CHAUMMA kimepata umaarufu ghafla

Na tunda pia! 😆😆
 
Watakuja kupigwa chenga ya uhakika. Labda hawawajui vizuri kijani. Kwasasa watawatumia Kisha watawatupa kama toilet paper
 
Neither cdm nor chaumma all are there to fulfill politician desire.
 
Reactions: Tui
Kama hapa nilipo hawamjui hata John mrema huo umaarufu utakuwa upande wako na bwana ako!
 
Wanaubwabwa wanao umaaarufu siku zote kwani walikuwa hawajui?sherehe ubwabwa,besidei ubwabwa,harusi ubwabwa,kicheni patii ubwabwa,arobaini ubwabwa,Idd ubwawa,pasaka ubwabwa,mwaka mpyaa ubwabwa!Hiiiiiii?sasa mnachemaje chauma sii maaaarufu?
 
Nitatoa tathmini yangu baada ya kuru kutumbikizwa kwenye secret ballot
 
Umaarufu una pande mbili mtu akizaliwa anapata umaarufu, hongera nyingi na majina mapya,akifa umaarufu unaongezeka pole ni nyingi na rambirambi za kutosha,mzoga ukianza kuonza umaarufu unaongezeka,inzi,funza,fisi wote wanaupa umaarufu mzoga,itazame CHAUMMA na umaarufu wake utaelewa ninachomaanisha.
 
Eti nyie ndo ccm inawategemea kuitetea mitandaoni aaaahahahaaaaaa
 
Mtu mwenye akili timamu unawezaje kuishangilia CHAUMMA
Haieleweki sera na mikakati yake kwa taifa zaidi ya mambo ya kitoto tu
chama cha ubwabwa are you serious. Can you derive policy indicators for ubwabwa.
 
Hakuna kitu ni sawa na marehemu aliye pata umaharufu kwa kunywa sumu kali na kufa .
 
Yah! Lakini kinaonekana kama chama cha comedians. Tena na zile story za ubwabwa ndo kabisaa
 
Chama kichanga hakiwezi kuwa maarufu kama hakina prominent figure.
 
Chaumwa kipo aisiiiyu au kipo mapunziko kwa sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…