Cheaters: The Series

Cheaters: The Series

Episode 5

Marga.

Jamani nimeona niingilie kati, maana kuna dalili kuwa nikiruhusu Zoya aingie hapa ataniharibia kabisa personality yangu. Ngoja kwa leo niwape intro ya harakati zangu......

Kuna wapenzi wasomaji wanaodhani labda interest zangu kwa Ras zimekuja kwa sababu ya mafanikio yake. Hapana, sijawahi kuacha kumpenda Ras, ni vile tu pale mwanzoni sikuona kabisa kama Ras yuko serious na life yake. Nlitarajia nikimuacha atajipanga ili awe na life analostahili, maana he had a big potential kwa kweli.

Kwa kuwa Ras kawa aina ya mtu ninayetaka ktk maisha yangu, ndo maana nilijiapiza kumrudisha kwenye himaya yangu. Kuna namna mbili tu za kum-win mwanaume. 1. Pull him to you 2. Make him be pushed to you. Ila vyote hivi haviwezekani kama hampo na ukaribu, au basi walau ajue uko interested

Kitu cha kwanza kabisa ilikua kuhakikisha ananiona mara nyingi kwenye simu yake. Yaani kila siku ilikua lazma nimtext, sometimes napiga kabisa. Na sikua napata shida asipojibu maana halikua lengo langu kuchat nae, hii ilikua tu ni step ya kwanza ya mkakati wangu.

Then I needed to get close to him bila yeee kushtuka. Nikajaribu kufikiria, nikagundua njia nyepesi ni kuwa rafiki wa rafiki yake. Nikajaribu kupeleleza kama bado yupo close na Nshomile, sikuona dalili. Ras alikua kama hana tena rafiki wa karibu, the guy was only close to his job. Nikagundua namna pekee ya kumkaribia Ras ni kupitia mmoja wa wafanyakazi wake pale ofisini kwao.

So nikatunga uongo na kweli nikaweza kutinga ofisi zao. Sikutaka nizoeane na mdada, kwa mkakati wangu, mkaka angenifaa zaidi. Maana wadada wanamachale sana, angejua motive yangu mapema, na unaeza kuta mdada nae anamemzimikia Ras ukajitengenezea mazingira ya kupigwa vita from two fronts.

Wala haikuchukua time, nikajikuta nimemuweka karibu dogo mmoja hivi anaitwa Albert. Pale ofisini alikua ndo mhasibu. Basi nikawa namtoa toa lunch dogo akajua labda anapendwa hahaha, kumbe mi nataka tu info. Na alinisaidia kinoma.

Kutoka kwa dogo nikajua kuanzia ratiba za Ras, wapi anakaa, na kikubwa zaidi anadate na nani. Hadi picha nililetewa ndugu msomaji. Kalikua kabinti kazuri, ila hakanifikii ofcourse. So mkakati wangu ni kwanza ukawa kuhakikisha Ras anakumbuka anachokikosa. Maana naamini kwa mapenzi nliyokua nammegea, sidhani kama huyu mtoto wa kishua anaweza mpatia.

Kutokana na ratiba nliyopata kwa dogo, nikawa najua wana trip ya Arusha hivi karibuni. Nikajua hadi hotel watakayofikia yy na timu yake ya superstars. Nikasema hukohuko ndo naenda kumchukua. Akirudi dar atakua ashabadili timu. Siku zilivyofika sikufanya ajizi, nikatinga arusha pia.

Nilitumia gharama aisee, ila wala sijutii. Maana ilibidi na mm nichukue chumba Mount Meru, hotel ambayo akina Ras wamefikia. nlifika alhamisi nakumbuka, nikitarajia siku ileile jioni nirushe karata yangu ya kwanza. Baada ya kuoga na kujipamba nikazurura pande mbalimbali za ile hotel, Ila hola, sikumtia machoni kabisa Ras. Yaani mpaka narudi kulala jiko hoi. Nishapoteza siku hivyo dah.

ijumaa yake mchana nikaendelea na mawindo. Nlihakikisha kwanza napendeza kinyama. Kitop cheupe na kiskin jeans cheusi kilichonikaa vema ndo nlitupia. Sikupata taabu sana kama jana yake. Nlimuona amekaa na jamaa yake kwenye counter ya bar iliyopo karibu na swimming pool. Nikamsogelea then nikajidai kushangaa, “OMG! What a small world!, upo arusha kumbe Ras,?” kuniona alishidwa kuzuia mshangao, ikabidi asimame anihug. The hug wa sooo gud. Ras sio yule wa zamani, Ras sa hivi kajaa kifua, ananukia, anapendeza, dah. Kuna mda nlihisi kama mkono wake unataka kuteremka takoni ila akajizuia hahaha, au mawazo yangu tu? Ila kama ni kweli basi huyu hachukui round.

Baada ya kutambulishana sikutaka kujidai najiweka pale sana. Nikaaga. Ingawa kiukweli nlitamani nikae pale niwe karibu yake, nivute pumzi yenye harufu nzuri ya huyu mwanaume. Ila nikajikaza nikajidai kuna issue nafanya. Kufika tu room naona msg yake, “was happy to see you", nikasema yap kashanasa huyu. Sikuijibu kwa haraka, nliacha kama masaa mawili yapite ndo nikamjibu kuwa nimefurahi kumuona pia, and hopefully tutaonana tena soon. Msg ikajibiwa fasta, “I hope so too”, mi nikajibu kwa vile viemoji vya vidole vya chadema.

Kesho yake nikawa nimealika shost zangu wawili ambao wanakaa arusha. kimsingi nlikua pia nimewamiss so nikapanga niwaone pia. wakaja pale Mount Meru. Tukachagua sehem tukakaa tunapata kilevi. Dah yani nikikumbuka gharama nlizotumiaga pale….. mfano bia ni mara tatu ya bei ya mtaani, yaani bia elf sita (kwa bei ya sasa) na hawa shosti zangu ni walevi hasa. Ila it was all worth it.

Mida ya saa saba hivi nikamuona anapita, nikajikausha kama sijamuona. Na kwa kweli leo nlijipamba hasa, asingeweza pita bila kuninotice. kweli kaniona akaja. Nikasimama ili nimsalimie vizuri, lakini lengo ilikua anione vizuri nlivopendeza kwa ajili yake, gauni fupi ilitambaa na maungo yangu, shepu yangu ikawa wazi kwa ajili yake anione, ainjoi. And he noticed. Maana alinipa hug tena, and this time mkono ukashuka takoni, nikasmile. Yaani wanaume, tamaa tu zimewajaa, kuniona tu vile kasahau kabisa kuhusu kidem chake cha Dar.

Tukamkaribisha akae akachomoa. Alivyoondoka, wale mashosti acha wamsifie, mi najidai sina mpango nae. Baadae akatuma msg, “you look good in white", nikashukuru huku natabasam ili kama ananiona ajue nmefurahia complement yake. Nikamtumia msg kusuggest twende nyamachoma kwa mrombo, hii hakujibu. Nikaanza kujisikia vibaya, au nimeenda speed sana? Hadi mood ya kukaa pale ikaniisha, nikatafuta sbb nikawaacha wenzangu nikaenda room kulala.

Nmekuja kuamka saa kumi hivi. Kucheki simu nakuta msg, “fine, saa ngapi?", woyoooooooooo. Hilo shangwe nusra liamshe majirani. Nikajibu fasta, hata ss hivi. Na yy wala hakuchelewa, akanambia tukutane parking in 30 mins.

Kwa Mrombo tuliinjoi nyama tu. Hakuna aliyekua anamwambia mwenzake abt the past, sanasana ilikua ni story abt the beauty of Arusha. Ntaanzaje kuongelea past events bila kukumbushia maumivu nliyomsababishia. So nikawa nampigisha tu stories nyingine. Mida ya saa mbili hivi tukiwa tunarudi nikawa najiuliza kama itakua good idea nikampe mambo leo au niendelee kumvuta kwanza. Na kama ni leo namuingiaje? Nikaamua night ntamvamia tu room kwake kwa sbb yeyote ile, najua aezi kataa uchi akipelekewa. Wakt nawaza mwenyewe akashauri baadae twende Tripple A. Nikasema huyu anataka papuchi pia, maana mida tutakayotoka club ni mida mibaya na ni rahisi kuishia kulana. Tukapanga tujiandae then kwenye saa tano tutoke.

Ile tunaingia hotel, uso kwa uso na dem wake Zoya. Tena hata sio ndani. Palepale kwenye mlango wa kuingilia. Dah, kile kidem kinamachale balaa. Leo ilikua rasmi namchukua jamaa yake. Kalivyotuona tu nikajua kamemind. Hata ingekua mm lazma ningemind, ila hakakusema kitu, kanajidai kutabasam pale, kakamhug bwana ake, tena sio hug ile ya kugusanisha vifua tu. Ilikua ni ile ya kupotelea mwilini mwa Ras. Na ili kunikomesha akamkiss lips, dadeki, nlikoma. Ikabidi niage. Bt Ras akasema anitambulishe kwanza, “huyu ni mpenzi wangu anaitwa Zoya, na babe kutana na Marga my ….”, hata kabla hajamaliza Zoya akamalizia “….your ex-girfriend”, ,......

Wasalaam

Kiga.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu sana kwa mwanaume kuchomoa kwa mwanamke. Na mwanaume akiweza, mwanamke tambua huna unachomvutia hata kimoja. Sisi tunapenda vipandevipande
 
Episode 6.

Zoya.

Jamani msinichukulie poa. When it comes to fighting for what I know is mine huwa nakua mwanajeshi hasaaa.

Dalili nlianza kuziona kitambo kidogo. Msg za huyu dada anaitwa Marga. Mwanzo nlijua ni wapambanaji tu kama wapambanaji wengine ambao najua hawawezi kumstua Ras. So nikawa napotezea. Bt kuna kitu kikaniambia em fanya kautafiti kidogo umjue, maana ilikua daily lazma nikute msg zake. Ras sikutaka kumuuliza maana sikutaka nimuudhi kwa insecurities zangu mwenyewe. Na kikubwa sikutaka kumpoteza kabisa Ras. Nliogopa nikimuuliza atakasirika aniache. I loved him soo much.

Kama kawaida ktk ulimwengu huu wa teknolojia hupaswi kuhangaika sana. Nikazama fb page ya Ras, nilikagua picha zote unaambiwa, tangu kajiunga fb elf mbili na nane huko. Ktk picha moja ya graduation yao ndo nikaona caption, “thanks Jah for blessings, and you babe for the support,” then kamtag Marga. Ndo nikajua oooh kumbe ndo alikua pumziko lake chuo. Sikumlaum hata, maana hata mm chuoni kuna mtu au tuseme watu walikua wananipumzikia hahaha. Msjali iko siku ntawaletea simulizi za harakati zangu chuoni.

Na kadri nlivyopitia page yake zaidi ndo nikaona namna gani walikua close. Picha nyingi walikua wote, na Ras alionekana so happy akiwa nae. Nikaconclude kuwa Ras alifall kiukweli kwa Marga. Nlivyounganisha na picha alivyoielezea Nshomile nikapata picha kamili. Ila huezi jua bana, wanaume walivyo wadhaifu, mtu aliyekusaliti unaeza mrudia tena ww ndo ukaomba msamaha. Kupata picha kamili nikatafuta social pages za Marga nikawa nazipitia bila kumfollow.

Nilichoshukuru ni kuwa Ras alikua anamuignore Marga. Yaani hata akireply msg ilikua ni short tu. Sasa sku ile ndo kuona kwenye page ya Marga yuko arusha, alafu Ras nae yuko arusha pia, kengele ya hatari ikagonga kichwani, sikupoteza time nikamfuata baby. Ndo kushuhudia live wakiwa wametoka out manina zao. Sikutaka kupanik, nikajidai am all good pale ila tayari nlishaona competition. Na competition yenyewe sio ya kitoto ndugu msomaji, kwanza Marga ni mzuri, she has everything yani, alafu cha pili ni kua Ras alishampendaga sana, huenda zaidi ya anavyonipenda mm now. Bt like one singer alivyoimba,

“…… I will go down with this ship, I won’t put my hands up and surrender. There will be no white flag above my door, cause am in love, and always will be…..”

Nlijua fika nikicheza karata vibaya nampoteza Ras. Kuna factors mbili za kumkeep mwanaume. 1. Pulling factors 2. Pushing factors, naam, zilezile alizowadokezea mshindani wangu, na nlipanga kuzitumia zote. Uzuri ni kuwa mpira uko kwangu, so Ras was mine to lose. Nlianza the same night.

Nauhakika that night mm ndo nlimtia Ras, maana nlijituma hasa. Nlihakikisha sijabakiza kitu, yaani angetaka hata tigo ningempa, chezea mapenzi ww hahaha. Lengo langu akikutana na huyo Marga akumbuke hakuna kitu atampa ambacho hapati kwangu yani. Na baada ya mechi nikawa nampigisha tu stori ya tulipotoka mm na yeye, lengo ni kuwa akumbuke role yangu ktk kumfanya alivyo leo. Kwa muonekano tu nkajua somo limepenya. Nikamuacha anawazua huko kichwani kwake nikaenda kuoga.

Baada ya dkk chache naona kidume kinazama pia bafuni, hakuwa amehangaika hata kujifunga taulo. Yupo kama alivyozaliwa, mdudu wake unaning'inia tu. Nikawa nauangalia, then namuangalia yeye natabasam. Akanirudishia tabasam.

Kwa kuwa ndo nlikua nmejipaka sabuni mwilini, nlikua na utelezi mwili mzima. Ras akanisogelea, akaanza kunishika shika boobs. Yaani kama ananipaka mafuta, mi nimetulia tu nione mwisho wake. Mikono ikawa inatambaa kila eneo muhimu. Na uzuri ni kua Ras ashanijulia password yangu ilipo. Na ule utelezi wa sabuni nliona kama napaa kwa raha anayonipa.

Akanivamia kunikumbatia sasa, chuchu zangu akazikandamiza mwilini mwake. Then akafungulia shower ikawa inatumwagikia, huku tunakiss mwanawane. Yaani hatukujali kuloanisha nywele, sikutaka hata kuwaza kuzikausha, ukizingatia nayeye pia anarasta kichwani ikawa wote tumejisahaulisha. Tunakiss tu, mikono yake imekamatia nywele zangu, akawa anapitisha vidole kama ananichana nywele vile. Mi skumbuki hata nlikua nimemshika wapi hahaha, ila.mpaka.leo nakumbuka ladha ya lips zake.

It was like magic aisee. How can one have such an intense and unexplainable feeling just by holding and kissing a man? It was magic, love is magic mazee. I think love is just a term we gave to explain an unconscious and involuntary movement towards understanding one's wholeness. And right there and then was one of my favorite moments with my man. I felt complete.

Nikawa nazidi mkumbatia kwa nguvu, miguu yangu ikawa nayo haitulii, yaani kama nataka kumpanda vile, hata sijielewi, kumbe palikua panawasha. Alichofanya akanihamishia kwenye bathtub. Akatangulia yeye mi nikawa kwa pembeni yake kidogo ila mguu mmoja uko kiunoni kwake. Akawa amefungulia maji yakawa yanaongezeka tu na kutufunika. Ile position ikampa wasaa mzuri wa kunipapasa matako na paja. Na hakulaza dam, mara ayaminye, mara ayachape vibao, mara ayasugue, mi niko zangu bize nadendeka, huko chini nikamuachia anifanye anavyotaka.

Askwambie mtu, kutiwa kwenye maji kunaraha yake aisee. Yeye alianza kwa kunipa raha ya vidole. Yani nikawa naskia raha unaeza dhani hakuna haja ya dushe. Ila alivyopenyeza dushe, nikasahau kabisa utam uliopita. Kule room mi ndo nlijituma, ila pale bafuni nlikua nimetulia tu nikamuachia my man anit*mbe. Alinisugua hasa. Kelele nilizopiga nadhani kama Marga alikua next room alijua mechi inayopigwa sio ya kitoto.

He did justice to both our reproductive organs. Maana mechi haikuishia ndani ya maji tu. Kuna muda alinitoa, akanishikisha ukuta. Yaani nikajibinua kidogo tu kiuno, nyoka huyo akapenya. By this time nlikua nshaizoea mashine ya Ras, akawa anaisukuma yote, mikono yake imeyabinya matako yangu huku midomo yake ikini kiss shingoni. Sometimes akawa ananinyonya masikio. Sometimes ananisemesha. Sometimes ananichapa matako, paah. Jamani. Nlizima ndugu msomaji, yani nlipoteza kabisa netwek. Nakumbuka tu alimaliza then nikahisi kama nabebwa nikapelekwa kulazwa kwenye kochi lililokua mle room.

Kuja akili kunikaa sawa, nakuta ananikausha nywele kwa blowdrier, sjui hata aliifata wapi. Nikawa namuangalia mpenzi wangu simmalizi. Haya mapenzi yataniua mm, sio kwa raha nnayoipata nikiwa na huyu mvuta bangi. Nikamvuta tena,… tukaanza tena… ni kama tulikesha aisee.

Nakumbuka j2 ilitakiwa niwe dsm maana mzee kule jela alitaka tuonane. Ras akaniambia nisipate shida, akampigia simu ajenti wa precision air tukapata tiketi ya ndege ya saa tano asubuhi. Asbh yake baada ya breakfast akanipeleka KIA. Kisses and hugs kibao on the way. Nikajua tu hii ni namna yake ya kusema he is sorry for what happened jana.

Kufika DSM ndo kuonana na mzee sasa. Mzee ananambia kwanza anaomba msamaha kwa tunayopitia, mi nikawa nampa moyo kuwa atatoka tu asijali. Mzee akacheka sana, kisha akanambia huko jela aliko ni salama zaidi kwake maana akitoka wanaweza muua. Nkashtuka ila mzee akanitoa wasiwasi kuwa walau yupo jela lakini yu hai, so muda wowote twaweza onana.

Ndo kuniambia alichoniitia. Kumbe hizi mali zote walizotaifisha mzee alishajua hilo litafanyika. So kama mwaka mmoja kabla alifungua akaunti uswisi huko kwa jina langu ili hata kama akienda down basi mwanae nisibaki patupu. “katka wanangu, ww ndo umetulia, kichwa chako kipo vizuri na pia u msichana unayejitunza so najua nikikuachia kitu ww basi utawatunza nduguzo pia", kidogo nicheke aliposema ninajitunza, angejua mwanae usiku wa jana nimekesha natiwa, sjui kama angesema alivyosema. Mzee akaendelea kuniambia kwakuwa serikali inafuatilia sana mali zake, ile pesa ili kupewa itatakiwa nipewe zikiwa kama pesa halali nlizozifanyia kazi. Yaani zitakatishwe.

Mzee akanipatia karatasi imeandikwa tu tarehe yangu ya kuzaliwa, hospital nliyozaliwa, na herufi mbili za jina langu la kwanza. Baada ya kuviona akaichukua ile karatasi akaitafuna, akanambia hiyo ni password, sitakiwi kuisahau. Akanipa karatasi nyingine, hii ilikua na namba ambayo imekaa kama ya simu ila ina tarakimu sita tu. Mzee akaniambia hiyo karatasi naeza itunza haina madhara sana. Ila kuicheki ilikua rahisi tu, nikaikariri hapohapo. Then akanitajia na namba nyingine ambazo zilikua ni country code pamoja na code ya service provider.

Alivyohakikisha kila kitu kimekaa kichwani, akanambia nikitoka tu pale natakiwa nipige hiyo simu, then nitamke ile password. Nitaandaliwa utaratibu maana natakiwa nisafiri nikakae huko ziliko pesa kwa muda wa mwaka mzima ili nikirudi hapa pesa ntakazokua nazo zionekane ni halali. Mmmh. Uoga ukaniingia.

Kila kitu alichosema kilinitia hofu. Kwanza sikutaka kujiingiza kwenye matatizo na serikali lakini pia sikutaka kukaa mbali na Ras hasa kipindi hiki. Yaani kukaa nje mwaka mmoja si ndo kumpa Marga ushindi wa mezani. Hapana kwa kweli. Nikawa nimemchomolea mzee. Nje siendi, atafute option nyingine. Mzee anakomaa hakuna option nyingine. Wakijaribu vingine hiyo hela itakamatwa pia. Nikapinga katukatu.

Mzee kidogo alie, ila ndo nlishaweka msimamo. Hakua na namna, alichoniambia tu, nikiwa tayari niipigie hiyo namba muda wowote, nitaje birthday yangu, hospital nliyozaliwa na herufi mbili za mwanzo wa jina langu. Nikitamka hivyo vitu, utaratibu wa kunikabidhisha pesa utaanzishwa rasmi na nitatumiwa tiketi ya ndege kwenda huko kunakostahili.

Nje siendi wala nn. I have my personal battles to fight kwanza. Ila nikifikiria namna familia yangu hasa mama na kaka zangu wanavyopigika, nlijiona mbinafsi sana kutofata ile hela. Sema ndo mapenzi wakuu. Mapenzi yana run hii dunia.

Sikutaka kumchunga Ras. Yaani ile kumkaba man to man, sikutaka kabisa. Nlitaka kucheza fair game kwa Marga. Yani hata simu ya Ras sikuigusa kabisa. Nikazidisha tu upendo, nlifanya kila kitu kwake. Nlimfulia, nlimpikia yani kiufupi nlimpa kila aina ya care. Nlitamani tu oneday anambie nihamie kwake, ila hakuwahi gusia hilo suala, na sikutaka mm nilianzishe. Ila ratiba yangu ilikua lazma kila siku niende kwake. Hata kama nitaondoka kabla hajarudi, lakini alikua anakuta chakula na nimemfanyia usafi.

Then siku moja nikapigiwa simu na dogo mmoja anaitwa Albert. namjua kuwa anafanya kazi ofisini kwa Ras, dogo akaniomba tuonane kuna issue anataka kunishirikisha. Sikua na pingamizi.

Tukakutana pale breakpoint. Dogo alichoniambia kilinistua. Alisema, “shem mi nakuheshim sana, na sitaki nikuone unaumizwa na Ras. Ras now anatoka na dada flani anaitwa Marga. Kila siku lazma huyu dem aje watoke wote. Nimeamua kukwambia ili ulinde kilicho chako". Dah. Nlishtuka. Mbona mapema sana? Kawezaje huyo Marga kupindua matokeo fasta namna hii? Of course what did I expect. Mwanaume kwa kumpa mapenzi tu ndo atatulia? I was wrong. Dogo akanishauri nimface Marga nimwambie aachane na Ras. Sikujua hata la kufanya kwa kweli.

Wakati bado nipo nimeduaa pale, akaja Steve Nyerere, kumbe wanafahamiana na dogo. Akakaa pale mi mood ya kuchangamka sina. Ila kama mnavomjua Tivu, mtu wa utani, haikunichukua muda nikaanza kutabasam na kucheka. Dogo akashauri tupige picha ya ukumbusho, tukapiga picha na wote. Nikawaaga. Wakati naondoka dogo akasema ili kulinda kibarua chake anaomba sana nisireveal chanzo cha taarifa.

Kufika home ndo nikatambua uzito wa maneno nliyoambiwa. Yaani kimsingi ndo nishampoteza Ras. Bado kutamkiwa tu. This realization made me cry like a baby. Nakumbuka mama alinibembeleza sana. Ingawa sikumwambia kinachoniliza ila najua alihisi. Sema ndo haezi nidadisi kiundani. Akawa ananiambia tu, no one is worthy of your tears. Usimng'ang'anie mtu anayekuliza namna hiyo, kama bado uko nae muache ili mtu anayekustahili apate nafasi. Kama amekuacha shukuru Mungu maana ungelia zaidi huko baadae. Nikamuona mama anazingua tu. Am not letting him go easily.

Kitu cha kwanza kesho yake nikampigia simu dogo. Nikamuomba anielekeze Marga anapoishi. Nlitaka nikamface tuongee kama wadada tunaojielewa, na kama ananichukulia mume basi walau ajue ameniumiza kiasi gani. Huenda akanihurumia. Dogo kanielekeza. Sikutaka kupoteza time. Nikamfata Marga. Kugonga geti akanifungulia mwenyewe.

Akanikaribisha hata siku itikia, nikawa namuangalia machozi yananitoka, kuongea nikashindwa. Marga amesimama tu ananitazama. Nikapata ujasiri, “skia Marga, I love Ras, so much. Haya unayonifanyia ujue unaniumiza mno. Nimekuja tu kukuomba plz, leave him…..” Marga hata hakujibu. Ananiangalia tu huku anatabasam. Nikajilaum kupoteza bure muda wangu. Sikupaswa kabisa kuja, ni kujiaibisha tu. Nikaaga nikaondoka.

Direct nikaenda kwa Ras. Ilikua jumamosi so alikuepo home. Sikutaka kujionesha nimekasirika, nikajidai kumchangamkia pale. Bt nikaona Ras hajachangamka. Namuuliza kuna tatizo babe, anatikisa tu kichwa kukataa. Ikabidi nisogee nikakaa kwenye kochi alilokalia. Nikamuuliza kwa upole, “kuna kitu nimekuudhi mpenzi wangu,?” Ras akaniangalia ile unaona kabisa anahasira. Then akaniambia, “kama kuna kitu nataka kumwambia nimwambie na niache usanii" kwanza sikujua anachosema. Yeye ndo alipaswa aniambie wanachofanyaga na Marga kila siku.

Mbona sielewi Ras, nimefanya nini? “jana ratiba yako ilikuaje" akaniuliza. Nikatamani nielezee hadi meeting yangu na dogo pale breakpoint, ila nikakumbuka dogo aliomba nisiseme kitu. So nikamdanganya Ras kuwa nlikua home then kwake halaf nikarudi straight home. Kusema tu hivyo, Ras akasimama akanihama kochi, yaani kaenda kukaa mbali kabisa na mm. Nikajua hii sio ishu ndogo.

Akaniambia najua unatoka na Steve Nyerere. Sikutaka kushtuka namna nlivostuka, ingawa baadae nikawa nacheka. Ila the damage was done. Alivoona mstuko wangu akatafsiri nimeshangaa kajuaje. Ndo kaniambia sasa “Zoya, you are the woman I loved and trusted more than any other woman, nimejiheshimu siku zote kwa ajili yako ili kulinda heshima yako, nakiri kuwa kule Arusha siku ile ulivokuja yule dada uliyenikuta nae kidogo anishawishi kukucheat, ila since that day nikajiona mpumbavu, na nikamkataza kabisa hata kunitumia msg, nikajiweka mbali naye na wadada wote waliokua wananisogelea. Yote ni kwasababu ya mapenzi yangu kwako. Bt umeona sikufai ukaamua kunizunguka na msanii, nashukuru.”

Nliona kabisa usoni kwake kuwa anaumia. Nikaanza kulia, sio kwa vingine, ila kuona namna Ras anavyoumia. It pained me. Ingawa sijakosea kitu, nikatamani nipooze moyo wake, maana maumivu yake ni kama nayahisi mimi. Nikaanza kumuomba anisamehe, atulie, nampenda. Katika hizi harakati ubongo wangu ukafunguka juu ya kinachoendelea. Hii yote ni move ya Marga. Anatumia ile “pushing factor". Huu mchezo wote itakua kautunga yeye.

Nikajiona fala kichizi. Then wakati najitetea Ras akapokea simu. Nikawa nasikia tu “what?” “yuko wapi" “naomba niongee nae", then akasubiri kwa muda. Nikaona anaanza kuniangalia kwa hasira, haikuchukua muda. Alivokata simu, akanambia “ukaona hiyo haitoshi, unavyocheat ww ukadhani kila mtu anacheat, umeenda kufanya fujo nyumbani kwa Marga, umemfata na watu mkamfanyia fujo, why are you like that Zoya? Please leave".

Nakiri. Marga ameshinda mechi. Tena nimejifunga mwenyewe magoli ya ushindi. Ras akaniacha pale akatoka. Ikabidi na mm nitoke tu, ss ningefanyaje.

Narudi home nalia tu. Kufika home mama ananiona ananihug mwanae. “nlikwambia mwanangu usijiumize kiasi hicho, hakufai huyo", nikamwambia mama, its me not him, ujinga wangu umefanya nimpoteze, he loved me, nikawa naongea huku nalia. All this time nlijua Ras ananicheat, kumbe hajawahi kabisa, ila ujinga wangu umefanya nimpoteze…. Bas mama akawq amenibembeleza kama mtoto. Nikalala.

Nikasubiri labda Ras ataniita tukaongee, wapi. Ikabidi nimpigie, wala hata hapokei. Nikatuma msg kumuomba anipe nafasi anisikilize, wala hakujibu. Yaani siku mbili sijasikia lolote kutoka kwake. It was a very difficult moment kwangu. Baada ya siku mbili nikiwa natafakari namna nlivyopoteza vita, asubuhi moja naamka nikakutana na kitu cha ajabu mlangoni kwetu.

Mm ndo hua nakua wa kwanza kuamka, so ile natoka nje nakutana na hirizi nyekundu. Nikapiga ukunga wa hatari. Maza kutoka ndo anaiona. Uzuri maza mtu wa sala sana. Akaniambia hata nisiogope nothing will harm me. Akaichukua, kuiangalia kwa karibu imeandikwa “Zoya, msahau Ras hii ni warning", dah.

Nliwaambia kumkeep mwanaume kuna two ways right? I was wrong. Hii aliyofanya Marga ni ya 3. Inaitwa block your opponents. Na hili ni bonge la tofali, aisee. Kaniblock hasaa.

Nikaingia ndani nikamuacha maza anasali pale nje. Nikachukua simu nikapiga, ilivyopokelewa nikatamka, “10 April 1986 Regency ZO". Upande wa pili haukua na maswali, alisema tu, “we understand". Then ukaniambia baada ya siku mbili niende posta pale, kwenye sanduku namba 1605X nitakuta liko wazi na ndani kuna bahasha yenye passport yangu pamoja na tiketi ya ndege na kila kitu kikiwa tayari kwa safari.

Weekend iliyofuata nikakwea pipa to Bern. Nikapewa appartment iko full. Ina vyumba viwili vya kulala, sebule jiko na bafu moja matata kinoma. Nimekaa pale wiki nzima bila chochote cha maana, muda mwingi mchana alikua anakuja mwenyeji wangu ananitoa out kuzunguka vivutio mbalimbali vya jiji hili. Baada ya hiyo wiki ndo Nikajiunga na shule ya kufanya decorations. Course ya miezi sita.

Nikiri kuwa haikupita siku bila kumfikiria Ras. Nlijilaum sana kukurupuka na kusababisha kuvuruga mahusiano yangu. Ila nlijawa na hasira kwa Marga na yule dogo. Hasa Marga, why atunge uongo kua nimempiga? I thought tulitakiwa kucheza fair play. Anyways sina la kufanya now. Will use the time to heel and hopefully ntapoa.

Baada ya kumaliza 6months za shule, sikukaa sana. Nikaambiwq nimepata internship kampuni moja palepale Bern. Hata wiki moja sikua nimemaliza, nashangaa nasifiwa kwa kazi nzuri nnayofanya na kupewa bonus za kutosha. Baada ya mwezi nikapendekezwa kuingia kwenye mchakato wa tenda ya kudecorate ubalozi wa nchi moja pale Uswis, na kweli nikapata. Timu niliyofanyanayo ile kazi ndo kama walikua wao wanafanya, ila ilivyoisha sifa zote kwangu.

Ile kazi ikanijengea jina. nikawa napata deals za kufanya decorations maeneo mbalimbali Europe. Mpunga ukawa unaingia wa kutosha. Nakumbuka hadi gazeti moja likaniandika eti “an African princess with a magic touch", page kama zote kuelezea kazi nlizofanya na kwa nn zinavutia. Nikajua hii yote ni operation Swiss money ya the Don. Baada ya mwaka, nna zaidi ya bilioni ya kitanzania.

Kuna siku nikatembelewa na yule kaka aliyenipokea. Hakukaa sana, akaniambia tu, nishalipwa hela yangu yote ya the Don, so naeza rudi zangu nikitaka. Ila kabla hajaondoka akaomba tutoke jioni kama friends sasa maana kikazi tushamaliza contract. Nikakubali.

Kufika ile dinner, tuliongea mengi sana. Kimsingi hii shughuri wanayofanya haijafanyika kwangu alone. Kuna mamia ya watu wapo ktk program kama hii katika nchi mbalimbali Ulaya. Wanatakatishiwa fedha. Kwa kweli Afrika inafilisiwa aisee. Ingawa na mm nipo nafanya utakatishaji, ila iliniuma kiaina.

Baadae wakati ananirudisha home, akati ananiaga nashangaa mtu ananikiss lips, na kwakua ilikua ni ghafla, sikuweza kujichomoa, nkawa kama nampa ushirikiano nusu. Aibu zikanijaa baada ya kumaliza. I felt like cheating someone ingawa siko na mtu. Akaomba aingie ndani, dah, ukisikia kuliwa kimasihara ndo huku sasa. Nikawa kimya, kukubali sikubali kukataa sikatai. Naelewa now mabaharia wanavokulaga mabinti kimasihara. Akasema, we just have coffee don’t worry. Hahahaha, eti just coffee, Nikamwambia tu, its not right. Nikamuacha mlangoni kikazama ndani.

Mkaka wa watu akaanza kutongoza sasa. Anabembeleza tuonane, nachomoa. Anasema basi nisirudi bongo. Ndo akanipa hasira za kuwahi kurudi. Hakua mtu mbaya. Ni halfcast, baba Mzungu wa ufaransa mama Senegal. Jina lake lenyewe la kiafrika, Diop. Ila sikutaka tu mapenzi tena. Nikamwambia kama ananipenda basi yy ndo ahamie Tz then tujuane vizuri ndo maybe tufall in love. Yote hii kumkatisha tamaa. Diop si akasema sawa, hahaa. Nikajua hataweza, sio kwa life alilonalo huku then alipige chini eti aje bongo, kisa? Uchi! Thubutu.

Mwaka mmoja na mwezi mmoja kamili tangu nitoke bongo, nikarudi home. Wakati huo nishamsahau hata Ras. Sikutaka tena issue za mapenzi. Kufika ingawa nlikua tayari milionea, sikutaka kujulikana sana. Ile pesa nikawagawia ndugu zangu haki yao. Brothers wangu kila mmoja nlimpatia 300M, mama nae nikampa 200M nikabaki na chini kidogo ya 300M. Ingawa the Don alipinga kabisa mgao huo, alinambia ndugu zangu wataimaliza yote, ndo maana aliniachia mm. Mi nikaona kuondoa lawama niwagee.

Bt kama alivyosema mzee, maza hela yote aliimaliza kanisani, kwa wanasheria akitaka mzee aachiwe huru, na kwa yule bro mibangi. Bro mvuta bangi ndo hata haieleweki, ndani ya miaka michache tu akafulia, alivyofulia akaanza kuzipukutisha za maza pia. Yule mkubwa aliingia biashara ya madini ikampiga chini, hela zilivyokaribia kuisha ndo kafungua maduka ya ujenzi walau yuko stable. Mi ndo nimeweza kumultiply ile hela na sasa unaeza rasmi ukaniita Zoya the young Millionaire.

Miaka takribani miwili tangu nimerudi bongo, kuna mambo matatu yakatokea. Kwanza ni kufariki mzee akiwa gerezani. It devastated me. My dad was my closest friend. I loved him dearly. Pili, Diop. Nakumbuka mwezi mmoja kabla mzee hajafariki, alinipigia simu akasema anahamia bongo. Nikachukulia utani, ila akanikumbusha ahadi yangu, kuwa ili nimfikirie itabidi ahamie huku.

Dah, mwanaume kapenda kweli au ndo geresha tu ili niingie kingi. Maana hawa viumbe hawaaminiki. Ni waongo kupita shetani. Nakumbuka kuna stori nlishapewaga jamaa alimpenda binti mlokole, binti anasema kama unanipenda kajitambulishe home unioe. Jamaa akaona sio kesi, akatafuta wahuni waliozeeka mjini akatuma posa. Dada akaona jamaa yuko serious akavua chupi. Kwani aliolewa!

So sikutaka papara. Wala sikutaka kumpa moyo. Nikamwambia tu kama unahamia hamia at your own risk. Sitaki lawama baadae. Akasema ashaset kila kitu anakuja.

Tatu ni Ras. Yes huyuhuyu Ras,. Nlikua nshampoteza moyoni. Ingawa once in a while nlikua namkumbuka ila sio kimapenzi tena. I assumed yuko happily married now. Kwa nlivyomjua Marga lazma angekua ashamake it possible. Then one day natoka zangu church Azania Front pale, kulikua na misa siku ya jumamosi. Nikawa napita na gari yangu mtaa wa Azikiwe, si naona mtu kama Ras anauza vitabu.

Mwanzo nikadhani si yeye, ikabidi nikapaki mahala nirudi kwa mguu. Nikajibanza mahali nimcheki vizuri. Ni yeyee! Ras kachoka ndugu wasomaji. Sio Ras nliyemfaham. Sikuamini, yaani Ras anauza vitabu second hand, tena amevitandaza chini, yeye kakaa kwenye kiti cha plastiki anapiga stori na mshona viatu. Nikawaza labda sio muuza vitabu, maybe anapiga stori tu. Si akaja mteja, Ras kasimama akawa anamuuzia, aisee, ndo nikaprove Ras kafulia.

Wasalaam

Kiga.
View attachment 1470109

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀😀 Ras ndio kaisha aisee. Bila shaka alidhani atamake na Marga ila ikawa kinyume. Nahisi Marga baada ya kuwin match alianza kulenya nyodo sababu hakuwa na mshindani tena, ikasababisha stress kwa Ras akaanza kumkumbuka Zoya. Akalose focus kwenye kazi zake, mapenzi yakamchanganya. Akajiona mjinga asiye na thamani. Akakosa mwelekeo baada ya wadhamini kukata kamba, akabaki kuwa mibangi the writer.
 
Naungana na wadau huko juu. WE CAN'T BREATH!! Fanya kuwa unaitoa vipande angalau viwili kwa wiki, japo najua kuna mafala wanasubiri iishe ili wakauze fb na kwenye groups za WhatsApp.
 
Episode 6.

Zoya.

Jamani msinichukulie poa. When it comes to fighting for what I know is mine huwa nakua mwanajeshi hasaaa.

Dalili nlianza kuziona kitambo kidogo. Msg za huyu dada anaitwa Marga. Mwanzo nlijua ni wapambanaji tu kama wapambanaji wengine ambao najua hawawezi kumstua Ras. So nikawa napotezea. Bt kuna kitu kikaniambia em fanya kautafiti kidogo umjue, maana ilikua daily lazma nikute msg zake. Ras sikutaka kumuuliza maana sikutaka nimuudhi kwa insecurities zangu mwenyewe. Na kikubwa sikutaka kumpoteza kabisa Ras. Nliogopa nikimuuliza atakasirika aniache. I loved him soo much.

Kama kawaida ktk ulimwengu huu wa teknolojia hupaswi kuhangaika sana. Nikazama fb page ya Ras, nilikagua picha zote unaambiwa, tangu kajiunga fb elf mbili na nane huko. Ktk picha moja ya graduation yao ndo nikaona caption, “thanks Jah for blessings, and you babe for the support,” then kamtag Marga. Ndo nikajua oooh kumbe ndo alikua pumziko lake chuo. Sikumlaum hata, maana hata mm chuoni kuna mtu au tuseme watu walikua wananipumzikia hahaha. Msjali iko siku ntawaletea simulizi za harakati zangu chuoni.

Na kadri nlivyopitia page yake zaidi ndo nikaona namna gani walikua close. Picha nyingi walikua wote, na Ras alionekana so happy akiwa nae. Nikaconclude kuwa Ras alifall kiukweli kwa Marga. Nlivyounganisha na picha alivyoielezea Nshomile nikapata picha kamili. Ila huezi jua bana, wanaume walivyo wadhaifu, mtu aliyekusaliti unaeza mrudia tena ww ndo ukaomba msamaha. Kupata picha kamili nikatafuta social pages za Marga nikawa nazipitia bila kumfollow.

Nilichoshukuru ni kuwa Ras alikua anamuignore Marga. Yaani hata akireply msg ilikua ni short tu. Sasa sku ile ndo kuona kwenye page ya Marga yuko arusha, alafu Ras nae yuko arusha pia, kengele ya hatari ikagonga kichwani, sikupoteza time nikamfuata baby. Ndo kushuhudia live wakiwa wametoka out manina zao. Sikutaka kupanik, nikajidai am all good pale ila tayari nlishaona competition. Na competition yenyewe sio ya kitoto ndugu msomaji, kwanza Marga ni mzuri, she has everything yani, alafu cha pili ni kua Ras alishampendaga sana, huenda zaidi ya anavyonipenda mm now. Bt like one singer alivyoimba,

“…… I will go down with this ship, I won’t put my hands up and surrender. There will be no white flag above my door, cause am in love, and always will be…..”

Nlijua fika nikicheza karata vibaya nampoteza Ras. Kuna factors mbili za kumkeep mwanaume. 1. Pulling factors 2. Pushing factors, naam, zilezile alizowadokezea mshindani wangu, na nlipanga kuzitumia zote. Uzuri ni kuwa mpira uko kwangu, so Ras was mine to lose. Nlianza the same night.

Nauhakika that night mm ndo nlimtia Ras, maana nlijituma hasa. Nlihakikisha sijabakiza kitu, yaani angetaka hata tigo ningempa, chezea mapenzi ww hahaha. Lengo langu akikutana na huyo Marga akumbuke hakuna kitu atampa ambacho hapati kwangu yani. Na baada ya mechi nikawa nampigisha tu stori ya tulipotoka mm na yeye, lengo ni kuwa akumbuke role yangu ktk kumfanya alivyo leo. Kwa muonekano tu nkajua somo limepenya. Nikamuacha anawazua huko kichwani kwake nikaenda kuoga.

Baada ya dkk chache naona kidume kinazama pia bafuni, hakuwa amehangaika hata kujifunga taulo. Yupo kama alivyozaliwa, mdudu wake unaning'inia tu. Nikawa nauangalia, then namuangalia yeye natabasam. Akanirudishia tabasam.

Kwa kuwa ndo nlikua nmejipaka sabuni mwilini, nlikua na utelezi mwili mzima. Ras akanisogelea, akaanza kunishika shika boobs. Yaani kama ananipaka mafuta, mi nimetulia tu nione mwisho wake. Mikono ikawa inatambaa kila eneo muhimu. Na uzuri ni kua Ras ashanijulia password yangu ilipo. Na ule utelezi wa sabuni nliona kama napaa kwa raha anayonipa.

Akanivamia kunikumbatia sasa, chuchu zangu akazikandamiza mwilini mwake. Then akafungulia shower ikawa inatumwagikia, huku tunakiss mwanawane. Yaani hatukujali kuloanisha nywele, sikutaka hata kuwaza kuzikausha, ukizingatia nayeye pia anarasta kichwani ikawa wote tumejisahaulisha. Tunakiss tu, mikono yake imekamatia nywele zangu, akawa anapitisha vidole kama ananichana nywele vile. Mi skumbuki hata nlikua nimemshika wapi hahaha, ila.mpaka.leo nakumbuka ladha ya lips zake.

It was like magic aisee. How can one have such an intense and unexplainable feeling just by holding and kissing a man? It was magic, love is magic mazee. I think love is just a term we gave to explain an unconscious and involuntary movement towards understanding one's wholeness. And right there and then was one of my favorite moments with my man. I felt complete.

Nikawa nazidi mkumbatia kwa nguvu, miguu yangu ikawa nayo haitulii, yaani kama nataka kumpanda vile, hata sijielewi, kumbe palikua panawasha. Alichofanya akanihamishia kwenye bathtub. Akatangulia yeye mi nikawa kwa pembeni yake kidogo ila mguu mmoja uko kiunoni kwake. Akawa amefungulia maji yakawa yanaongezeka tu na kutufunika. Ile position ikampa wasaa mzuri wa kunipapasa matako na paja. Na hakulaza dam, mara ayaminye, mara ayachape vibao, mara ayasugue, mi niko zangu bize nadendeka, huko chini nikamuachia anifanye anavyotaka.

Askwambie mtu, kutiwa kwenye maji kunaraha yake aisee. Yeye alianza kwa kunipa raha ya vidole. Yani nikawa naskia raha unaeza dhani hakuna haja ya dushe. Ila alivyopenyeza dushe, nikasahau kabisa utam uliopita. Kule room mi ndo nlijituma, ila pale bafuni nlikua nimetulia tu nikamuachia my man anit*mbe. Alinisugua hasa. Kelele nilizopiga nadhani kama Marga alikua next room alijua mechi inayopigwa sio ya kitoto.

He did justice to both our reproductive organs. Maana mechi haikuishia ndani ya maji tu. Kuna muda alinitoa, akanishikisha ukuta. Yaani nikajibinua kidogo tu kiuno, nyoka huyo akapenya. By this time nlikua nshaizoea mashine ya Ras, akawa anaisukuma yote, mikono yake imeyabinya matako yangu huku midomo yake ikini kiss shingoni. Sometimes akawa ananinyonya masikio. Sometimes ananisemesha. Sometimes ananichapa matako, paah. Jamani. Nlizima ndugu msomaji, yani nlipoteza kabisa netwek. Nakumbuka tu alimaliza then nikahisi kama nabebwa nikapelekwa kulazwa kwenye kochi lililokua mle room.

Kuja akili kunikaa sawa, nakuta ananikausha nywele kwa blowdrier, sjui hata aliifata wapi. Nikawa namuangalia mpenzi wangu simmalizi. Haya mapenzi yataniua mm, sio kwa raha nnayoipata nikiwa na huyu mvuta bangi. Nikamvuta tena,… tukaanza tena… ni kama tulikesha aisee.

Nakumbuka j2 ilitakiwa niwe dsm maana mzee kule jela alitaka tuonane. Ras akaniambia nisipate shida, akampigia simu ajenti wa precision air tukapata tiketi ya ndege ya saa tano asubuhi. Asbh yake baada ya breakfast akanipeleka KIA. Kisses and hugs kibao on the way. Nikajua tu hii ni namna yake ya kusema he is sorry for what happened jana.

Kufika DSM ndo kuonana na mzee sasa. Mzee ananambia kwanza anaomba msamaha kwa tunayopitia, mi nikawa nampa moyo kuwa atatoka tu asijali. Mzee akacheka sana, kisha akanambia huko jela aliko ni salama zaidi kwake maana akitoka wanaweza muua. Nkashtuka ila mzee akanitoa wasiwasi kuwa walau yupo jela lakini yu hai, so muda wowote twaweza onana.

Ndo kuniambia alichoniitia. Kumbe hizi mali zote walizotaifisha mzee alishajua hilo litafanyika. So kama mwaka mmoja kabla alifungua akaunti uswisi huko kwa jina langu ili hata kama akienda down basi mwanae nisibaki patupu. “katka wanangu, ww ndo umetulia, kichwa chako kipo vizuri na pia u msichana unayejitunza so najua nikikuachia kitu ww basi utawatunza nduguzo pia", kidogo nicheke aliposema ninajitunza, angejua mwanae usiku wa jana nimekesha natiwa, sjui kama angesema alivyosema. Mzee akaendelea kuniambia kwakuwa serikali inafuatilia sana mali zake, ile pesa ili kupewa itatakiwa nipewe zikiwa kama pesa halali nlizozifanyia kazi. Yaani zitakatishwe.

Mzee akanipatia karatasi imeandikwa tu tarehe yangu ya kuzaliwa, hospital nliyozaliwa, na herufi mbili za jina langu la kwanza. Baada ya kuviona akaichukua ile karatasi akaitafuna, akanambia hiyo ni password, sitakiwi kuisahau. Akanipa karatasi nyingine, hii ilikua na namba ambayo imekaa kama ya simu ila ina tarakimu sita tu. Mzee akaniambia hiyo karatasi naeza itunza haina madhara sana. Ila kuicheki ilikua rahisi tu, nikaikariri hapohapo. Then akanitajia na namba nyingine ambazo zilikua ni country code pamoja na code ya service provider.

Alivyohakikisha kila kitu kimekaa kichwani, akanambia nikitoka tu pale natakiwa nipige hiyo simu, then nitamke ile password. Nitaandaliwa utaratibu maana natakiwa nisafiri nikakae huko ziliko pesa kwa muda wa mwaka mzima ili nikirudi hapa pesa ntakazokua nazo zionekane ni halali. Mmmh. Uoga ukaniingia.

Kila kitu alichosema kilinitia hofu. Kwanza sikutaka kujiingiza kwenye matatizo na serikali lakini pia sikutaka kukaa mbali na Ras hasa kipindi hiki. Yaani kukaa nje mwaka mmoja si ndo kumpa Marga ushindi wa mezani. Hapana kwa kweli. Nikawa nimemchomolea mzee. Nje siendi, atafute option nyingine. Mzee anakomaa hakuna option nyingine. Wakijaribu vingine hiyo hela itakamatwa pia. Nikapinga katukatu.

Mzee kidogo alie, ila ndo nlishaweka msimamo. Hakua na namna, alichoniambia tu, nikiwa tayari niipigie hiyo namba muda wowote, nitaje birthday yangu, hospital nliyozaliwa na herufi mbili za mwanzo wa jina langu. Nikitamka hivyo vitu, utaratibu wa kunikabidhisha pesa utaanzishwa rasmi na nitatumiwa tiketi ya ndege kwenda huko kunakostahili.

Nje siendi wala nn. I have my personal battles to fight kwanza. Ila nikifikiria namna familia yangu hasa mama na kaka zangu wanavyopigika, nlijiona mbinafsi sana kutofata ile hela. Sema ndo mapenzi wakuu. Mapenzi yana run hii dunia.

Sikutaka kumchunga Ras. Yaani ile kumkaba man to man, sikutaka kabisa. Nlitaka kucheza fair game kwa Marga. Yani hata simu ya Ras sikuigusa kabisa. Nikazidisha tu upendo, nlifanya kila kitu kwake. Nlimfulia, nlimpikia yani kiufupi nlimpa kila aina ya care. Nlitamani tu oneday anambie nihamie kwake, ila hakuwahi gusia hilo suala, na sikutaka mm nilianzishe. Ila ratiba yangu ilikua lazma kila siku niende kwake. Hata kama nitaondoka kabla hajarudi, lakini alikua anakuta chakula na nimemfanyia usafi.

Then siku moja nikapigiwa simu na dogo mmoja anaitwa Albert. namjua kuwa anafanya kazi ofisini kwa Ras, dogo akaniomba tuonane kuna issue anataka kunishirikisha. Sikua na pingamizi.

Tukakutana pale breakpoint. Dogo alichoniambia kilinistua. Alisema, “shem mi nakuheshim sana, na sitaki nikuone unaumizwa na Ras. Ras now anatoka na dada flani anaitwa Marga. Kila siku lazma huyu dem aje watoke wote. Nimeamua kukwambia ili ulinde kilicho chako". Dah. Nlishtuka. Mbona mapema sana? Kawezaje huyo Marga kupindua matokeo fasta namna hii? Of course what did I expect. Mwanaume kwa kumpa mapenzi tu ndo atatulia? I was wrong. Dogo akanishauri nimface Marga nimwambie aachane na Ras. Sikujua hata la kufanya kwa kweli.

Wakati bado nipo nimeduaa pale, akaja Steve Nyerere, kumbe wanafahamiana na dogo. Akakaa pale mi mood ya kuchangamka sina. Ila kama mnavomjua Tivu, mtu wa utani, haikunichukua muda nikaanza kutabasam na kucheka. Dogo akashauri tupige picha ya ukumbusho, tukapiga picha na wote. Nikawaaga. Wakati naondoka dogo akasema ili kulinda kibarua chake anaomba sana nisireveal chanzo cha taarifa.

Kufika home ndo nikatambua uzito wa maneno nliyoambiwa. Yaani kimsingi ndo nishampoteza Ras. Bado kutamkiwa tu. This realization made me cry like a baby. Nakumbuka mama alinibembeleza sana. Ingawa sikumwambia kinachoniliza ila najua alihisi. Sema ndo haezi nidadisi kiundani. Akawa ananiambia tu, no one is worthy of your tears. Usimng'ang'anie mtu anayekuliza namna hiyo, kama bado uko nae muache ili mtu anayekustahili apate nafasi. Kama amekuacha shukuru Mungu maana ungelia zaidi huko baadae. Nikamuona mama anazingua tu. Am not letting him go easily.

Kitu cha kwanza kesho yake nikampigia simu dogo. Nikamuomba anielekeze Marga anapoishi. Nlitaka nikamface tuongee kama wadada tunaojielewa, na kama ananichukulia mume basi walau ajue ameniumiza kiasi gani. Huenda akanihurumia. Dogo kanielekeza. Sikutaka kupoteza time. Nikamfata Marga. Kugonga geti akanifungulia mwenyewe.

Akanikaribisha hata siku itikia, nikawa namuangalia machozi yananitoka, kuongea nikashindwa. Marga amesimama tu ananitazama. Nikapata ujasiri, “skia Marga, I love Ras, so much. Haya unayonifanyia ujue unaniumiza mno. Nimekuja tu kukuomba plz, leave him…..” Marga hata hakujibu. Ananiangalia tu huku anatabasam. Nikajilaum kupoteza bure muda wangu. Sikupaswa kabisa kuja, ni kujiaibisha tu. Nikaaga nikaondoka.

Direct nikaenda kwa Ras. Ilikua jumamosi so alikuepo home. Sikutaka kujionesha nimekasirika, nikajidai kumchangamkia pale. Bt nikaona Ras hajachangamka. Namuuliza kuna tatizo babe, anatikisa tu kichwa kukataa. Ikabidi nisogee nikakaa kwenye kochi alilokalia. Nikamuuliza kwa upole, “kuna kitu nimekuudhi mpenzi wangu,?” Ras akaniangalia ile unaona kabisa anahasira. Then akaniambia, “kama kuna kitu nataka kumwambia nimwambie na niache usanii" kwanza sikujua anachosema. Yeye ndo alipaswa aniambie wanachofanyaga na Marga kila siku.

Mbona sielewi Ras, nimefanya nini? “jana ratiba yako ilikuaje" akaniuliza. Nikatamani nielezee hadi meeting yangu na dogo pale breakpoint, ila nikakumbuka dogo aliomba nisiseme kitu. So nikamdanganya Ras kuwa nlikua home then kwake halaf nikarudi straight home. Kusema tu hivyo, Ras akasimama akanihama kochi, yaani kaenda kukaa mbali kabisa na mm. Nikajua hii sio ishu ndogo.

Akaniambia najua unatoka na Steve Nyerere. Sikutaka kushtuka namna nlivostuka, ingawa baadae nikawa nacheka. Ila the damage was done. Alivoona mstuko wangu akatafsiri nimeshangaa kajuaje. Ndo kaniambia sasa “Zoya, you are the woman I loved and trusted more than any other woman, nimejiheshimu siku zote kwa ajili yako ili kulinda heshima yako, nakiri kuwa kule Arusha siku ile ulivokuja yule dada uliyenikuta nae kidogo anishawishi kukucheat, ila since that day nikajiona mpumbavu, na nikamkataza kabisa hata kunitumia msg, nikajiweka mbali naye na wadada wote waliokua wananisogelea. Yote ni kwasababu ya mapenzi yangu kwako. Bt umeona sikufai ukaamua kunizunguka na msanii, nashukuru.”

Nliona kabisa usoni kwake kuwa anaumia. Nikaanza kulia, sio kwa vingine, ila kuona namna Ras anavyoumia. It pained me. Ingawa sijakosea kitu, nikatamani nipooze moyo wake, maana maumivu yake ni kama nayahisi mimi. Nikaanza kumuomba anisamehe, atulie, nampenda. Katika hizi harakati ubongo wangu ukafunguka juu ya kinachoendelea. Hii yote ni move ya Marga. Anatumia ile “pushing factor". Huu mchezo wote itakua kautunga yeye.

Nikajiona fala kichizi. Then wakati najitetea Ras akapokea simu. Nikawa nasikia tu “what?” “yuko wapi" “naomba niongee nae", then akasubiri kwa muda. Nikaona anaanza kuniangalia kwa hasira, haikuchukua muda. Alivokata simu, akanambia “ukaona hiyo haitoshi, unavyocheat ww ukadhani kila mtu anacheat, umeenda kufanya fujo nyumbani kwa Marga, umemfata na watu mkamfanyia fujo, why are you like that Zoya? Please leave".

Nakiri. Marga ameshinda mechi. Tena nimejifunga mwenyewe magoli ya ushindi. Ras akaniacha pale akatoka. Ikabidi na mm nitoke tu, ss ningefanyaje.

Narudi home nalia tu. Kufika home mama ananiona ananihug mwanae. “nlikwambia mwanangu usijiumize kiasi hicho, hakufai huyo", nikamwambia mama, its me not him, ujinga wangu umefanya nimpoteze, he loved me, nikawa naongea huku nalia. All this time nlijua Ras ananicheat, kumbe hajawahi kabisa, ila ujinga wangu umefanya nimpoteze…. Bas mama akawq amenibembeleza kama mtoto. Nikalala.

Nikasubiri labda Ras ataniita tukaongee, wapi. Ikabidi nimpigie, wala hata hapokei. Nikatuma msg kumuomba anipe nafasi anisikilize, wala hakujibu. Yaani siku mbili sijasikia lolote kutoka kwake. It was a very difficult moment kwangu. Baada ya siku mbili nikiwa natafakari namna nlivyopoteza vita, asubuhi moja naamka nikakutana na kitu cha ajabu mlangoni kwetu.

Mm ndo hua nakua wa kwanza kuamka, so ile natoka nje nakutana na hirizi nyekundu. Nikapiga ukunga wa hatari. Maza kutoka ndo anaiona. Uzuri maza mtu wa sala sana. Akaniambia hata nisiogope nothing will harm me. Akaichukua, kuiangalia kwa karibu imeandikwa “Zoya, msahau Ras hii ni warning", dah.

Nliwaambia kumkeep mwanaume kuna two ways right? I was wrong. Hii aliyofanya Marga ni ya 3. Inaitwa block your opponents. Na hili ni bonge la tofali, aisee. Kaniblock hasaa.

Nikaingia ndani nikamuacha maza anasali pale nje. Nikachukua simu nikapiga, ilivyopokelewa nikatamka, “10 April 1986 Regency ZO". Upande wa pili haukua na maswali, alisema tu, “we understand". Then ukaniambia baada ya siku mbili niende posta pale, kwenye sanduku namba 1605X nitakuta liko wazi na ndani kuna bahasha yenye passport yangu pamoja na tiketi ya ndege na kila kitu kikiwa tayari kwa safari.

Weekend iliyofuata nikakwea pipa to Bern. Nikapewa appartment iko full. Ina vyumba viwili vya kulala, sebule jiko na bafu moja matata kinoma. Nimekaa pale wiki nzima bila chochote cha maana, muda mwingi mchana alikua anakuja mwenyeji wangu ananitoa out kuzunguka vivutio mbalimbali vya jiji hili. Baada ya hiyo wiki ndo Nikajiunga na shule ya kufanya decorations. Course ya miezi sita.

Nikiri kuwa haikupita siku bila kumfikiria Ras. Nlijilaum sana kukurupuka na kusababisha kuvuruga mahusiano yangu. Ila nlijawa na hasira kwa Marga na yule dogo. Hasa Marga, why atunge uongo kua nimempiga? I thought tulitakiwa kucheza fair play. Anyways sina la kufanya now. Will use the time to heel and hopefully ntapoa.

Baada ya kumaliza 6months za shule, sikukaa sana. Nikaambiwq nimepata internship kampuni moja palepale Bern. Hata wiki moja sikua nimemaliza, nashangaa nasifiwa kwa kazi nzuri nnayofanya na kupewa bonus za kutosha. Baada ya mwezi nikapendekezwa kuingia kwenye mchakato wa tenda ya kudecorate ubalozi wa nchi moja pale Uswis, na kweli nikapata. Timu niliyofanyanayo ile kazi ndo kama walikua wao wanafanya, ila ilivyoisha sifa zote kwangu.

Ile kazi ikanijengea jina. nikawa napata deals za kufanya decorations maeneo mbalimbali Europe. Mpunga ukawa unaingia wa kutosha. Nakumbuka hadi gazeti moja likaniandika eti “an African princess with a magic touch", page kama zote kuelezea kazi nlizofanya na kwa nn zinavutia. Nikajua hii yote ni operation Swiss money ya the Don. Baada ya mwaka, nna zaidi ya bilioni ya kitanzania.

Kuna siku nikatembelewa na yule kaka aliyenipokea. Hakukaa sana, akaniambia tu, nishalipwa hela yangu yote ya the Don, so naeza rudi zangu nikitaka. Ila kabla hajaondoka akaomba tutoke jioni kama friends sasa maana kikazi tushamaliza contract. Nikakubali.

Kufika ile dinner, tuliongea mengi sana. Kimsingi hii shughuri wanayofanya haijafanyika kwangu alone. Kuna mamia ya watu wapo ktk program kama hii katika nchi mbalimbali Ulaya. Wanatakatishiwa fedha. Kwa kweli Afrika inafilisiwa aisee. Ingawa na mm nipo nafanya utakatishaji, ila iliniuma kiaina.

Baadae wakati ananirudisha home, akati ananiaga nashangaa mtu ananikiss lips, na kwakua ilikua ni ghafla, sikuweza kujichomoa, nkawa kama nampa ushirikiano nusu. Aibu zikanijaa baada ya kumaliza. I felt like cheating someone ingawa siko na mtu. Akaomba aingie ndani, dah, ukisikia kuliwa kimasihara ndo huku sasa. Nikawa kimya, kukubali sikubali kukataa sikatai. Naelewa now mabaharia wanavokulaga mabinti kimasihara. Akasema, we just have coffee don’t worry. Hahahaha, eti just coffee, Nikamwambia tu, its not right. Nikamuacha mlangoni kikazama ndani.

Mkaka wa watu akaanza kutongoza sasa. Anabembeleza tuonane, nachomoa. Anasema basi nisirudi bongo. Ndo akanipa hasira za kuwahi kurudi. Hakua mtu mbaya. Ni halfcast, baba Mzungu wa ufaransa mama Senegal. Jina lake lenyewe la kiafrika, Diop. Ila sikutaka tu mapenzi tena. Nikamwambia kama ananipenda basi yy ndo ahamie Tz then tujuane vizuri ndo maybe tufall in love. Yote hii kumkatisha tamaa. Diop si akasema sawa, hahaa. Nikajua hataweza, sio kwa life alilonalo huku then alipige chini eti aje bongo, kisa? Uchi! Thubutu.

Mwaka mmoja na mwezi mmoja kamili tangu nitoke bongo, nikarudi home. Wakati huo nishamsahau hata Ras. Sikutaka tena issue za mapenzi. Kufika ingawa nlikua tayari milionea, sikutaka kujulikana sana. Ile pesa nikawagawia ndugu zangu haki yao. Brothers wangu kila mmoja nlimpatia 300M, mama nae nikampa 200M nikabaki na chini kidogo ya 300M. Ingawa the Don alipinga kabisa mgao huo, alinambia ndugu zangu wataimaliza yote, ndo maana aliniachia mm. Mi nikaona kuondoa lawama niwagee.

Bt kama alivyosema mzee, maza hela yote aliimaliza kanisani, kwa wanasheria akitaka mzee aachiwe huru, na kwa yule bro mibangi. Bro mvuta bangi ndo hata haieleweki, ndani ya miaka michache tu akafulia, alivyofulia akaanza kuzipukutisha za maza pia. Yule mkubwa aliingia biashara ya madini ikampiga chini, hela zilivyokaribia kuisha ndo kafungua maduka ya ujenzi walau yuko stable. Mi ndo nimeweza kumultiply ile hela na sasa unaeza rasmi ukaniita Zoya the young Millionaire.

Miaka takribani miwili tangu nimerudi bongo, kuna mambo matatu yakatokea. Kwanza ni kufariki mzee akiwa gerezani. It devastated me. My dad was my closest friend. I loved him dearly. Pili, Diop. Nakumbuka mwezi mmoja kabla mzee hajafariki, alinipigia simu akasema anahamia bongo. Nikachukulia utani, ila akanikumbusha ahadi yangu, kuwa ili nimfikirie itabidi ahamie huku.

Dah, mwanaume kapenda kweli au ndo geresha tu ili niingie kingi. Maana hawa viumbe hawaaminiki. Ni waongo kupita shetani. Nakumbuka kuna stori nlishapewaga jamaa alimpenda binti mlokole, binti anasema kama unanipenda kajitambulishe home unioe. Jamaa akaona sio kesi, akatafuta wahuni waliozeeka mjini akatuma posa. Dada akaona jamaa yuko serious akavua chupi. Kwani aliolewa!

So sikutaka papara. Wala sikutaka kumpa moyo. Nikamwambia tu kama unahamia hamia at your own risk. Sitaki lawama baadae. Akasema ashaset kila kitu anakuja.

Tatu ni Ras. Yes huyuhuyu Ras,. Nlikua nshampoteza moyoni. Ingawa once in a while nlikua namkumbuka ila sio kimapenzi tena. I assumed yuko happily married now. Kwa nlivyomjua Marga lazma angekua ashamake it possible. Then one day natoka zangu church Azania Front pale, kulikua na misa siku ya jumamosi. Nikawa napita na gari yangu mtaa wa Azikiwe, si naona mtu kama Ras anauza vitabu.

Mwanzo nikadhani si yeye, ikabidi nikapaki mahala nirudi kwa mguu. Nikajibanza mahali nimcheki vizuri. Ni yeyee! Ras kachoka ndugu wasomaji. Sio Ras nliyemfaham. Sikuamini, yaani Ras anauza vitabu second hand, tena amevitandaza chini, yeye kakaa kwenye kiti cha plastiki anapiga stori na mshona viatu. Nikawaza labda sio muuza vitabu, maybe anapiga stori tu. Sakaja mteja, Ras kasimama akawa anamuuzia, aisee, ndo nikaprove Ras kafulia.

Wasalaam

Kiga.
View attachment 1470109

Sent using Jamii Forums mobile app
wacha Ras afulie
unasemeshwa na mtoto unanunanuna!
 
Back
Top Bottom