Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,240
- 90,297
Kidari cha kushato😁
Kidari cha kushato😁
Wewe ulijuaje kuwa walijitoa kwa sababu hiyo ?Kwa sababu wana haki yao kujitoa na kujiweka pengine.
Chama cha Ubwabwa Maharage (CHAUMA)Duka limehamia Chauma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wamebumaKwahy watu waache kufanya mambo yao kisa lissu yupo mahakamani?
Hivi mageuzi na mapitio, marekebisho na maboresho ni jambo moja? Falsafa ya no reform no election inakita hasa nini kufumua kila kitu na kuanza upya au kundoa dosari na kuweka sawaHeti nimesikia leo kulikuwa na mkuatano mkubwa wa chama cha ubwabwa "CHAUMA" alafu wala hatualikani wala nini sio vizuri.
#HAKUNA MAGEUZI #HAKUNA UCHAGUZI
ubwabwa utakuwa na ubwabwa maana mwenye ubwabwa ni mtarajiwa wa kuliwa ubwabwa siku ya hitimaHeti nimesikia leo kulikuwa na mkuatano mkubwa wa chama cha ubwabwa "CHAUMA" alafu wala hatualikani wala nini sio vizuri.
#HAKUNA MAGEUZI #HAKUNA UCHAGUZI
Haya nipe hy sababu ya wao kujitoa.Wewe ulijuaje kuwa walijitoa kwa sababu hiyo ?
Ubaya Ubwela!Act watamwangaliaje zito walimwita msaliti 🤣🤣
CCM wajinga Sana hakuna mwenyeakili pale wote wanatumia minguvu Tu wanaliwa kifalaCCM wanachunwa kizembe sana,Ni kama wale wa "ile hela tuma kwenye namba hii,halafu CCM wanatuma bila hata kujiuliza😀
Kwann ni chauma na sio NCCR MAGEUZI