Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata ww unajua sasa huwezi yazuia Majogoo yasiwike hapo hapo darajani!Nakupiga

we Bournemouth tu iliyopanda daraja umeambulia goli la offside!', sasa utamfunga nani?! ............. looserfools bhana.
 
first-words--baba-rahman.img.png

bora mana naona kama ivanovic kachoka hiviii. BABA acheze tatu Azp arudi namba mbili.

Bado stone! .........R.I.P EPL teams.
 
Mtqchonga sana...he was on our radar too we just didn't publicise it!
Kwa nini Mou ameanza kuwapenda wachezaji wa Barca? Kwa nini hawachomoi kutoka Real Madrid? Anataka kuachana na ku-pack bus?
 
Okay vzr sn.....

Mi nipo kujibu hoja zenu
Ntuzu,
Ile formation iliyotumia Chelsea walipocheza na Miamba ya Man. City inaitwaje?

Mimi niliona mara nyingi wakiwa kwenye straight line kama wachezaji 6-8.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom