Tetesi: Chato kuwa Mkoa au Magufuli Day kutangazwa rasmi na Rais Samia

Ikija kutokea kwa Hangaya tutakuwa tena Hangaya day kwakuwa ni Rais Mwanamke.
Haya mambo yakumbukizi yabaki kwa Nyerere tu.wanaofuata familia ziwe zinapewa hela kidogo kusafishia makaburi.Tukio la kesho linakula hela mingi sana
Umeweka sawa, Mambo ya kumbukizi yabaki kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,kwa maana yana gharama kubwa.
Hayo mabilioni yanayotumika kufanya kumbukizi,yangetumika kutoa Mikopo kwa wahitimu wetu wa vyuo mbalimbali waanzishe miradi ya maendeleo ( viwanda vidogo vidogo au biashara).
Aidha,hakuna ulazima wa kuazimisha mwaka mmoja au miwili au mitatu ya Rais kuwa madarakani(Ni gharama kubwa ) wakati wananchi hawana maji safi na salama ya kunywa.
Kama kuna ulazima, Serikali inaweza kufanya maazimisho kila baada ya miaka mitano.
 
Kuna tetesi kadhaa zimeanza kusambaa mitaa ya Chato tangu leo asubuhi kuwa, ujio wa Rais Samia katika Wilaya ya Chato katika kuadhimisha kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kufariki dunia kwa rais Magufuli huenda kukaenda sambamba na mojawapo kati ya mambo mawili kama sio yote mawili, yaani Chato kupewa hadhi ya kuwa mkoa au tarehe 17/Machi kuwa siku ya mapumziko kitaifa (Magufuli day).

Lengo haswa ni kuenzi mema yaliyowahi kufanywa na Magufuli (kulinda legacy ya Magufuli) japokuwa wadadisi wanasema ni mbinu za Rais Samia kutafuta uungwaji mkono kutoka kanda ya ziwa baada ya kupata ukosoaji mkubwa kutoka kwa wakazi na wazawa wa mikoa ya kanda ya ziwa tangu aingie madarakani.

Kuhusu hoja kuwa ingepaswa kwanza kuwepo kwa Mkapa Day kabla ya kufikiria kuwepo Magufuli day, wapigia debe wa kuwepo Magufuli day wanasema kuwa, Magufuli alifariki akiwa madarakani jambo ambalo linajenga hoja ya upekee na msukumo wa kutaka uwepo wa siku maalum ya kumkumbuka Magufuli kwa kuwa kifo kilimkuta katikati ya jukumu la kuwatumikia watanzania.
Kwa kitu gani iwe mkoa,pato lenyewe la tabu yani tiamaji tiamaji,heri chato irudi mkoa wa kagera tu waendeleze kupiga katerero
 
-Chato haijakidhi vigezo vya kuwa Mkoa.
-Kuna clip moja niliiona Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mkoa wa Kagera,na viongozi wa dini wa Mkoa wa Kagera wanapinga pendekezo la RDC ya Mkoa wa Geita kumega eneo la mkoa wa Kagera na kigoma kupelekwa kwenye mkoa pendekezwa wa chato.
-Wazee hao walihoji,iweke uongozi wa Mkoa Geita,uingilie au ufanye maamuzi ya Mkoa Kagera na kigoma,bila ridhaa ya mikoa husika.
-Walisema RDC ya Mkoa wa Geita haina Mamlaka ya kuwaamulia wananchi wa Kagera au Kigoma.
-Walienda mbali kwa kusema,mkoa wa Geita,unaweza kuhamisha makao makuu yake kutoka Geita na kupelekwa Chato kama Kuna ulazima.

Maoni
-Rais SSH amefanya vizuri leo 17/3/2022 kutogusia suala la Chato kuwa Mkoa.
-Rais endeleza mazuri yote ya mtangulizi wako,kama yapo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM na kama yana tija.
-Ninaamini suala la Chato kuwa Mkoa halipo kwenye election Manifesto,bali yalikuwa maneno ya utani tu, ya mtangulizi wako .
-alikuwa anataniana na wananchi wa chato,kwa kuwa ameitoa Chato toka ngazi ya kijiji mpaka Wilaya, ndiyo akawatania kuwa , kuna siku Chato itakuwa Mkoa.
-Kazi iendelee.
 
Ni RCC na sio RDC
-Chato haijakidhi vigezo vya kuwa Mkoa.
-Kuna clip moja niliiona Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mkoa wa Kagera,na viongozi wa dini wa Mkoa wa Kagera wanapinga pendekezo la RDC ya Mkoa wa Geita kumega eneo la mkoa wa Kagera na kigoma kupelekwa kwenye mkoa pendekezwa wa chato.
-Wazee hao walihoji,iweke uongozi wa Mkoa Geita,uingilie au ufanye maamuzi ya Mkoa Kagera na kigoma,bila ridhaa ya mikoa husika.
-Walisema RDC ya Mkoa wa Geita haina Mamlaka ya kuwaamulia wananchi wa Kagera au Kigoma.
-Walienda mbali kwa kusema,mkoa wa Geita,unaweza kuhamisha makao makuu yake kutoka Geita na kupelekwa Chato kama Kuna ulazima.

Maoni
-Rais SSH amefanya vizuri leo 17/3/2022 kutogusia suala la Chato kuwa Mkoa.
-Rais endeleza mazuri yote ya mtangulizi wako,kama yapo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM na kama yana tija.
-Ninaamini suala la Chato kuwa Mkoa halipo kwenye election Manifesto,bali yalikuwa maneno ya utani tu, ya mtangulizi wako .
-alikuwa anataniana na wananchi wa chato,kwa kuwa ameitoa Chato toka ngazi ya kijiji mpaka Wilaya, ndiyo akawatania kuwa , kuna siku Chato itakuwa Mkoa.
-Kazi iendelee.
 
Kuna tetesi kadhaa zimeanza kusambaa mitaa ya Chato tangu leo asubuhi kuwa, ujio wa Rais Samia katika Wilaya ya Chato katika kuadhimisha kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kufariki dunia kwa rais Magufuli huenda kukaenda sambamba na mojawapo kati ya mambo mawili kama sio yote mawili, yaani Chato kupewa hadhi ya kuwa mkoa au tarehe 17/Machi kuwa siku ya mapumziko kitaifa (Magufuli day).

Lengo haswa ni kuenzi mema yaliyowahi kufanywa na Magufuli (kulinda legacy ya Magufuli) japokuwa wadadisi wanasema ni mbinu za Rais Samia kutafuta uungwaji mkono kutoka kanda ya ziwa baada ya kupata ukosoaji mkubwa kutoka kwa wakazi na wazawa wa mikoa ya kanda ya ziwa tangu aingie madarakani.

Kuhusu hoja kuwa ingepaswa kwanza kuwepo kwa Mkapa Day kabla ya kufikiria kuwepo Magufuli day, wapigia debe wa kuwepo Magufuli day wanasema kuwa, Magufuli alifariki akiwa madarakani jambo ambalo linajenga hoja ya upekee na msukumo wa kutaka uwepo wa siku maalum ya kumkumbuka Magufuli kwa kuwa kifo kilimkuta katikati ya jukumu la kuwatumikia watanzania.
Kuna kilichotokea? Mkoa au .....day? Hii ndiyo Dunia, hakuna cha regacy wala legacy! Mebe kwa mbere! Au nasema uwongo ndugu zangu? MATAGA twendeni Malawi, bongo hawajui umuhimu wa shule ya uongozi🤣🤣🤣. Daaah! Mambo ni mengi mda mchache. All in all, ahsante sana Rais SSH umekuwa uki-size washenzi kimyakimya!
 
I second this, mfano mzuri ni jinsi hawa ndugu zangu wanavyokinzana kauli nadhani tumeshuhudia Mwenyekitu na Makamu Mwenyekiti wakipishana kauli baada ya Mbowe kwenda jengo jeupe.

Ndugu zetu hawa hawana umoja kila mtu ana ama amini katika fikra zake, na si katiba ya chama.
Huko Lumumba woote mna fikra sawa?
 
Kuna tetesi kadhaa zimeanza kusambaa mitaa ya Chato tangu leo asubuhi kuwa, ujio wa Rais Samia katika Wilaya ya Chato katika kuadhimisha kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kufariki dunia kwa rais Magufuli huenda kukaenda sambamba na mojawapo kati ya mambo mawili kama sio yote mawili, yaani Chato kupewa hadhi ya kuwa mkoa au tarehe 17/Machi kuwa siku ya mapumziko kitaifa (Magufuli day).

Lengo haswa ni kuenzi mema yaliyowahi kufanywa na Magufuli (kulinda legacy ya Magufuli) japokuwa wadadisi wanasema ni mbinu za Rais Samia kutafuta uungwaji mkono kutoka kanda ya ziwa baada ya kupata ukosoaji mkubwa kutoka kwa wakazi na wazawa wa mikoa ya kanda ya ziwa tangu aingie madarakani.

Kuhusu hoja kuwa ingepaswa kwanza kuwepo kwa Mkapa Day kabla ya kufikiria kuwepo Magufuli day, wapigia debe wa kuwepo Magufuli day wanasema kuwa, Magufuli alifariki akiwa madarakani jambo ambalo linajenga hoja ya upekee na msukumo wa kutaka uwepo wa siku maalum ya kumkumbuka Magufuli kwa kuwa kifo kilimkuta katikati ya jukumu la kuwatumikia watanzania.
Endeleza ndoto 😅
 
Back
Top Bottom