Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
everlenk asante sn na pole sn kwa kulala...............mchezo ulikua mgumu sn LFC walikua wamekuja vzr lkn MOU amedhihirisha mpk sasa kua yeye ni zaidi ya BR.
Majogoo yalikuwa zamani sa hizi matetea tu kila siku yanapandwaZuuma aliwabania sana majogoo hakuna mpira wala mchezaji wa liva aliyempita kizembe alikaza mwanzo mwisho baloteli ....kwisha habar yake

Nonda hao Man City hamna kitu mkuu!Team iliyo kwenye form sasa kumzuia Mourihno ni Liverpool hasa kama Dan atarudi na Arsenal tu!
Hawa wengine Chelsea anawadunda easily kabisa!City bila Yaya hamfungi yyt yule above .5 teams
hivi nyie wa kumsumbua Chelsea mko nafasi ya ngapi vile??? Chelsea aache kufikiria waliopo getini kwake awafikirie nyie mliopo mtaa wa saba sijui sita huko! keep dreaming
Zuuma aliwabania sana majogoo hakuna mpira wala mchezaji wa liva aliyempita kizembe alikaza mwanzo mwisho baloteli ....kwisha habar yake
Chacha chi unaona Mashabiki koko kono mbele ati kisa wamebahatisha ka goli ks ngsms khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Dogo anakuja vizuri sana. naamini atakuwa replacement mzuri tu wa JT. Nadhani mwisho wa siku atakuwa ni yeye na Cahill pale mwisho. Cahill hakupenda jana kuwekwa bench lakini ndo hivyo! uzuri ukipewa nafasi unatakiwa kukaza ili nafasi ibakuwa kuwa yako. huu ushindani unaongeza ubora wa mchezaji binafsi na timu kwa ujumla
Mkuu tumechemka sana dakika 120 bao 1-0?
Hii ndiyo ilipaswa iwe fainali na Majogoo wameionyesha dunia kama wanajua mpira