Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na La 3 hiloooo daaaa inauma sana ila bado kuna watu wanamtetea Mo

Halafu Maureen kadata...yaani kamtoa Matic aliyemwingiza tu kipindi cha pili 😳😳😳
 
1443895009630_lc_galleryImage_LONDON_ENGLAND_OCTOBER_03.JPG

1443895024678_lc_galleryImage_Football_Chelsea_v_Southa.JPG

Majuto mjukuu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
eeeeeeeeeeeeeeeee huyu Pele katoka wapi? kabooommmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
 
Inabidi mwongeze umakini zaidi, kama mnataka kuwa kama #ManUnited

Labda sijakuelewa unamaanisha nini? Mnataka kuwa kwenye nafasi ya pili au kwanza? Au mnataka kuwa na vikombe 20 vya EPL?!?


Kachanganyikiwa huyo....atakuwa anachanganya man utd na newcastle united maanake wapo karibu na moja ya timu zenye neno united....!
 
The Met Police have issued a missing persons appeal for a Spaniard called Cesc Fabregas who was last seen in London 2 hours ago. Absent.

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mourinho ameanza kupack bag. Poleni majirani. Terry muuzeni USA na Ivanovic pia na Fabrigas. kwi kwi kwi
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Laaziz Everlenk na Cute b njooni msibani kwa Ntuzu mumpe pole ..Pelle kaua huku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom