Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Bado lukaku na yule mamvi. Dah leo tunaweza kulala zaidi ya 3.
Aiseeee chelsea shida iko wapi? Me sielewi kabisa
Duh long time sijafika huku mrs. mcharo wangu everlenk upo salama lakini!??? Hata mimi nilistaafu soka kwa muda. Wikiendi hii tunaenda kumfundisha soka Lukaku. Nakwambia hadi John Stones atajuta kwa nini hakujiunga na sisi...
#vivaChelsea
Nimechelewa kuleta habari maana najua hamwangalii tivii.
Ni 1-0
Rentboys are in trouble