PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

PreGE2025 CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Heti nimesikia leo kulikuwa na mkuatano mkubwa wa chama cha ubwabwa "CHAUMA" alafu wala hatualikani wala nini sio vizuri.

#HAKUNA MAGEUZI #HAKUNA UCHAGUZI
watu hawana shida na wasaliti hawa.
 
Mmmmm!!!! Ila haka ka nchi kana furahisha sana! Chadema, chauma ngoja tuendelee kusubiri
 
Screenshot_20250519_193901_Google.jpg
 
Heti nimesikia leo kulikuwa na mkuatano mkubwa wa chama cha ubwabwa "CHAUMA" alafu wala hatualikani wala nini sio vizuri.

#HAKUNA MAGEUZI #HAKUNA UCHAGUZI
Ule Mliokula pale Kisutu hamkushiba?
 
Heti nimesikia leo kulikuwa na mkuatano mkubwa wa chama cha ubwabwa "CHAUMA" alafu wala hatualikani wala nini sio vizuri.

#HAKUNA MAGEUZI #HAKUNA UCHAGUZI

Hao TAL na LEMA wametoka NCCR na TLP ndiyo wakaja chadema so kwa MREMA kwenda chauma ni haki yake kikatiba kuchagua chama anachokitaka.
 
Ule Mliokula pale Kisutu hamkushiba?
mtu yoyote maskini anayeshabikia watanzania wenzake kuuwawa kisutu na kuvunjwa viungo vyao hana akili na kwasababu hana akili yupo sahihi kushabikia mateso ya watanzania wenzake wanao pigania haki zake yeye maskini.
 
Back
Top Bottom