Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Asante mpendwa kufikia hapa tutaconfirm kila kitu kwa pm. Bless
Mama Joe
Chasha Poultry Farm
Na wadau wote tulio ba nia njema na mengi tunayotazamia.
Napenda niwasalimuni wote katika Jina la Bwana wapendwa wangu wote wa jukwaa hakika tunaenenda vizuri kabisa.........ila napendkeza kitu kimoja ambacho ni muhimu sana.

Nimeona mtazamo wa Chasha Poultry Farm akilenga kwamba hata kama ni Dar ndiyo wanatoka member wengi itakuwa poa tukikutana huko,bila shaka ni mtazamo bora tu na ni changamoto ameleta.

Warning yangu ninayotoa ni moja tu........ Mama Joe ningependa sana tena sana tupate idadi ya member wenzangu ambao watakuwa active tunayoilenga ujue idadi kabisa na ikibidi kila mmoja uwe na mawasiliano naye.......si mbaya pale ulipofikia na kujua gharama ya kila kitu,hapo Mi binafsi nakupa pongezi asante sana Mpendwa wetu Mama Joe

Kuna kipindi fulani mwaka 2012 member kadha tuliahidiana jambo fulani na tukasema tukutane Dar,hakimungu ikala kwangu safari ile maana siku ya siku wamenidanganyia njia na hawajajitokeza na ikawa nimesfiri bure na kupoteza muda bure kabisa.

Narudia tena ya kwamba member tuliotayari na hili twende PM na Mama Joe kwa mawasiliano zaidi.

SINA MENGI ZAIDI YA KUWATAKIENI USIKU MWEMA WENYE NJOZI NJEMA NDUGU ZANGU.
 
Last edited by a moderator:
asante Chasha na mimi nafikiri hili ila nitawa pm members ili kufikia wk hii kila kitu kiwe clear. Wageni au wataalamu au wafanyabiashara wakubwa (role model) tunaweza jaribu waalika ili kushare experience na kutangaza bidhaa zao. Kuhusu presentation sio lazima lakini itakuwa boring kama siku nzima ni oral ppt bila vielezo so mwenye nayo aje nazo

Mama Joe ni kweli kabisa anaweza tafutwa mjasirimali mmoja wa kuja kutia watu hamasa, na ishu ya presentation ni nzuri but nini kina presentiwa? na nani anapresents? mimi nazani kama tungep[eana majukumu mimi binafisi niko tiyari kupresent kitu ambacho nitaambiwa fanya hivyo,
 
Last edited by a moderator:
Heri na kwako pia....nimeshukuru tu angalau na soko la mayai limeanza ku-adjust....
 
Mama Joe ni kweli kabisa anaweza tafutwa mjasirimali mmoja wa kuja kutia watu hamasa, na ishu ya presentation ni nzuri but nini kina presentiwa? na nani anapresents? mimi nazani kama tungep[eana majukumu mimi binafisi niko tiyari kupresent kitu ambacho nitaambiwa fanya hivyo,

Issue ni kuwa lazima tuwe na speakers ambao wataongelea kitu fulani wenye uzoefu nacho kisha ndio watu wachangie na kuuliza maswali na kutoa mawazo kushare contacts uzoefu etc. Wewe mbona ndio tayari presenter wa topic nafikiri zaidi ya moja tulizoweka hapo juu, tunakutegemea, kila mtu ana nji ayake ya kuongea na wengine wanaweza kuwa sio waongeaji lakini ppt itawaasaidia kufanya walichoongea kiwafikie vizuri walengwa.

Kuhusu wafanyabiashara wazoefu nafikiri hata kati yetu mkiwemo nyie ni wazoefu kwa level yenu, ila tukifikia muafaka venue na date tutawez karibisha watu au mtu. Tayari kati yetu kuna sponsor kajitokeza endapo venue itakuwa Dar kuchangia percent fulani, na hii nailete kwenu maana kuna mmoja tayari kaomba endapo ni tar 7 nje ya D
ar ana exams.

Je venue ihamie Dar? na watu wa mikoani wafikiriwe kwenye kuchangia venue ili kupunguza gharama yao ya usafiri na accomodation? Michango yenu kwa hili ni muhimu
 
Pole sana mama joe. ..na support venue ihamie dar.

kwa nini? toa na sababu mkuu,

Ujue ishu kubwa kuliko zote watu hawako commited that is why? mimi hata wakisema Mbeya nitaenda, na nina uhakika hata ikiwa Dar kama mtu hayuko commited hata fika kamwe,
 
Issue ni kuwa lazima tuwe na speakers ambao wataongelea kitu fulani wenye uzoefu nacho kisha ndio watu wachangie na kuuliza maswali na kutoa mawazo kushare contacts uzoefu etc. Wewe mbona ndio tayari presenter wa topic nafikiri zaidi ya moja tulizoweka hapo juu, tunakutegemea, kila mtu ana nji ayake ya kuongea na wengine wanaweza kuwa sio waongeaji lakini ppt itawaasaidia kufanya walichoongea kiwafikie vizuri walengwa.
Kuhusu wafanyabiashara wazoefu nafikiri hata kati yetu mkiwemo nyie ni wazoefu kwa level yenu, ila tukifikia muafaka venue na date tutawez karibisha watu au mtu. Tayari kati yetu kuna sponsor kajitokeza endapo venue itakuwa Dar kuchangia percent fulani, na hii nailete kwenu maana kuna mmoja tayari kaomba endapo ni tar 7 nje ya D
ar ana exams,
Je venue ihamie Dar? na watu wa mikoani wafikiriwe kwenye kuchangia venue ili kupunguza gharama yao ya usafiri na accomodation? Michango yenu kwa hili ni muhimu
Mama Joe ni kweli kabisa, naunga mkono sisi wa Mikoani hatuna shida hasa mimi na mdau Liverpool, na ni kweli Dar cost itakuwa kubwa kwetu kwa sababu ni accomodation ya two Days hapo, ila cost si ishu sana kikubwa ni kile kinacho patikana.

Ishu ya Presentation hapo bado kuna utata fulani, Kwa sababu watu watakao hudhuria wanafanya shughuli tofauti tofauti wengine wanafuga kitimoto na kazalika so ni vizuri kila mtu akasema anataka kutoa maada sehemu gani,

Kwenye kuku si kwamba niko vizuri sana na nanjua huko wako wazuri zaidi yangu na wazoefu so mimi naweza present parts mfano kwenye Hatchery, au kwenye Brooding na mwingine anaweza toa uzoefu kwenye madawa.

So mimi naweza toa maada ya hatchery, hapo naweza andaa presenation, na mwingine labda maswala ya Magonjwa au maswala ya masoko na kadhalika.
 
Last edited by a moderator:
Asante hiyo inafaa sana nafikiri tukuweke na kilimo cha lami pia, si unajua wengi wetu tunajaribu kilimo huku mjini pia ili iwe ni intro kwa more demo kwa wataopenda kuja kupata ujuzi zaidi Arusha

Pia naona tunahitaji mtu kuongelea kuhusu ujasiriamali kwa ujumla, kutafuta wazo, planning, marketing, scaling up, partnership kwa ufupi tu ili kuwekana sawa nini tunaongelea muda ni siku moja mfupi lakini tutajaribu mwisho kufikia uamuzi mmoja na agenda safi kabisa

Mama Joe ni kweli kabisa, naunga mkono sisi wa Mikoani hatuna shida hasa mimi na mdau Liverpool, na ni kweli Dar cost itakuwa kubwa kwetu kwa sababu ni accomodation ya two Days hapo, ila cost si ishu sana kikubwa ni kile kinacho patikana.

Ishu ya Presentation hapo bado kuna utata fulani, Kwa sababu watu watakao hudhuria wanafanya shughuli tofauti tofauti wengine wanafuga kitimoto na kazalika so ni vizuri kila mtu akasema anataka kutoa maada sehemu gani,

Kwenye kuku si kwamba niko vizuri sana na nanjua huko wako wazuri zaidi yangu na wazoefu so mimi naweza present parts mfano kwenye Hatchery, au kwenye Brooding na mwingine anaweza toa uzoefu kwenye madawa.

So mimi naweza toa maada ya hatchery, hapo naweza andaa presenation, na mwingine labda maswala ya Magonjwa au maswala ya masoko na kadhalika.
 
Pole sana mama joe. ..na support venue ihamie dar.
sawara mkuu tunapokea mawaidha ya wengine pia kisha tu plan what next, mimi sina tatizo wala sihitaji kwenda kukagua venue ni vidole vitatembea na kama ni kwa Dar wadau mtapewa tena fursa kupendekeza wapi
 
Asante hiyo inafaa sana nafikiri tukuweke na kilimo cha lami pia, si unajua wengi wetu tunajaribu kilimo huku mjini pia ili iwe ni intro kwa more demo kwa wataopenda kuja kupata ujuzi zaidi Arusha

Pia naona tunahitaji mtu kuongelea kuhusu ujasiriamali kwa ujumla, kutafuta wazo, planning, marketing, scaling up, partnership kwa ufupi tu ili kuwekana sawa nini tunaongelea muda ni siku moja mfupi lakini tutajaribu mwisho kufikia uamuzi mmoja na agenda safi kabisa
Mama Joe hiyo ya urban framing, tuiweke pending kwanza, na muda hautatosha na mambo yanaweza kuwa mwengi sana,

Naona tufanye hivi, Watu wanaweza toa Maada hata maada 10 n then tukaanza kuzichangia kwa pamoja, mtu anaweza toa maada ya Kilimo lets say cha Matunda n then watu wakatoa mawazo yao, au maada ya Uufugaji kuku hasa masoko watu wakaanza kuchangia.
 
Last edited by a moderator:
Asante hiyo inafaa sana nafikiri tukuweke na kilimo cha lami pia, si unajua wengi wetu tunajaribu kilimo huku mjini pia ili iwe ni intro kwa more demo kwa wataopenda kuja kupata ujuzi zaidi Arusha

Pia naona tunahitaji mtu kuongelea kuhusu ujasiriamali kwa ujumla, kutafuta wazo, planning, marketing, scaling up, partnership kwa ufupi tu ili kuwekana sawa nini tunaongelea muda ni siku moja mfupi lakini tutajaribu mwisho kufikia uamuzi mmoja na agenda safi kabisa


Nikianza kuzungumzia kilimo cha mjini it will take 5 hours kwa hiyo inaweza kula muda mwingi sana ingawa tunaweza gusi tu kwa dakika hata 5
 
Habari za leo wadau? Naunga mkono hoja ya kuwa venue iwe Dar. Ikiwa Dar ninaweza kushawishi watu wawili waashiriki.

Ktk mada niliona km ipo ya forest farming, tunaweza kumuomba Malila afacilitate. Na kufacilitate ni km kuongoza, haina maana unatakiwa ujue kila kitu. Vingine washiriki wenye uzoefu watachangia
 
Sijaelewa hapo, kwenye breakfast,35,accomodation ni 71500,..mi ninavojua ukipata 35000 up to 40000 inakuwa full na breakfast.. Ni sawa
 
Mimi nipo Dodoma, Ilikuwa rahisi sana kwangu kwa Morogoro kuliko Dar, as long watu wengi watakubaliana venue ihamie Dar nitajitahidi Kuangalia kama nitaweza kuhudhuria, Nitacomfirm wiki moja kabla ya tukio. Morogoro nilicomfirm mapema kwa sababu ni masaa mawili na nusu toka Dodoma.
 
Sijaelewa hapo, kwenye breakfast,35,accomodation ni 71500,..mi ninavojua ukipata 35000 up to 40000 inakuwa full na breakfast.. Ni sawa
oh sorry hii ni conference package kwani sio wote wanalala hapo, afu hiyo 71 thous ni BB ila kwenye conference waliweka breakfast 2 saa 4 na saa 10 jioni na lunch kwa 40 thous per head nilipoomba ishushwe na waondoe breakfast moja wamebakiza hiyo 35. Mnaombwa kuchagua na kuulizia venue ili wadau wachangie kwa sasa tunaongelea kuhamishia Dar, wadau wengi wameomba hivyo.
 
Mimi nipo Dodoma, Ilikuwa rahisi sana kwangu kwa Morogoro kuliko Dar, as long watu wengi watakubaliana venue ihamie Dar nitajitahidi Kuangalia kama nitaweza kuhudhuria, Nitacomfirm wiki moja kabla ya tukio. Morogoro nilicomfirm mapema kwa sababu ni masaa mawili na nusu toka Dodoma.
Oh sorry pm ninazopokea wengi wameafiki Dar sijasikia kwa Liverpoolfc tutaamua kwa pamoja. Lakini usife moyo next time tutajipanga na venue itasogea moro au Dom kabisa
 
Back
Top Bottom