatafuta hata draw....toa Costa weka Traore.

Toa Mikel weka Kennedy/Loftus Cheek
 
Poleni watani
Naona siku hizi mmekuwa kama Gooners. Hebu wekeni heshima mtoe japo draw tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom