Ni matokeo ya mpira hayo, natumai tumepunguza mzigo, maana Mourinho hafanyi rotation ya kutosha ya wachezaji!
 
Asante sn everlenk ni bora tumetolewa ingawa sio km yalikua malengo yetu, lkn hii itasaidia wachezaji wetu kupumzika......

Sizitaki zile!

Zabibu zimekuwa chungu!!!??? Mlikuwa mnaota quadruple. Bradford waliwaonea huruma wakaamua wawape hiyo quadruple jana.

Mnajisikiaje sasa?

Sasa msubiri mkono wa M.City.

Huna hoja wewe Nonda............................

Lete hoja nzito mkuu.

Mkuu Ntunzu ulisema utanitafuta January, vipi January haijafika huko uliko?

Lete tathmini ya mabao 5- 3 ilikuwaje?

link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1058.html#post11533437

Nilikwambia msimu huu huna timu...hukuamini.

Sasa kuna timu nyingine ndio zimeanza kupasha misuli moto ili kuinyonga Chelsea.
 
Watu wameshamjulia ndio maana hana jipya
Msimu 2012/13 hakuchukua kombe lolote katika makombe ma3 aliyokuwa anashiriki akiwa na real Madrid,msimu 2013/14 hakuchukua kombe lolote kati ya mako be ma4 aliyokuwa anashiriki na Chelsea.msimu wa 2014/15 kati ya makombe ma4 moja kabwaga manyanga
Huyu ndie kocha bora ulaya?

Hutaki? Akifungwa mnakuja mbio na vilekod vyenu akishinda mnapotea
 
Mkuu mourinho alipokuwa na Porto alikuwa ana paki bus.alivyoenda Chelsea akawa anapark bus,alivyoenda inter Milan akawa anapark bus,akawa kocha wa club kubwa na bora duniani akawa ana park basi.akarudi Chelsea game za msimu huu man city,man u,Liverpool zote anapark bus

Huna hoja wewe kupaki basi ndo nn? Hao wasiopaki bas wako nafasi ya ngap? Basi mou asajili forward playes only ili asionekane anapaki
 
kaka za siku nyingi. nimepita tu kuwasalimia.


Ni nzuri mkuu RRONDO. Asante kwa kutusalimia kaka.......J4 kesho kutwa tu nataka kuona faida ya baadhi ya wachezaji kupumzishwa ktk mchezo wa jana!
 
Last edited by a moderator:
READ JOSE MOURINHO'S FULL TRIBUTE TO DIDIER DROGBA
'Didier arrived at Stamford Bridge for £24million, but he is probably the best-value Chelsea player ever, and I remember clearly how it happened.
'I came to Chelsea in the summer of 2004 and in my first written report to Mr Abramovich in relation to my plans for the club, I gave the names of some players.
'Big names were arriving at Chelsea in that period. The previous summer, for example, Claude Makelele came from Real Madrid and Hernan Crespo came from Inter, among others, but Didier was unknown and the price was very, very high.
'Yet I knew as clearly as I have ever done that he was the player I wanted.
'I was very strong to persuade my club to pay such an amount for him and I think we can already say he was the best-value signing for Chelsea in relation to what he has done for the club over so many years, and he is not finished yet.
'My story with him started after I got Marseille in my Champions League group when I was manager of Porto. 'Before we played against them, I travelled to Marseille to watch them play Paris Saint Germain and I was amazed with the potential I saw in him.
'When we played against them, I met him in the tunnel before the game and I told him, 'I don't have money to buy you, do you have a cousin like you who is lost in Ivory Coast?'
'That was the first time that the big guy put his arm around me. He told me, 'In Porto, you don't have money to buy me, but if you move to another club where you do have money to buy me, then I will go with you.'
'After the Champions League final with Porto at the end of that season, I moved to Chelsea and immediately began the process to sign him.
'Reflecting on our relationship, I have three moments in my mind that best characterise the man – because Didier the man is just as great as Didier the player.
'The first one was when I met him at Farnborough Airport when he was landing to sign for Chelsea. The way he hugged me, and the way he thanked me was not normal for a player towards a manager, immediately after signing for a new club. Chelsea were changing his life forever in that moment, and he knew that.
'The second moment was after we won the 2007 FA Cup at Wembley against Manchester United. The game finished and I went to the dressing room, leaving the players to enjoy the moment and to celebrate on the pitch.
'I was on the phone with my wife, when suddenly a big monster ran into the dressing room and told me that if I didn't come with the players, they wouldn't collect the cup. They would only go up there with me.
'I told him that I wanted the players to go and enjoy the moment together – that I didn't need to be there – and he said, "We are only one. You can come by your will, or I will carry you there!"
'The third moment was when I left Chelsea in 2007 and I saw the big man crying like a baby.
'So I can say that he is a phenomenal person, and I have also had the privilege to visit his country and to see what he means, not just to the people of Ivory Coast, but to so many African nations in that region.
'I know what he means as a player and as a person. That is why this combination of the player and the person is so amazing.
'Throughout my career, I have always refused to say which is my favourite player or the best person, because so many have given soul and blood to play and to fight with me, but if I have to choose one who represents all the good things you want in a player and a man, I think in this moment I would choose Didier.'
 
powerful message zacha. this is why wachezaji hujituma sana for Maurinho. he is capable of building such a bond na wachezaji wake. this is just revelation ya Drogba, the Drog. akikupa za wengine utashangaa. thx for this article.....as we are waiting for tomorrow's mtanange kutuondolea machungu ya juzi!
 
Last edited by a moderator:
Poleni kwa Kipigo wana chelsea wenzangu:

Binafsi sikuicheki hiyo game, ila sikuamini kama tuliongoza 2-0, then tukaja kupigwa 4 na timu ya daraja la kwanza. Anyway cha msingi ni kuweka kando yote na tuwe tayari kwa J4 ili tuwanyoe Liverpool na baadaye Man-City Jmosi.

Pamoja na 9 changes dhidi ya wale waliocheza na Liverpool, lakini timu almost ilikuwa ni ile ile tuliyoizoea na Kocha ameshafanya mabadiliko kama haya mara nyingi tu na tukashinda - tuseme tu kwamba siku haikuwa yetu.

Habari Njema:

Tayari kuna uwezekano wa dirisha lili kumsajiri kijana machachari toka Fiorentina - Juan Cuadrado, hebu cheki hizi clip zake walau ujipe moyo kwamba kifaa kikitua basi kutakuwa na heka heka kubwa wa wapinzani wetu.

https://www.youtube.com/watch?v=lajEptHUxD0
 
hapana hatukuzidiwa Stats zinaonyesha tuliongoza kwa kila kitu tatizo ni DHARAU ndio iliyopelekea tukafungwa....wachezaji kiakili walijijengea kua hiyo ni timu ndogo lazima wataipiga kumbe mambo hayako hivo...

Kumbe akili za wachezaji wa rentboys ni nzito kiasi hicho? Yaani walipokuwa wamefungwa 3-2 hawakuweza kufahamu kuwa waache dharau? Mpaka wanapigwa la 4, bado wanadharau tu?!!
 
Nyiye washabiki wa rentboys mnafurahisha kweli; wakati mkijifariji kwa kusema eti FA Cup ni kombe la mbuzi, oh sijui ni bora kutolewa na kuangalia makombe makubwa n.k. Kocha wenu anasema ni aibu na 'disgrace' kufungwa na timu ndogo.
 
Nyiye washabiki wa rentboys mnafurahisha kweli; wakati mkijifariji kwa kusema eti FA Cup ni kombe la mbuzi, oh sijui ni bora kutolewa na kuangalia makombe makubwa n.k. Kocha wenu anasema ni aibu na 'disgrace' kufungwa na timu ndogo.
Nzi hakuna haja ya kuuma maneno. maurinho alishasema kabla ya mech ikuwa kufungwa na Bradford itakuwa fedheha kwa Chelsea na amekiri hivyo hivyo baaa ya game. na ni ukweli mtupu. ni fedheha sana kwetu kutolewa ktk FA kwa namna ile tuliyotolewa tena na timu kama ile. ni afadhali tungeingia round nyingine ya FA na kuja kutolewa Carling cup na Liverpool kesho. manake tayari Liverpool ni timu kubwa na imewahi kututoa kwenye Champions League huko nyuma. ingawa hivyo kuna kitu kinaitwa blessing in disguise. binafsi kutolewa juzi nakuchukulia kama changamoto chanya kwa hasa wachezaji. kubweteka kwenye mechi za mtoano kutaigharimu timu. kuna ule usemi usemao one step back and two steps forward. hii ita aply sana kwetu kwa sasa. baada ya kutolewa FA kwa style ile, vijana watajua maisha sio mteremko kama walivyoanza kujiaminisha. msipofanya kazi tena working really hard, hakuna kombe hata moja litachukuliwa. Lazima kupambana mwanzo mwisho na kuongoza goli 2 tena mkiwa nyumbani hiyo sio guarantee kuwa mshashinda mechi, mpaka filimbi ya mwisho.

so comments unazoziita za mkosaji zichukulie kwenye context niliyoisema hapo juu

Tuombeane heri kesho tuibuke na ushindi ukifuatiwa na mwingine J1! hizo ndo zitakuwa two steps forward kwa sasa mpaka May 2015!!
 
Last edited by a moderator:
ingawa hivyo kuna kitu kinaitwa blessing in disguise. binafsi kutolewa juzi nakuchukulia kama changamoto chanya kwa hasa wachezaji. kubweteka kwenye mechi za mtoano kutaigharimu timu. kuna ule usemi usemao one step back and two steps forward. hii ita aply sana kwetu kwa sasa. baada ya kutolewa FA kwa style ile, vijana watajua maisha sio mteremko kama walivyoanza kujiaminisha.


Sawa. Lakini yaweza kuwa kinyume chake pia. Yaani, kipigo kilichopita kikazaa kipigo kingine.

Tuombeane heri kesho tuibuke na ushindi ukifuatiwa na mwingine J1! hizo ndo zitakuwa two steps forward kwa sasa mpaka May 2015!!

Yaani miye niwaombee heri rentboys ama?!?
 
Ntuzu kaka yaani Bf wanapata bao la kwanza bado Chelsea akina Matic wana dharau?
Wanasawazisha bado akina Drogba wana dharau?
Wanapata bao la 3 bado Ramires dharau ni zile zile?
Wanapiga la 4 hapo ndipo Hazard anazidisha mno dharau?

Hapana kaka maji yalizidi unga!Kaeni chini mjipange muitoe Liverpool leo
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu kaka yaani Bf wanapata bao la kwanza bado Chelsea akina Matic wana dharau?
Wanasawazisha bado akina Drogba wana dharau?
Wanapata bao la 3 bado Ramires dharau ni zile zile?
Wanapiga la 4 hapo ndipo Hazard anazidisha mno dharau?

Hapana kaka maji yalizidi unga!Kaeni chini mjipange muitoe Liverpool leo


Matic na Hazard hawakucheza hiyo mechi mkuu.....alafu stats zinaonyesha hatukuzidiwa mkuu.....mbona hili liko wazi kabisa....!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom