PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hao waliotoka CDM wengine waroho wa madaraka subiri mzee wa ubwabwa maharage atakavyo vurugwa
 
Vipande vya pesa hivyo. Yaani mpaka huruma. Bora kuishi bila chama.

Kama kuingizwa Choo cha jinsia tofauti ndiyo huku.
Chauma inapesa gani ya kuwapa hawa wachaga.. hapo wameshamdanganya mzee wa watu rugwe ajipange asije kupokonywa chama..
 
Back
Top Bottom