Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Habari ya leo wanajukwaa wenzangu..........bila shaka wote wale waliona afya njema na hata wale wenye homa ya hapa na pale tumshukuru Mungu!

Habari nilizona za uhakika ni kwamba member mwenzetu Mama Joe anaumwa malaria tangu juzi na tumtakie kheri mwenyenzi Mungu mwingi wa Rehema amponye mapema arudi kwenye afya njema mwenzetu!
Niliongea naye jana ila kwa kweli alikuwa anaumwa hakika ameniambia hakuweza hata kuingia kwenye mtandao tangu ile juzi.

MWENYENZI MUNGU MWINGI WA REHEMA AMPE NGUVU NA APONE MAPEMA NA ARUDIE KATIKA AFYA YAKE YA KAWAIDA.
 
Last edited by a moderator:
Jamani nashukuru sana kwa kuwa nami, Mungu awabariki. Kupitia pm nawatumia msg wote kesho ukumbi, uchangiaji na nimewanote wageni wapya Mboga nyiru na Voice of wisdom. Tutakopotoa half rate sponsor anajulishwa anajazia ili tufanye booking one wk before. Mengine mjadala unaendelea hapa. Asanteni sana
 
Jamani nashukuru sana kwa kuwa nami, Mungu awabariki. Kupitia pm nawatumia msg wote kesho ukumbi, uchangiaji na nimewanote wageni wapya Mboga nyiru na Voice of wisdom. Tutakopotoa half rate sponsor anajulishwa anajazia ili tufanye booking one wk before. Mengine mjadala unaendelea hapa. Asanteni sana



Pamoja sana Mama Joe hakika tuko pamoja jamani!
 
Last edited by a moderator:
Nawapongeza sana,nasikitika kuikosa hii fulusa kwa sababu ntakuwa safari.nawatakia mwanzo mwema mkutano utakaofuata tutakuwa pamoja.kubota mbona umeadimika?
 
Nawapongeza sana,nasikitika kuikosa hii fulusa kwa sababu ntakuwa safari.nawatakia mwanzo mwema mkutano utakaofuata tutakuwa pamoja.kubota mbona umeadimika?

Mkuu hakika tarehe lengwa Kubota atakuwepo nasi!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mimi ni mpya kwenye uzi huu ila nimevutiwa sana na hili jambo la kuwa na vikao vya kukutana wajasiriamali kwa ajili ya kutengeneza network zaid, hope kama tutakuwa serious kuna sehemu tutafika. Hongera sana kwa aliyeanzisha hili wazo
 
Mama Joe moja ya mambo tutakayo zungumza ni pamoja na Study tour ambapo inaweza kuwa Kenya au Uganda nchi za jirani kwanza.
 
Last edited by a moderator:
sure.hii imenigusa kwani mimi ni mojawapo ya mjasiriamali ambae napata changamoto nyingi sana sana kwenye limited capital nilionayo.
 
Habari za leo wakuu.
Nashukuru mungu maana naona mambo yanaelekea kuwa mazuri kuhusu mkutano wetu.

Kuna mdau ameongelea habari za kutengeneza objectives, mission and vission. Ni wazi zuri sana lkn ninavyolijua hilo zaidi linaweza kuuchukua siku nzima, hasa vision na mission. Mimi nashauri , tukikutana tutengeneze objectives tu, ambapo tutaainisha main objective na specific objectives. Kwenye kutengeneza mission na vision tunaweza kununua baada ya huyo mkutano wa kwanza, tunaweza kubrainstorm kutumia whatsapp group msg. Halafu tuje kwenye discussion ya sectors.

Hapa ninamaanisha kilimo (agriculture), mifugk nk. Kuna subsector ambapo ni forestation, ufugaji wa kuku nk. Sasa ktk hizi subsector kuwe na facilitator (siyo lazima ajue kila kitu), na jukumu lake ni kuwezesha hiyo discussion ifanikiwe. Nashauri ktk hayo majadiliano ya subsector tujadili issues au changamoto tunazokutana nazo na jinsi ya kuzishinda.

Tukisema tufanye presentation ya jinsi ya kununua kuku wa nyama mwanzo hadi mwisho, tuje kuku wa mayai, tuje urban farming, tuje forestation muda hautatosha.
Nawasilisha
 
Uwiii mambo ya touch haya!!!!!

Sentensi ya nne kutoka mwisho ni
... jinsi ya kufuga kuku wa nyama...
 
Karibu tujifunze kwa karibu pamoja. Masuala ya limited capital hayo hauyaishi so far as your business is not in ICU one day yes. Ni kukazana huku ukiangalia mianya mingine lakini zaidi kubana matumizi zaidi ili kuweza kuinua mtaji. Karibu sana
sure.hii imenigusa kwani mimi ni mojawapo ya mjasiriamali ambae napata changamoto nyingi sana sana kwenye limited capital nilionayo.
 
Karibu tujifunze kwa karibu pamoja. Masuala ya limited capital hayo hauyaishi so far as your business is not in ICU one day yes. Ni kukazana huku ukiangalia mianya mingine lakini zaidi kubana matumizi zaidi ili kuweza kuinua mtaji. Karibu sana

asante sana.ila mimi hilo ndo tatizo kubwa sana kwngu maana inafika wakati OPPORTUNITY COST inanitesa.nauza vinywaji jumla but mtaji mdogo sana...
 
Wakuu mimi ni mpya kwenye uzi huu ila nimevutiwa sana na hili jambo la kuwa na vikao vya kukutana wajasiriamali kwa ajili ya kutengeneza network zaid, hope kama tutakuwa serious kuna sehemu tutafika. Hongera sana kwa aliyeanzisha hili wazo



Unakaribishwa Mkuu! Karibu sana na ujisikie unakuja nyumbani!!
 
Wakuu mimi ni mpya kwenye uzi huu ila nimevutiwa sana na hili jambo la kuwa na vikao vya kukutana wajasiriamali kwa ajili ya kutengeneza network zaid, hope kama tutakuwa serious kuna sehemu tutafika. Hongera sana kwa aliyeanzisha hili wazo
asante mkuu Chasha katoa wazo zuri sana nasi tunaitumia fursa maana ni adimu
 
asante sana.ila mimi hilo ndo tatizo kubwa sana kwngu maana inafika wakati OPPORTUNITY COST inanitesa.nauza vinywaji jumla but mtaji mdogo sana...
pole sana sasa issue iliyopo na tumeishajadili sana hapa jamvini kuhusu mitaji ni 1. kuangalia wapi unaweza jibana na kutumia resources ulizo nazo mf labda unauzia kwenye frame kodi kubwa umeishatengeneza jina waweza hamia frame cheap au kwako kabisa si watu weshakujua?

2. kukopa nii ni aidha mikopo ya muda mfupi kwa watu ila riba kubwa kwa benk au saccos nk 4 kama cost inaendelea kuwa kubwa mno kuliko kipato ni kuangalia fursa zingine ili ku raise capital ya hii biashara mf ukauza vitu vingine vya ziada ili kuongezea mtaji au kukidhi mahitaji binafsi ili kuweza wekeza mapato yote ktk hiyo biashara.

Haya tunakwenda kuyaongelea kwa kirefu zaidi huko, mie pia najifunza by trial and error tunafika
 
pole sana sasa issue iliyopo na tumeishajadili sana hapa jamvini kuhusu mitaji ni 1. kuangalia wapi unaweza jibana na kutumia resources ulizo nazo mf labda unauzia kwenye frame kodi kubwa umeishatengeneza jina waweza hamia frame cheap au kwako kabisa si watu weshakujua? 2. kukopa nii ni aidha mikopo ya muda mfupi kwa watu ila riba kubwa kwa benk au saccos nk 4 kama cost inaendelea kuwa kubwa mno kuliko kipato ni kuangalia fursa zingine ili ku raise capital ya hii biashara mf ukauza vitu vingine vya ziada ili kuongezea mtaji au kukidhi mahitaji binafsi ili kuweza wekeza mapato yote ktk hiyo biashara. Haya tunakwenda kuyaongelea kwa kirefu zaidi huko, mie pia najifunza by trial and error tunafika

sawa.nadhani option yangu hapa ni loan
 
Back
Top Bottom