Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

asante nafikiri issue ya contents za agenda ndio inaanza sasa
ninavyojua vision au maono au wazo ndio inaanza means za kuifikia au mission ndio malengo au goals and objective zinafuata. Objectives na hasa specific zinaweza tajwa ila tusiingie deep maana muda hamna bali zitapangiwa muda wake na kwa wale walengwa watakutana na kujadiliana jinsi ya kuzifikia
Habari za leo wakuu.
Nashukuru mungu maana naona mambo yanaelekea kuwa mazuri kuhusu mkutano wetu.
Kuna mdau ameongelea habari za kutengeneza objectives, mission and vission. Ni wazi zuri sana lkn ninavyolijua hilo zaidi linaweza kuuchukua siku nzima, hasa vision na mission. Mimi nashauri , tukikutana tutengeneze objectives tu, ambapo tutaainisha main objective na specific objectives. Kwenye kutengeneza mission na vision tunaweza kununua baada ya huyo mkutano wa kwanza, tunaweza kubrainstorm kutumia whatsapp group msg. Halafu tuje kwenye discussion ya sectors. Hapa ninamaanisha kilimo (agriculture), mifugk nk. Kuna subsector ambapo ni forestation, ufugaji wa kuku nk. Sasa ktk hizi subsector kuwe na facilitator (siyo lazima ajue kila kitu), na jukumu lake ni kuwezesha hiyo discussion ifanikiwe. Nashauri ktk hayo majadiliano ya subsector tujadili issues au changamoto tunazokutana nazo na jinsi ya kuzishinda. Tukisema tufanye presentation ya jinsi ya kununua kuku wa nyama mwanzo hadi mwisho, tuje kuku wa mayai, tuje urban farming, tuje forestation muda hautatosha.
Nawasilisha
 
asante nafikiri issue ya contents za agenda ndio inaanza sasa
ninavyojua vision au maono au wazo ndio inaanza means za kuifikia au mission ndio malengo au goals and objective zinafuata. Objectives na hasa specific zinaweza tajwa ila tusiingie deep maana muda hamna bali zitapangiwa muda wake na kwa wale walengwa watakutana na kujadiliana jinsi ya kuzifikia
Mama Joe, nazani mambo mengine ni pamoja na kupanga, tarehe ya mkutano wapili na ni vizuri ikawa mara mbili kwa mwaka, so tutapanga mwezi, na wapi pa kufanyia,
 
Last edited by a moderator:
Wakuu leo naona tuanze kuongelea kuhusu maono (vision), mission (mbinu au michakato) goals and objectives (malengo yawe ya muda mrefu au mfupi) ya umoja huu. Wazo kama tunavyoona mwazilishi aliliweka hapa:

Sisi tunafursa ya kufanikiwa (ktk Ujasiriamali) lakini ni lazima tupambane ni lazima tuende na wakati, ni lazima tujaribu kuiota kesho itakuwaje ku survive katika ujasirimali, so ni lazima tuwekeze kwenye utafiti wa kupunguza gharama kila mtu na biashara yake anatakiwa aumize kichwa kufikiria ni vipi anaweza punguza gharama ili aweze ku survive kwenye biashara? kwa trend ilivyo tusitarajie kwamba kuna siku kutakuwa na mteremko No.

Hivyo ushindani ndo sehemu ya wewe kupambana na kutoka wajasiriamali kwenye maeneo tulipo ni Bora tukaunda club za kukutana angalau hata siku za weekend na kucheki trend ilivyo na nini cha kufanyika, kwa sasa biashara zinaenda kwa network, wenzetu unakuta siku za weekend ndo siku za wao kukutana na kupanga mikakati ila sisi mara nyingi ndo siku za kwenda kushangilia watu wakiingiza pesa huko Uingereza, we need to change.....
 
Mama Joe, nazani mambo mengine ni pamoja na kupanga, tarehe ya mkutano wapili na ni vizuri ikawa mara mbili kwa mwaka, so tutapanga mwezi, na wapi pa kufanyia,
Asante ndio najaribu kuanza kuainisha wazo sasa ili tuanze ku draft agenda hapa hapa na kupunguza mambo mengine kwenye meeting
 
Wajasiriamali wote mnakaribishwa bado tunapokea watu, watu wameishaanza kutoa michango yao lakini meeting ni wiki 1 na nusu kuanzia sasa
cc
Kig
Amani Ng'oma
Green House
rmashauri
Eberhard
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Wajasiriamali wote mnakaribishwa bado tunapokea watu, watu wameishaanza kutoa michango yao lakini meeting ni wiki 1 na nusu kuanzia sasa
cc
Kig
Amani Ng'oma
Green House
rmashauri
Eberhard


Mama Joe.........hapo juu ni baadhi ya member ambao wamekuwa on line ama??
 
Last edited by a moderator:
unataka kiasi gani? yes yapo

kaka chasha,mimi nimeanza mwaka jana mwezi wa kumi tarehe 20,na kuku wa3,yaani mitetea mi2 na jogoo m1,wa kienyeji, walivoanza kutanga m1 niktafuta mayai chotara,nikamlalishia,but huyo kuku akafa,nikapeleka some place yakaanguliwa watoto 6, na aliebaki nikamuatamishia mayai 10,akaangua 8

tar15 dec nikamnyanganya baada ya siku5, januari10 kaanza kutaga na tarehe 26 kaanza kulalia ,anamayai 10,kwa sasa nina vfaranga 13 vikubwa na wamama 2, jogoo sina. ninaomba kama 1tray la dorep, plz kwangu si pakubwa na bado sijakaa vzr .
 
kaka chasha,mimi nimeanza mwaka jana mwezi wa kumi tarehe 20,na kuku wa3,yaani mitetea mi2 na jogoo m1,wa kienyeji, walivoanza kutanga m1 niktafuta mayai chotara,nikamlalishia,but huyo kuku akafa,nikapeleka some place yakaanguliwa watoto 6, na aliebaki nikamuatamishia mayai 10,akaangua 8, tar15 dec nikamnyanganya baada ya siku5, januari10 kaanza kutaga na tarehe 26 kaanza kulalia ,anamayai 10,kwa sasa nina vfaranga 13 vikubwa na wamama 2, jogoo sina. ninaomba kama 1tray la dorep, plz kwangu si pakubwa na bado sijakaa vzr .


Hongera sana mkuu, Wewe uko wapi?
 
Nimekuwa nafatilia sana thread zako,zimenitia moyo yana, kunaki2 kinanitatiza ,kwa wafugaji wa kuku hapa dar,kwanza unaweza uliza aina ya kuku anaofuga, akakwambia ni chotara,,ukimuuliza aina gani yaani jina,hawajui,ni shida.. Mayai niliyoyanunua hayaeleweki,yalikuwa madogo madogo sana kama ya kienyeji...
 
Ki2 kingine nikuwa wanawachanganya sana,mwisho wa siku m2 hupati ile breed inayofaa.
 
mkuu chasha vifaranga vlivyo anguliwa 15 dec vko 8,,viwili havijachangamka,havili vzr vinasinzia sinzia.
 
Back
Top Bottom