Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa heshima zote kwa pulofesa, Wenger si wa level ya Mourinho, ni sawa kuwalinganisha Tyson Vs Pac Man
Watu wa level za Mourinho ni kina SAF, Lippi, Ancelloti

Duh Kiongozi hujamumunya maneno aiseee.... Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote Mkuu.

Kwa jibu lako Ntuzu kafurahi sana kajifanya kushangaa kumbe anachekelea sana....kakuchokoza tu uongee neno.........
 
Last edited by a moderator:
Hatuna pressure yoyote sisi kwasababu matokeo hua tunayajua kabla ya mchezo...kwa mfano sisi tukikutana na timu yoyote ile matokeo ya kwanza ambayo tunayajua ni kutokufungwa....hili tunalijua vzr sn...

😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
 
Vizuri umekumbushia.

Vipi ile mechi na Arsenal? Yule Cahill alisahau kuwa ule ni mpira wa miguu na sio mikono?
Dalili za kazi ya bahasha za Chelseamovich.

Leo inakuuma, unakumbuka mashuti ya ivanovic yalivyokuwa yanazuiliwa kwa mikono na mabeki pinzani au pale bahasha zilikuwa bado? Wachezaji sita ndan ya timu ya mwaka ya PBL bado unakomaa kuwa Chelsea inabebwa. Aisee watu wanachuki za hatar.

Sifia Mkuu hata km inauma, kidonge n kichungu lkn ndo tiba
 
Leo inakuuma, unakumbuka mashuti ya ivanovic yalivyokuwa yanazuiliwa kwa mikono na mabeki pinzani au pale bahasha zilikuwa bado? Wachezaji sita ndan ya timu ya mwaka ya PBL bado unakomaa kuwa Chelsea inabebwa. Aisee watu wanachuki za hatar.

Sifia Mkuu hata km inauma, kidonge n kichungu lkn ndo tiba

Mkuu the say kwani humjui huyu, huyu ni kumwangalia na kumuacha na Akili zake hizo hizo
 
Last edited by a moderator:
Vizuri umekumbushia.

Vipi ile mechi na Arsenal? Yule Cahill alisahau kuwa ule ni mpira wa miguu na sio mikono?
Dalili za kazi ya bahasha za Chelseamovich.

Na vipi kuhusu yule kipa wa asernal alisahau kuwa ile ni soccer badala yake yeye alicheza lagbi kidogo amue Oscar.
 
Kwa jibu lako Ntuzu kafurahi sana kajifanya kushangaa kumbe anachekelea sana....kakuchokoza tu uongee neno.........

katufurahisha wengi tu, ila si kwa sababu ya kumwaga misifa tu, bali kwa vile sifa hizo ni sahihi kabisa. wala hajatoa upendeleo wa aina yoyote.
 
Wakuu mmesikia hizi tetesi?

Big news coming from the British islands. According to The Sun, Real Madrid are going to offer Gareth Bale in swap for Chelsea's Eden Hazard. The report also indicates that Los Blancos have begun talks over Hazard with Chelsea FC.

Although José Mourinho himself ruled out Real's interest in the Belgian star, Zidane's quotes in which he said Hazard was one of the top three best players in the world started this rumor mill that will not stop any time soon. Furthermore, Gareth Bale is also reportedly on Chelsea's radar if Real Madrid finally decide to part ways with the Welsh attacker.

However, these swaps don't work very often. It's always very hard to find a match between what both clubs want, and Chelsea would probably ask for money as well given that Hazard just won the PFA Player of the Year Award. It would be extremely surprising to see this kind of deal getting done, so take this rumor with a grain of salt.

Real Madrid offer Gareth Bale to Chelsea in swap for Eden Hazard - Managing Madrid

Kama hili likitokea sitegemei Maurinho kumuachia Hazard kwa Bale bila kudai walau 50M pounds in addition
 
Wakuu mmesikia hizi tetesi?

Big news coming from the British islands. According to The Sun, Real Madrid are going to offer Gareth Bale in swap for Chelsea's Eden Hazard. The report also indicates that Los Blancos have begun talks over Hazard with Chelsea FC.

Although José Mourinho himself ruled out Real's interest in the Belgian star, Zidane's quotes in which he said Hazard was one of the top three best players in the world started this rumor mill that will not stop any time soon. Furthermore, Gareth Bale is also reportedly on Chelsea's radar if Real Madrid finally decide to part ways with the Welsh attacker.

However, these swaps don't work very often. It's always very hard to find a match between what both clubs want, and Chelsea would probably ask for money as well given that Hazard just won the PFA Player of the Year Award. It would be extremely surprising to see this kind of deal getting done, so take this rumor with a grain of salt.

Real Madrid offer Gareth Bale to Chelsea in swap for Eden Hazard - Managing Madrid

Kama hili likitokea sitegemei Maurinho kumuachia Hazard kwa Bale bila kudai walau 50M pounds in addition


Mkuu hiyo inaweza kua kweli lkn Mourinho hawezi kumuachia Hazard na pia juzi Mourinho aliweka bei ya Hazard kwa timu yoyote ile itakayo mtaka Hazard akasema watoe paund m 100 na mchezaji juu...

Kz kwao ktk hilo dau.
 
De Gear to leave Man U? Hili litakuwa pigo kubwa sana kwa hawa jamaa zetu

According to several British outlets, Manchester United have offered a big €14 million/year contract to David De Gea, who was refused that proposal. Van Gaal is quoted saying this:


Anything can happen, it doesn't depend on me. I'm not the one who decides, I want him to stay, but he will make a decision. You don't have to ask me about it, ask him, because we offered a lot of money.

There are no financial reasons that could lead De Gea to refuse that offer. It seems quite clear that the Spanish goalkeeper wants to join Real Madrid this summer in what would be a great signing for Los Blancos. Only time will tell if what now seems clear becomes reality in three or four months.

Considering De Gea's current contract expires in 2016, Real Madrid could afford his signing for a very reasonable price, although United will surely try to include some players like Bale in the deal.

De Gea refuses Manchester United's €14 million/year offer - Managing Madrid
 
Ningependa kumuona tena mzee mzima Cech golini, ingawa sifurahii kuumia kwa dogo

Thibaut Courtois hip injury concern ahead of Leicester City match

f course, concern may be overstating things when your backup is Petr Cech, but according to Simon Johnson of the Evening Standard, Thibaut Courtois has a hip injury of unknown severity that may keep him out of tomorrow's game at Leicester.


Standard Sport understands that first choice keeper Thibaut Courtois has handed the club an injury scare after suffering a hip problem during the goalless draw against Arsenal.

-source: Evening Standard

Presumably this happened towards the end of the match when the Chelsea goalkeeper landed awkwardly after getting fouled (or at least blocked) by a couple Arsenal players. Courtois recieved treatment on the pitch before finishing out the game.

Should Cech start, it would be his first appearance since the 2-0 win against Spurs in the League Cup final. Courtois had started all eight games since, and has kept three clean sheets on the bounce. Speaking of which, Cech is five short of the Premier League clean sheets record. He's unlikely to catch or break that this season. (Or ever...?)

Thibaut Courtois hip injury concern ahead of Leicester City match - We Ain't Got No History
 
Mkuu hiyo inaweza kua kweli lkn Mourinho hawezi kumuachia Hazard na pia juzi Mourinho aliweka bei ya Hazard kwa timu yoyote ile itakayo mtaka Hazard akasema watoe paund m 100 na mchezaji juu...

Kz kwao ktk hilo dau.

yes niliisikia hiyo ya dau la Hazard paundi 100 kwa kila mguu na mmoja wa wachezaji watatu bora wa Real. of course pound 200 haiwezekani, ila Madrid walivyo machizi wanaweza kukupa Bale na Paundi 100!! jamaa hamnazo wale!!
 
yes niliisikia hiyo ya dau la Hazard paundi 100 kwa kila mguu na mmoja wa wachezaji watatu bora wa Real. of course pound 200 haiwezekani, ila Madrid walivyo machizi wanaweza kukupa Bale na Paundi 100!! jamaa hamnazo wale!!


Ngoja tuone itakavyokua Mkuu.
 
some good news businesswise

Meanwhile, the Blues are set to become the first Premier League champions in over a decade to have recorded a profit in the transfer market. (Metro)
 
some good news businesswise

Meanwhile, the Blues are set to become the first Premier League champions in over a decade to have recorded a profit in the transfer market. (Metro)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom