Cheaters: The Series

Episode 11.

Naomba nikumbushe kuwa hii ni story ya kutunga, wahusika na taasisi zilizotajwa hazina uhusiano wowote na uhalisia.
‐-------------------------------------------------------------------

Shubie.

Mabibi na mabwana naitwa Shubi. Part yangu kwenye hii story ni simple sana. Ila inafurahisha. Kwa kuwa kila mhusika kwenye hii series alianza na kujitambulisha, tena kwa picha, ngoja na mm nianzie hukohuko.

Well, mi nimekuja kupata akili nikiwa naishi na bibi. Huko mkoani kigoma. Maisha ya utoto sikuinjoi sana maana yalikua ni kufungiwa tu ndani. Mpaka muda huu ukiniuliza kama nakumbuka hata jirani mmoja kwa kweli sitaweza ku recall. Bibi alikua mfanyakazi wa shirika la wakimbizi Kigoma upande wa afya, so life lilikua easy. Napata kila ninachohitaji.

Mpaka muda huu simjui baba yangu, ingawa mama hua ananiambia baba alifariki na akisisitiza nisimuulizie. Sijuagi kwa nn. Kule kwa bibi mama alikua anakuja kwa nadra sana kuniona, labda once kwa mwaka. So nliishi bila yeye kwa muda mrefu. Nlipofika umri wa shule, bibi akanipeleka boarding tena mkoa wa mbali, fikiria kwa umri ule mdogo nikaanza kuishi mbali na ndugu zangu.

Nimeishi hivyo kwa kuwaona mama na bibi kwa likizo tu maisha yangu yote ya shule. Kuanzia primary mpaka sekondari. Mpaka nlivyokua mkubwa form five ndo mama akaruhusu niwe naenda kwake likizo. Kipindi hiki alikua ashaolewa na anaishi Moshi hapa. Mimi na mama hatujawahi kuwa karibu kivile, kama ambavyo naona watu wako karibu na mama zzao.Na nikiri kabisa ni kama namchukia, maana hakunitaka nlipokua mdogo. Mimi kwake nlikua kama kamzigo flani ambako hakataki ila imebidi tu kawepo.

Mama pia alikua na tabia flani ambayo sikua naipenda. Nisipindishe maneno, mama yangu ni malaya. Ingawa ameolewa ila nawajua mabwana zake kama wawili, na mmoja hua anakuja hadi home kama mume wa mama kasafiri. Huyu mume wa mama ambaye nlikua namuita Dad, alinijali sana. Alikua mbaba mmoja mpole sana. Ila mama ndo hivyo tena. Mi ningepata mume mpole kama huyu Dad, wala nisingehangaika.

Nikawa natamani nimsute kuwa anachomfanyia huyu mzee ila ningeanzia wapi. Yaani nikawa natamani tukwaruzane ili niyatoe yote ya moyoni, walau anipe majibu ya why alinitelekeza nikiwa mdogo. Ile life ya maza ya kuwa anakuja sometimes night na sometimes asije kabisa ikawa imenipa na mm uhuru. Nikaonja asali. Kuja kustuka nishachonga mzinga.

Mwanaume wangu wa kwanza alikua mkaka mmoja jirani yetu, yeye alikua mwanachuo palepale Moshi. Mimi enzi hizo ndo nimefikafika kwa maza niko form five shule moja ya Day hapa Moshi. Hakutumia hata nguvu kubwa kunipata, nadhani ilichangiwa pia na kule kupata uhuru wa ghafla. Yani nlikutana nae natoka shule, akanipa hi, akaomba namba nikampa. Jioni yake akanambia niende gheto kwake nikaenda. Alipotaka gem wala sikubisha, utafikiri mzoefu kumbe ndo 1st time.

Miezi michache baadae nikapata jamaa mmoja anafanya kazi NBC bank pale town. Nikampiga chini mwanachuo. Huyu bwana mpya ndo alinionesha raha za dunia. Alikua anajua kuhonga haswaaa. Lakini pia na trip za kutosha.

Yote haya nafanya najua kabisa mama anajua natumika ila nikataka tu kumuudhi ili siku anibwatukie nimpe vidonge vyake. Naye akawa kimya tu. Nikimwambia weekend hii naenda na friends ngorongoro anasema sawa, enjoy hahaha yani kwa kweli mama sina. Sema nini, ninachomshukuru mama ni kunipa shape yake.

Maza ni wale wanawake wamejaaliwa shepu za haja, ukimuona ni balaa, na ukizingatia alinizaa akiwa mdogo, mi na yy ni kama mtu na dada yake tu. Sasa kwa issue ya shepu mm ndo nikawa funga kazi. Nina bonge moja ya tako ndugu msomaji. Ile ukipita mahala watu wanaguna. Haijalishi nimevaa nini, hata nikivaa dela, balaa lake huko nyuma mtaliona tu. Na bcoz nlijua huo ni mtaji, nikaamua kuutumia hasaaa, yaani since sekondary tako linanipa mahitaji yangu.

Katika tembea tembea nikakutana na kibosile mmoja wa manispaa, sijui injinia wa vitu gani sikumbuki hata, akaniomba, nikampa pia. Nikawa nao wawili kiroho safi. Hii lifestyle nikagundua sio tu ni kwa ajili ya kumuudhi mama, ni kwamba umalaya upo kwenye damu yangu maana mama nae malaya vilevile. Nikawa namhurumia tu yule mzee pale home.

Mpaka naingia chuo nlikua nshajua wanaume, nshajua utam wa mashine nshajua namna ya kuhudumia wanaume kitandani. Pale chuo nikakutana na kijana mmoja alikua anasoma masters pale chuo akanipenda. Kwa kuwa nlikua nshaonja za watu wazima na wenye wadhfa mjini sikutaka hata kumfikiria. Nikawa nacheza tu na hisia zake. Na alidata balaa. Mi walaa, nikawa namtumia tu kama security. Nikitaka kusindikizwa mahala usiku nampigia, nikitaka kuletewa kitu namtuma hivyo yani.

Siku moja bana hata sikua na nia ya kutembea nae, ila ndo ikawa hivyo. Kulikua na ka event flani pale chuo. Kalivyoisha tukawa tumeamua na friends wengine twende La Liga international Night Club. Nikampigia atusindikize. Kweli akatupeleka. Tumepombeka hadi saa tisa nikamwambia anipeleke home. Kwnye taxi si nikasinzia, jamaa akatumia fursa kamwambia dereva atupeleke geto kwake. Mi naamka asubuhi kujicheki nishatumika. Nikasonyaa tu, ndo nshaliwa. Alivo fala akataka tena cha asubuhi, nikawa nimegoma.

Ile natoka kuoga namkuta uchi amenisubiri. Mashine yake iko dede. Nikawa kama nimezubaa pale. Hakusubiri niseme chochote akanivua taulo akaniacha mtupu. Akanigeuza, tako likamuangalia. Nikasikia paaa! Kibao cha matako. Dah, nikataka kujigeuza nimface akanikandamizia zaidi ukutani, nikasikia kibao kingine kwenye tako la pili. Kama alijua vile, ugonjwa wangu. nikalegea, nikamgeukia nikamhug. Ikawa rahisi kwake. Akanisogezea tu kitandani akanitenga mbuzi kagoma, akaweka utelezi, akapenya. Bana bana, nlijutia kwa nini sikumpaga mapema. Nlikua sjawahi injoi namna ile. Utam mpaka kisogoni.

Ndo ikageuka kibao sasa. Akawa yeye akihitaji kitu ndo ananiagiza mm namletea. Akitaka kwenda mahala ananiambia nimsindikize. Akawa kama kaniroga. Shoga yangu Zahra akawa ananicheka balaa. Akaniambia nitulie sasa. Nlichofanya nikampiga chini yule wa NBC, nikabaki na injinia na huyu Masters. Ingawa nlimpenda masters, ila ushauri wa Zahra kuwa nitulie nitafute wa kunioa ukawa umeniingia. Nikimcheki masters hakua mwanaume nnaetaka niolewe nae. Kwanza hakua na future nnayoitaka, ingawa alikua anasoma masters ya community development ila kiprofession yeye ni mwalimu wa sekondari flani pale town.

Katika pitapita zangu, nikakutana na kijana anasoma mwaka wa mwisho KCMC. A doctor to be. Nlikutana nae kwenye geti la kuingia hospitali. Mwanzo alinipita, ila nadhani baada ya kugeuka kunisoma namba ikabidi anirudie. Alivyoniomba namba, nikamcheki kwanza na koti lake la kitabibu, nikaona fresh ngoja nmuongeze kwa list yangu. Baada ya kuzoeana nae na kumjua vizuri nikamuweka kundi la husband material. huyu ndo mume sasa. Ingawa huyu dokta hakua na personality nnazopendaga, hakua mchangamfu, yaani mpole balaa. Life yake akitoka chuo geto anajisomea akichoka anaangalia series. Ila si ndo husband material wenyewe hawa. Zahra nae akaniambia hapohapo shikilia.

Shida nyingine dokta hakua mtundu kitandani. Yaani na tako lote hili nlilofunga huko nyuma ila ye akawa ananiweka kifo cha mende, mwanzo mwisho. Yaani akibadili labda niwe juu yake, ila nikimtengea mbuzi kagoma anifumue, atapiga tako kama kumi tu then ananigeuza style yake pendwa, kifo cha mende, dah. Sio mara moja au mbili baada ya kudo nae naenda straight kwa masters tunachuma mboga, tunasukuma mbuzi aliyegoma mpaka natosheka. Kwa kweli napenda sana hizo style mbili, hizi nyingine huwa nazitumia kupumzikia, au kupokelea wazungu tu.

So nikawa niko na dokta nikimtegesha kama mume, masters akawa sex mashine yangu then injinia akawa ATM. Na wote nliwamudu fresh tu. Kabda Ras hajaingia kwenye maisha yangu na kuyageuza upside down.

Sikuwahi kumuona mwanaume yeyote nikampenda at first sight kama ilivyotokea kwa Ras. Sijui hata ni nini kilinivutia. He was tall sawa, handsome sawa, rasta kichwani sawa, mchangamfu sawa. Ila I have seen better looking men than him na hawajawahi nifeel nlichofeel nlipomuona Ras. Yaani siku Zahra anasema huyu ni kaka yake, nliishiwa kabisa pozi.

Hiyo siku nakumbuka Alitukuta tumekaa kwenye vimbweta vya karibu na ofisi za saccos pale ushirika. Zahra alishanambia kaka yake kaja kufanya interview pale chuoni, na akanambia akimaliza issue zake atakuja pale waende wakale, nikawa nataka nisepe zangu, zahra akanambia nisubiri walau nimfaham kaka yake.

Bwana wee. Nlivoona Zahra anatabasam huku anaangalia kwa mbele nikajua ndo kaka yake anakuja. Nikageuka kumcheki pia, aisee, nlihisi nywele zinanisimama. Damn, I liked him there and then. Safari zangu zote za siku hiyo zikafa. Nikajiunga nao. Mpaka tukarudi kwa Zahra, nikatamani hata nilale pale labda atanitongoza, ila jamaa hakua hata na mpango. nikaona niage tu nisepe.

Kwa muda nlisahau kabisa kuhusu mabwana wangu wengine. Maombi yangu yakawa huyu Ras apate kazi pale walau ntakua namuona. Miezi ikapita, mwanzo nikawa namuuliza uliza Zahra abt her brother ila baadae nikaacha maana angeweza hisi nimemfia bro wake. Haijawahi pita siku bila kumfikiria Ras. Mpaka mabwana zangu wakawa wanaona nabadililika, ila nikawa nawatoa wasiwasi, wasiwasi ukiwazidi nawavulia chupi wanapoa.

Then oneday bila hata ya Zahra kunipa update namuona Ras anazama class., eti ndo lecturer wetu wa sheria za biashara. Mshtuko nliopata hadi Zahra aligundua akawa ananicheka tu. Kilichoniumiza zaidi kuna mabinti wengine wakawa wanaongea kichini chini ila mi nawasikia eti, “the guy is handsome, tutasoma kweli", nikaona tayari competition.

Now ikawa maombi yangu yamejibiwa. The guy is in town. Shida ikawa kwanza nagain vipi attention yake, pili ndo nshakua mwanafunzi wake, ntawezaje kutoka nae. Ili kumuona Ras kiukaribu nikawa najitahidi kwenda kwao kwa kisingizio cha kumtembelea Zahra. Bahati mbaya Ras weekend nyingi alikua anazitumia DSM. Nikaanza kupata wasiwasi huenda Ras ameoa. Ila Zahra akaniambia jamaa hana mke na hana mwanamke. Sasa anaenda Dar kufanyaje, eti “biashara zake tu anazifuatilia". Nikaamini maana the guy hakua anapanda basi kwenda Dar, he usually used planes, nikasema huyu kweli atakua na biznez.

Kuna kipindi nikawa nshakubali matokeo. Huenda sijapangiwa kuwa nae. Ila ilikua kila nikimuona class najikuta nashindwa kuconcentrate. Then siku moja tukawa na discussion chuo. After disc nikamsindikiza Zahra soko flani linaitwa memorial. Bahati mbaya alichokua anatafuta alikosa so kwa kuwa Shanty ni kafibu na tulipokua tukakubaliana twende kwao tupumzike. Ile tunafika getini kwao ndo Zahra ananiambia “weekend hii bro hajasafiri", “what…..! So yupo ndani?” “yeah" kidogo nianguke.

Maana kwanza sikua na muonekano nliotamani anione nao. Kidogo nigeuze ila najua Zahra asingenielewa. Nikajikaza. Nikaanza kuomba awe labda room kwake tusionane. Ila ile tumeingia getini tu, Ras huyu hapa. Hii nyumba ilikua kama nyumba nyingi za eneo hili. Ina fensi ya michongoma iliyozunguka eneo lote la nyumba. Mbele ya nyumba kuna eneo kubwa limepandwa ukoka. Ni eneo kubwa linaloweza chukua nyumba nyingine.

Sasa Ras alikua anamwagia maua maji kwenye hili eneo la mbele ya nyumba yao. Labda niwaulize wadada hum ndani, ushawahi loana huku chini just bcause mwanaume amekushika mkono kukusalimu? Well litokea that day. Maana baada ya kuingia Ras aliacha shughuri yake akatukaribia kutusalimu. Zahra yy anasalimiaga kwa kupiga magoti, ila aliponisalimia mm ndo nikaishiwa pozi kabisa. Maana kwanza alikua kifua wazi, na kama ni kifua alikua nacho aisee. Then huku chini kavaa pensi flani anazipendaga Alikiba. Ile misuli ya juu ya goti la mwanaume ikawa inajionesha wazi. Aliponishika mkono, nikahisi chupi inaloana, miguu inaishiwa nguvu, ikabidi nimshike mkono mwingine Zahra anipe support.

Tukamuacha anaendelea na kazi yake tukawa tunaingia ndani. Nilivofika mlango wa kuingia ndani, nikageuka kumuangalia Ras, nkakuta nae ananiangalia hahaha. Nikageuka chap nikazama ndani huku natabasam. Nikajipa hope kidogo. That day iliamsha hisia zikawa mara mia ya zilivyokua mwanzo. Mwanzoni ilikua ni just a crush, bt now ikawa ni official, moyo wangu unampenda Ras. Nakumbuka ikawa kama nimehamia kwa kina Zahra. Na siku akiwepo Ras ntajitahidi kumhudumia utadhani mi ndo mdogo wake. Nikawa kama mtumwa, asubuhi ntaamka kabla ya Zahra, ntaandaa chai, then ntabrush viatu vyake, ntaenda nje kumake sure gari ni safi then ndo ntaanza kujiandaa mm.

Bahati mbaya sikueza pata muda wa kuwa alone nae. Maana Zahra alikua na mm all the time. Ni kama alihisi nampenda kaka yake so akawa anamake sure hanipi nafasi. Simlaum hata, maana Zahra anajua umalaya wangu. Hata mm ingekua ni yeye nisingeruhusu. Kuna siku bana Ras akawa anaumwa. Mafua tu, ila hakuwa anaweza fundisha. Akawa home tu, mi na zahra kama kawa tulienda chuo. Ila kama mjuavyo msichana akipenda alafu asikie jamaa yake anaumwa, sikua na raha kabisa. Nikaamua nirudi kumhudumia Ras. Zahra nikamdanganya naenda kwa bwana angu wa KCMC akaelewa.

Ile nafika nikamkuta kajilaza kwenye sofa anaangalia TV. Baada ya kumsalimia akauliza mbona siko chuo, nikamdanganya sina vipindi leo, hakunihoji zaidi. Nikazama jikoni. Nlishughurika sku hiyo hatari. Supu ya ngombe, juice ya mchanganyiko wa matunda kadhaa, chapati, uji wa ulezi uliochanganywa na maziwa mtindi, mtori…… Yaani Ras alikua anaona vinaletwa tu. Akimaliza hiki kinakuja hiki. Ndo nikagundua nimekamatika.

Ras nae, yaani huduma zote hizi aliishia tu kusema “asante". How I wish hata angesindikiza hiyo asante na a hug. Ila ndo hivyo. Kesho yake namuuliza
“unajiskiaje leo?”
“kwa mapochopocho ya jana natamani ningeendelea kuumwa", nikacheka balaa,
“Sir, you are very funny……. , ila ukitaka nikuandalie nambie tu"
“really, basi ukitoka chuo niandalie ile juice ya jana"
“usjali. Ntakuandalia Sir. Hicho tu ndo unachotaka sir?”
Ras akaniangaliaa, then akawa anataka kusema kitu mara Zahra akatokea. Hakusema tena alichopanga kuniambia, akaaga akasepa chuo.

Nikabaki na mawazo, Ras alitaka kusema anataka nini. Tulivofika chuo nikatamani nimuulize ila ntaanzaje. Kwanza hata namba yake sikua nayo wakati huo. Baadae nikapata wazo. Nikamfata ofisini.
“karibu Shubi. Kuna kitu ulihitaji" akawa amenikaribisha pale.
“asante Sir, nlikua na shida ya kimasomo tu. last week kile kipengele cha mikataba ya ajira sikuelewa vizuri"
“ooh” akawa anatafuta kitu kwenye computer yake, “pita huku nikuelekeze".
Nikazunguka nyuma ya meza kule alipokaa, nikainama kidogo kuangalia vizuri computer. Hii ikafanya bega lake kugusa titi langu kiaina. After that sikueza hata sikia anachosema. Nikawa najisogeza zaidi ili nifeel ule mkandamizo. Mpaka nliposikia
“umeelewa sasa", nikashtuka. Kimsingi sikua na shida yoyote kwenye masomo.
“Ndiyo sir", nlijibu huku narudi upande ule mwingine. Mpaka hapa mission yangu ikawa imekosa muelekeo. Maana baada ya hapa natakiwa kufanyaje sasa? Ikabidi niage tu. Ile nafika mlangoni nikasikia ananiita. Nikageuka,
“uko na time kesho unisindikize Arusha? Nimepamiss sana". Maneno haya yalikua kama mziki mtamu kwenye masikio yangu. Nikajikuta sauti haitoki naitikia kwa kichwa tu. “Ok, bas kesho ntatoka mapema after one hr baada ya mm kutoka home, ukapande gari uje arusha, utanikuta bar moja inaitwa milestone", nikaitikia kwa kichwa tena.

Nimetoka pale ofisini ndo tabasam likaja. Furaha nliyoipata ni zaidi ya chochote nlichowahi kufeel. Zahra aliponiona baadae akaniuliza mbona furaha sana, dokta katangaza ndoa nini? Hahaha angejua. Nikawa namwambia hamna kitu. Am just happy. Kurudi home mi na Ras tukawa kama hatuja panga chochote. Tumejikausha tu. Asbh yake kweli Ras akasepa. Nikajiandaa after ana hr nikaenda stendi.

Kweli nikamkuta Milestone, sikuwa nimevaa ile kukomoa siku hiyo. Nlipiga tu ki gauni flani cha heshima kama naenda kanisani. Story wala hazikua nyingi, akawa ananihoji tu khs family yangu na nikawa nampa details anazotaka. Yaani ukituona ni kama kaka na dada wanaoheshimiana sana. Mpaka kuniita hapa nlijua Ras kanizimikia pia au labda kanitamani ila ukweli ni kuwa for whatever reason anataka kunila. Shida nliyoiona Ras anajiheshim sana na naona kabisa anapata shida namna ya kuomba game. Ikabidi nimsaidie.
“sir, hapa naona kama tumejianika sana, watu wa chuoni wakituona si itakua mbaya kwako?” akasema kweli. Akasuggest tuhame. Yeye alikua kaja na gari, so tukaenda wote hotel flani inaitwa premier.

Tukawa pale kwenye bar yao, ila nikaona nirahisishe zaidi. Nikamuaga kama naenda washroom nikashuka mapokezi. Nikachukua room nikalipa kabisa. Then nikarudi bar. “sir, am still not comfortable, tuhamie huku?” sijui ujasiri nliutoa wapi. Ila nadhani ni vile vi savanna nlivokua nakunywa. Nikabeba vinywaji nikatangulia, kugeuka naona ananifata. Nikatabasam.

Room napo nikaona kama Ras haelewi au anajidai haelewi. Ila mpaka anafika hapa tayari anajua nnamtaka na mm najua ananitaka so nikatake control of the situation. Alikua amekaa kwenye kiti anajidai anapitiapitia simu yake. Nikamfata alipo. Nikamnyang'anya simu nikaiweka mezani. Nikampandia mapajani kwake nikakaa. Mikono yangu ikawa inazipapasa rasta zake. Mwanzo hakureact. Ila haikupita hata dakika, nikaona mikono hiyooo inazama ndani ya gauni, moja kwa moja hadi kwenye tako. Ndo kilichomleta Arusha huyu hahaha.

Nikaanza kudendeka pale. Yeye akawa ananivua gauni, akafanikiwa kulitoa kupitia juu. Macho yake yakawa yananikagua uzuri wangu. Maana nlikua nimebaki na chupi tu, huku kifuani na bra nyepesi. He liked what he saw, maana alinisifia “you are very beautiful”. Nlishasifiwa sana na wanaume, ila hii sifa moja from Ras ilinifanya nijiskie zaidi ya nlivowahi kuskia nikisifiwa. Nikaanza kumkatia viuno palepale akati bado kavaa nguo zake.

Akaona anateseka, akatoa shati. Na mm nikatoa bra. Nikamkandamiza fresh kifuani kwangu, huku nazidisha mikato ya kiuno. Akaanza kuhangaika kuvua suruali yake. Nikawa nampq nafasi kidogo aishushe ila sikumruhusu atoke kwenye kiti. Akawa sasa yupo naked. Sikaanza tena mikato, banabana. Mwanzo nlihisi labda hisia zangu tu, maana nlivyokua nakatika pale juu yake mashine ikawa inanisugua juu ya chupi nikahisi ni kubwa ila sio sana. Ila nilipopeleka mkono kuhakikisha, mamamamamama, it waaaas huuuuuuge. Ikabidi nishuke. Sijui alihisi nataka kukimbia, akanishika mkono, nikamuangalia nikitabasam, “nivue chupi sir" ndo akaelewa nimeshuka ili anisaidie kuitoa andawea.

Alivyoishusha tu nikampanda tena. This time nikaizamisha mwenyewe. Nikaanza kuikatia miuno ya kislow motion. Miondoko ya JeJe. Ndugu wasomaji my dream came true. Nlijipigia mabao kama mawili pale. Then akanipeleka bed. Nashangaa ananilaza kifo cha mende. Sema nini, kumbe nayo hua tam balaa. I felt like napaa vile. Nikajua kumbe nlikua naichukia hii style bure tu. Ila kama alijua vile, baada ya kunifunga goli la kwanza akanitenga style yangu pendwa. Mbuzi kagoma. Bwana ee! Kumbe utam wa hii kitu upate mashine kubwa. Na mimi nikagundua sku hiyo kuwa naweza kukata kiuno hata nikiwa nimeinamishwa hahahah. Kwa kweli I enjoyed.

Tukarudi usiku Moshi. Tulivyoingia wote Zahra akastuka, ikabidi nimwambie amenikuta hapo wanapopaki bodaboda ndo akanibeba. Akaamini. Angejua bro wake mchana mzima alikua ananitia angevunja urafiki hahaha. Kesho yake jpili Ras akawa anashughulika na maua yake mm nipo kibarazani najidai nasoma kitabu kimbe namkodolea mijicho. Eti ndo maza akapiga.
“Shikamoo mama"
“We mtoto mbona huonekani nyumbani”
“Niko kwa kina Zahra mama”
“napiga kwa WhatsApp call unioneshe maana inaezekana umeolewa ss hatujui"
Kweli akapiga kwa WhatsApp call. Nikawa namunesha mazingira nliyopo kwa ile back camera. Nikamuita na Zahra aongee nae. Sema wakati namuonesha mazingira alimuona Ras. So wakati anaongea na Zahra akamuuliza “huyo mkaka ni nani yako Zahra? “
“ni kaka yangu"
“em nioneshe tena…… ahaa, mbona hamfanani, em mzoom"
Mi namjua mama. Alishatamani. Nikachukua simu nikaikata. Maana nikimuendekeza ntajikuta nashare nae, pumbaf.

Mwanzo tulifanya siri Zahra asijue. Bt nikawa napata shida. Maana nikiwa na Ras kule home kama Zahra yupo pia nakosa kabisa uhuru. Maana nlitamani niwe nae ile close tukiwa wote, anikiss, anihug, anishike matako ila ndo Zahra akawa kizuizi. Tukawa tunajiiba, Zahra akienda bafuni, tunavamiana. Atanitia cha chapchap. Ile ya kunyanyua sketi na kushika meza. Ingawa nlikua naviinjoi sana hivi vya ghafla, bt nlitamani zaidi. So ikawa kama weekend haendi Dar, tutatafuta chimbo lililojificha tunaenda kunyenduana. Kingine ni kuwa nlimheshim sana Ras. Yani nikiwa nae adabu kama zote, ikawa kama namuogopa kumbe ni ile heshima yangu tu kwake.

Sema kuwepo kwa Ras kwenye maisha yangu kulinibadilisha sana. Kwanza kwa mara ya kwanza I felt ile love ya kweli. Sikuhitaji kitu from him, I just enjoyed being with him. Najua Ras alinipenda pia. I just saw it kwenye macho yake, na namna anavyonikumbatia tukiwa alone. I felt loved. Taratibu nikaanza kubadilika. Hadi Zahra akashangaa maana nilipiga chini mabwana zangu wote. Hapo kabla sikua mtu wa kumkopa hela mtu, ila siku namuomba Zahra anikopeshe ndo alishangaa kinoma.,
“Shubie ww mtu wa kukosa hela, si umpigie engineer akutumie"
“hivi Zahra hujagundua kuwa nimebadilika. Staki kutumika na mwanaume now. Nimewaacha wote uliokua unawajua"
“ni kweli umechange, ila ninachoshangaa…… why now?”
Nikawa natamani nimwambie nimefall kwa kaka yake ila nikashindwa.
“nimegundua tu kuwa na mtu unayempenda ndo cha mhimu zaidi”
“ndo ubadilishe hadi namna unavyovaa Shubie. Maana sku hizi naona ni mwendo wa nguo za heshima. Au ushampata mtu kakutuliza",
Akawa amegusa penyewe, nikaishia kujichekesha tu pale, sikubali wala sikatai.

Ni kawaida tangu nimekua na Ras anapokuepo home hua namvalia mavazi ya kumfanya walau ainjoi kuniangalia. Kwanza sikua navaa chupi kabisa, ili kama ikitokea fursa ya ghafla asipate tabu. So one day nashangaa nipo na Zahra kibarazani tunajisomea for final exams Ras akaja tulipo. Then naona ananikiss kwenye lips. Nikashtuka. Nikamuangalia Zahra nikitarajia mshangao wake. Naona mtu anatabasam, “Bro ameniambia kila kitu, he loves you", wow, nlifrahi balaa. Nikasimama nikajikumbatisha kwa Ras, “thank you sir, thank you, thank you….. I love you tooo much,” akanibeba kanipeleka room kwake. Bwana weee, nilitiwa that day, nikawa najikaza kutotoa sauti ila sometimes najisahau. Mpaka nakuja kutoka room kwake, 3hrs later. Najidai naaibu pale kumface Zahra, yeye ananicheka tu. Ila akanipiga mkwara, “don’t ever hurt him, I love him more than anything or anyone in this planet, and will do anything for him, so ukitaka nikufanyie kitu ambacho hata mm sijui ni kitu gani, hurt his feelings", nikajikuta nacheka, “jamani Zahra, yani mm nimuumize Ras?.... will never happen, I love him, sana sana mm ndo nawasiwasj wa kumpoteza", Uzuri Zahra alionekana kunielewa akajikuta ananihug “take care of him, make him happy, he has been through a lot”, “usjali wifi yangu" tukajikuta wote tunacheka.

Nimedumu na Ras zaidi ya mwaka. Mwaka ambao nlikua na furaha zaidi kuliko miaka yote nliyoishi. Mpaka namaliza chuo Ras ndo my only man. Na kwa kweli nlkmshukuru kwa vingi. Kwanza namna anavyojua kuninanlii kitandani, pia he took care of me, lakini cha zaidi uwepo wake ulinifungulia baraka tele in my life.

Baraka ya kwanza ilianza kwenye zile sherehe za kuhitimu chuo. Mahafali ya dini. Nakumbuka mgeni rasmi alikua mkuu wa mkoa. Sasa kama mjuavyo kuna muda wa kupewa vyeti mheshimiwa. Nadhani ile tembea yangu mkuu alivutiwa na mm, maana baada ya kama wiki nikapigiwa simu niende ofisi ya mkuu wa mkoa. Kufika ananiambia aliniona kwenye mahafali na kuvutiwa na kujiamini kwangu. Kama niko tayari ananafasi ya kazi pale ofisini kwake. Sikua na la kupinga. Ingawa nlijua kabisa lazma atakuja kuomba mzigo. Nlijua lazma ataomba, na siku akiomba ntamnyima. Ila btn now and then ngoja nipate ajira nijenge CV.

Mwanzo mkuu hakuonesha dalili zozote. Ila baada ya miezi kadhaa alikua na safari ya dodoma kuonana na mkuu wa nchi. Ili kuniimpress na what he can do for me akanijumuisha kwenye msafara. Siku ya kwanza tumefika alipopata chance tu akaniambia usiku wake niende room kwake. Dah nikajua hapa ndo tayari kibarua kinaota nyasi. Maana nlijua sitaenda. So nlijua kabisa baada ya kikao chake na Rais hiyo kesho lazma atanitimua.

Kesho yake hata hakuitikia salam yangu. Ila kwa kuwa mm mmoja wa wasaidizi wake nikawepo kwenye timu yake. Kufika ukumbini tukawa tunamwekea makabrasha yake vizuri. Kila kitu kilipokua sawa tukakaa nyuma yake. President alikua mtu mmoja smart sana. Na alikua mtu anayependa sana watu, ndo maana hata alipoingia ukumbini that day alisalimia kila mwakklishi wa mkoa na watu wake. Alipofika kwetu tukasimama. Mkuu wa mkoa akaanza kumsalimia, then President akamwambia amtambulishe na watu wake. Akaanza kwa katibu tawala, then katibu wa itikadi za chama kilichokua madarakani mwaka huo, then mimi akanitambulisha kama katibu mahsusi wa ofisi ya mkuu wa mkoa. I was sooo happy.

Tulivotoka hapo simu ya kwanza kwa Ras. Namwambia your babe is now shaking hands with the president of the republic. Alifurahi pia, akanitania tu eti niingie kwenye siasa sasa hahaha. Baadae hotelini, mkuu hakusubiri mm niende kwake. Maana mida ya saa nne hivi nashangaa mlango unagongwa. Kuuliza nani sipati jibu. Ile nafungua, uso kwa uso na RC. Moyo ukaanza kwenda mbio. Ingekua ni mimi yule wa zamani wala asingepata shida mzee wa watu, ningempa mambo kiroho safi tu. Ila now bahati yake mbaya I love one man alone. And will never break his heart.

RC si akaanza kubembeleza. Mi nikawa namtolea nje kiupole tu. Namwambia nina mchumba na zaidi ya hapo haitakua poa kwa familia yake. Mzee alipoona nimekaza akaanza kunitishia. Akasema kwa nafasi aliyonayo anaweza nipoteza mm na hata huyo mchumba wangu. Aliposema hivi nikaingia wasiwasi, asije mdhuru Ras wangu. Nikawa kimya. Nadhani akaona somo limeniingia akanikumbatia kwa nguvu. Ila nikafikiria Ras angetaka nifanye nn kwenye situation kama hii. Of course asingependa nigawe utam wake. Nikajiondoa kwa nguvu, nikachukua mkoba wangu nikatoka nje. Moja kwa moja nikaenda hotel nyingine nikachukua room.

Kesho yake nikakata ticket ya basi kurudi moshi. Nikajua hapa siasa ndo basi tena. Bt what kept me happy is the idea of me and Ras. At least naenda kumuona, anikumbatie, animinye nyama za matako namna anavyopendaga kufanya kila akiniona, aniingizie mtarimbo wake, nimkatie mauno kama yote, then nisinzie kifuani kwake. I don’t need anything else in this life but that.

Kufika moja kwa moja hadi home kwa Ras. kwa kuwa funguo nnao nikazama hadi ndani. Nlikua na kiu, nikasema ngoja nipate maji kwanza. Ile namaliza kuweka maji kwenye glass. Si mlango wa room ya Ras ukafunguliwa. Akatoka mdada. Tena yuko na kichupi tu na bra, dalili kuwa ni mchepuko wa Ras. Niakjikuta nadondosha ile glass ya maji. Yeye pia alishangaa kuniona.
“hujambo binti", akanisalimia, hata sikuitikia.
“ww ndo rafiki yake Zahra eeh? Nmeskia mengi abt you…” mi nikawa bado sielewielewi kinachoendelea. Natafuta walau sababu ya kutokuamini ukweli uliopo mbele yangu.
“ Mi naitwa Zoya, bahati mbaya Zahra tumemuagiza Arusha atarudi kesho",
Nikajikuta naanza kulia, baada ya kuona sipati any other alternative ya ukweli kuwa huyu ni manzi ya Ras. Nikatoka kwa speed pale home. Nafika getini nasikia Ras ananiita, sikutaka hata kugekuka kumuona.

Straight kwa mama. Yeye pia hakujua nn kinaniliza, bt alihisi tu ni issue za mapenzi. Akaniacha kama nlivyo. Nimejifungia room kwa siku tatu, nikitoka ni kwa ajili ya njaa tu labda. It was hard to take. Siku zote hizi Ras anaomba nimpe nafasi ajieleze, mm kwa kweli sikua tayari kumsikiliza. Zahra nae hadi alikuja home, mama akanisihi nitoke nimsikilize ila sikua tayari kumpa nafasi ya kuongea na mm. Hadi walikata tamaa.

After a week, nashangaa maza ananiita kuwa kuna wageni. Kabla ya kutoka nikachungulia dirishani nikaona magari kama matatu ya serikali yamepaki nje. Nikajua mkuu wa mkoa kanifuata. Kutoka nakutana na jamaa zimevaa kijeda. Wakanisalimia kwa adabu pale wasiwasi ukanitoka. Wakaniambia nijiandae tutoke kuna shughuri ya kiserikali mahala. Nikaona RC kaamua kuanza upya mashambulizi. Kwa kuwa nlikua nshavurugwa na Ras nikaona ngoja niende na upepo unavyoenda, nikijikuta nimeliwa poa tu. Badala ya kwenda mkoani, nashangaa magari yanashika njia ya arusha. Kufika arusha nikapelekwa Ngurdoto hotel, bonge la room.

Jioni nikaja kuchukuliwa, nikapelekwa conference hall ndogo ya hii hotel. Ila ule ulinzi uliokuepo pale, na ukaguzi nliofanyiwa kabda ya kuingia kwenye hiyo conference room ulifanya niamini hii sio level ya RC. Kuzama ndani nakutana na Mr President mwenyewe. Alikua kama anamalizia kikao na mawaziri wake wawili, akanielekeza kwa ishara nikae. Nikatafuta kiti nikakaa.
“So gentlemen, mkasahihishe hayo mambo tuliyoongea, then mtanipa report keshokutwa"
“Sawa boss" wakawa mawaziri wametoka.
Then simu yake ikaita akawa amepokea. Ila muda wote anaongea huku ameniangalia mm. Alipomaliza akasimama akaenda dirishani akawa anaangalia nje.
“unaitwa nani binti"
“Naitwa Shubi Rugaimukamu"
“nasikia uliacha kazi kwa mkuu wa mkoa, why?” nikakosa jibu. Ingawa sikupenda alichonifanyia RC ila sikutaka kumharibia, after all alivutiwa na mm kama mwanaume yeyote ambavyo angeweza vutiwa. So I remained silent.
“Najua alichotaka kukufanyia pale dodoma, I have my ways of knowing things. Ww ni msichana jasiri na unayejitambua”, aliendelea kuongea huku ametazama nje kanipa mgongo.
“I hope umependa room nliyokuweka",
“Ndiyo mheshimiwa, nashukuru sana.” Nikamjibu kwa aibu aibu.
“najua unajiuliza umeletwa kufanya nn hapa….. well mi ni mtu ninayependa kuwa muwazi na mkweli siku zote. Nitafurahi sana kama mimi na wewe tukiwa wapenzi Shubi", aliongea haya huku akinigeukia. Nikajikuta kwa aibu naangalia chini.
“najua unaogopa, ila nakuhakikishia hutapatwa na madhara yoyote kama hauko tayari kwa hilo, ila naomba sana ridhaa yako,…. Tangu siku nakuona dodoma umekua unaoccupy mawazo yangu"
Mawazo ya kwanza kuja yalikua ni Ras. I loved that man, na nlikua nimejiapiza kuto mcheat na yeyote. Bt nikakumbuka alichokifanya wiki iliyopita, nikajikuta nina hasira nae bado.

Nikawa kimya nimeinama chini. Si akaja, kwa kuwa nlikua nimekaa, ikabidi achuchumae ili tuwe sawa. Akanishika kidevu kuninyanyua kichwa. “may I kiss you", eti anaomba ruhusa, jamani. Sikukataa wala kukubali. Akawa sasa amepiga magoti mwili wake upo katikati ya miguu yangu. Akanisogezea lips. Jamani utamkataliaje mkuu wa nchi.

Nikasimama, nikaelekea dirishani nikawa kama naangakia nje. Akanifuata, akanizungushia mikono kwa mbele. After some time nikamgeukia, nikamshika mikono yake nikaizungusha kwenye makalio yangu as if namwambia feel free. Mikono yangu nikaizungusha shingoni kwake, nikamsogezea lips. We started kissing. Alichofanya, akaniegesha kwenye kingo ya dirisha, nikaelewa anachotaka. Nikamfungua zipu, nikawa sasa kama nimekaa kwenye kingo ya chini ya dirisha, akawa katikati ya miguu yangu. Akatafuta upenyo akazamisha, ila pozi likawa linazingua, akanigeuzia kwenye meza, akapandisha sketi yangu juu.

Nikawa nimeingia kundi la wanawake wachache nchini kama Mary, Sitty, Anne na Salma. Ukawa mwanzo wa mafanikio yangu. After just 3 months nikateuliwa ukuu wa wilaya. Watu wanashangaa tu. Wanaspeculate yao, mi nakanusha mbaya kabisa, tena sometimes hadi kwa kutoa machozi. Hahaha.

Nimekuja kuonana na akina Zahra siku chache kabla ya ndoa ya Zahra. Ambapo nlipata wasaa wa kuelewa ukweli wa mambo. Nikajikuta naanza kumtamani tena my Ras. Sema ndo prezdaa nae nikawa nishamzoea. Hadi siku ya mwisho ya harusi ya Zahra ndo nlipata wasaa wa kuongea na Ras. Of course feeling zangu kwake bado zipo, tena sana tu.

So sku hiyo nimeonana nae, tukawa tumesimama pale kibarazani nikatamani nimweleze ya moyoni, nikatamani walau nipate chance ya kuukatia tena ule mhogo wake. Vyovyote atakavyoamua kunifanya niwe. Ila nikaogopa Prezdaa akijua anaeza mpoteza.

Uzuri hakukua na mtu mwingine pale home aliyebaki. Ras akaomba nibaki. “can you stay for tonight", nlielewa anachomaanisha. I wanted him too. Bt I said “darling you know I can't stay, Cos I've given my heart and my word to a man far away” nliona kabisa sadness in his eyes. I felt weak as he kissed my cheek, and sighed when I heard him say “Never knew I could get my heart broken in less than a day”, sikujua ni joke au slimaanusha. tukabaki kimya kwa muda.

I really wanted to assure him, But assurance isn't easy to give, especially if you've never been sure of anything much in ur life. And unfortunately it get less so the longer you live. Bt kwa heshma yake sikutaka tusimame tu pale kimya, so I spoke soft and pretended to cough nikamwambia, “ I also never knew I could get my heart broken in so many ways”, nia yangu sio kukumbushia yaliyopita. Nlitaka aelewe walau kifasihi, my heart is also breaking right now.

Nikamuaga. Akanisindikiza kwenye gari yangu. Mvua ilikua inamwagika sio mchezo, bt alisimama kwenye mvua hadi nlipotokomea na gari yangu. Njia nzima namuwaza yeye. Tears started flowing in my eyes.

Picha yake ilikua inanirudia kichwani. Nlipomuacha pale nje kwake. Standing there in the pouring rain, Ras hakua amebadilika sana. His hair a little shorter yes, but everything else looked the same. I could've told him that I still adore him, he could've said he felt the same way, but we just smiled to each other when we said goodbye 'cos sometimes words aren't the right words to say.

Wasalaam

Kiga.

Credits to Google.com kwa picha na Passenger kwa mistari yake kadhaa.
Screenshot_20200503-122430_WhatsApp.jpg
 
Dah, kiga tulegezee mkuu angalau nusu episode hapa midweek. Nilidhani ya leo itatibu arosto, badala yake arosto imedouble. I CAN'T BREATHE MAN!
 
Mkuu na mm kila jumamosi nalipuka na chuma moja matata kama ya kwenye story tuko pamoja mkuu wacha tujipe raha
 
Salute brooo.
Hii ni episode ambayo nimeisoma kwa pupa kuliko episode zote katika stori hii.

Si kwa kuwa nilikosa utulivu wa kutosha, la hasha, ila ni kwa sababu ya TAHARUKI ulizozijaza katika andiko hili.

Nitairudia tena.
Ni tamu mnooo.

Shubi katisha sana hapa.
 
Salute brooo.
Hii ni episode ambayo nimeisoma kwa pupa kuliko episode zote katika stori hii.

Si kwa kuwa nilikosa utulivu wa kutosha, la hasha, ila ni kwa sababu ya TAHARUKI ulizozijaza katika andiko hili.

Nitairudia tena.
Ni tamu mnooo.

Shubi katisha sana hapa.
Pamoja kiongozi
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom