Ni sawa unayosema lakini tukijitaidi itawezekana maana sio kuwa tuingie deep maana sio wote wanafuga kuku tu. Pia tukiongelea mifugo mingine hata juujuu italeta utofauti na kuepusha wote kufanya kitu kimoja mfano kwale, kanga, mbuzi masoko yake vibali nk.
Mtu aongelee kiasi cha nusu saa tu mabanda, chanjo, chakula, masoko, changamoto kisha tukajadili nini cha kufanya si inatosha? Mambo ya magonjwa hayo ni accident na sio kila afugae atayapata na yanahitaji wataalamu ambapo tumesema consultation. Ila tukubaliane hapa hapa hata kama ni kuwa tu na mada pia inahitaji muongozo siku nzima tusiimalize kwa kitu kimoja
Mtu aongelee kiasi cha nusu saa tu mabanda, chanjo, chakula, masoko, changamoto kisha tukajadili nini cha kufanya si inatosha? Mambo ya magonjwa hayo ni accident na sio kila afugae atayapata na yanahitaji wataalamu ambapo tumesema consultation. Ila tukubaliane hapa hapa hata kama ni kuwa tu na mada pia inahitaji muongozo siku nzima tusiimalize kwa kitu kimoja
Mama Joe mimi nina maoni hapo, kwa kweli Muda hautatosha hayo yote Unless kama tutakaa Siku mbili, Ushauri wangu ni huu hapa,
Ishu kubwa ni kufahamiana na baada ya hapo nazani tuangalie in general maswala ya ujasiraimali, kwa sabbau ukisema watu waanze kueleza nini maana na misitu au misitu inapandwa vipi ni kupoteza muda, na hata ishu za mifugo huwezi anza kueleza kwamba banda linatakiwa liwe hivi,
NINI KIFANYIKE?
Baada ya ufunguzi wadau wanaweza leta hoja, na hapo kuwepoi na hoja nyingi,na ziwe ni katika mazungumzoa ya watu wote, Mfano mimi naweza anzisha maada ya ufugaji wa kuku. Hapo sasa kila mtu anaweza toa maoni yake, kwa sababu time haitatosha na kwa Dar kuanza itatuwa saa nne
Last edited by a moderator: