figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
Salaam Wakuu
Rais Museven wa Uganda, atembelea Chato.
Kwenye Ziara hiyo, atatembelea Kaburi la Hayati Magufuli, atatembelea Shule ya Museveni aloijenga Chato kama msaada kwa Wananchi wa Chato, Pia atamtembelea Mjane wa Hayati Magufuli
Hayati Magufuli alifariki siku ya Jumatano jioni 17.03.2021 kutokana na maradhi ya moyo katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam, ambapo Rais wa Uganda Yoweri Museveni alituma salamu za rambirambi huku akisema Rais Magufuli alikuwa kiongozi ambaye anaongoza kwa uhalisia na aliyeamini katika kukuza uchumi wa Afrika Mashariki. "Tunajumuika na Watanzania kuomboleza kifo cha mtoto wa Afrika". Museveni
Rais Museven wa Uganda, atembelea Chato.
Kwenye Ziara hiyo, atatembelea Kaburi la Hayati Magufuli, atatembelea Shule ya Museveni aloijenga Chato kama msaada kwa Wananchi wa Chato, Pia atamtembelea Mjane wa Hayati Magufuli
Hayati Magufuli alifariki siku ya Jumatano jioni 17.03.2021 kutokana na maradhi ya moyo katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam, ambapo Rais wa Uganda Yoweri Museveni alituma salamu za rambirambi huku akisema Rais Magufuli alikuwa kiongozi ambaye anaongoza kwa uhalisia na aliyeamini katika kukuza uchumi wa Afrika Mashariki. "Tunajumuika na Watanzania kuomboleza kifo cha mtoto wa Afrika". Museveni