Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Shida ya wasiotaka kuelimika wakiona maandishi mengi hivyo hawasomi, wanakimbilia kuchangia ujinga na kuendelea kulalamikia serikali, mf hao waliogundua opportunity ya kufata vitu china ilkuaje, hao wanaofuga kuku serikali imewashikaje mkono, shida ni kutaka kuajiriwa serikalini wakati hata nchi zilizoendelea serikali inaajira chache. Mtu mtaani kwao kuna migahawa mizuri, hawana juisi ya maembe, badala akauze pale anakaa kusubiri serikali imuajiri, shwain kbs



Mkuu,hapo juu umenichekesha sana tena sana tu

Kwa ujumla sisi Watanzania hatutaki kujituma hata kidogo tunapenda kusubiria na itawagharimu wengi sana!
 
Chasha Poultry Farm
Mama Joe
idea
Malila
ngoshas
Muinjilisti
Na wadau wenzangu wote wa jukwaa letu napenda niwasalimu wote katika jina la Bwana.

Hakika nimekuwa nje ya jukwaa kutokana na majukumu ya hapa na pale........ila nimepita post zote pale nilipokwamia na nimeona mawazo ya kila member kwa mtazamo wao.....hakika nimefurahi sana ndugu zangu.
Kwa mtazamo wangu na fikira niliyonayo na niliyopata kwa kuchanganya na mawazo yenu ni kwamba zoezi hili hakika tutalifanikisha kwa uwezo wake Mungu

Mama Joe endelea kuweka msingi vizuri na ingependeza kama ukajua ni member wangapi tunakuja hapo Moro isije ikafanana na ile ya kwangu ya member fulani wameniita na nilipofika Dar hawajajitokeza hata mmoja.

Sitamani yaliyonikuta yatokee na leo tena hapo Moro
Sina mengi ya kusema zaidi ya member watakaokuwa on line wajitokeze mapema sana kwani sisi Member wa Arusha tuko tayari muda wowote.

Na nyote tuwe na wakati mzuri popote pale mlipo!!
 
Last edited by a moderator:
Asante kaka ondoa shaka kuwa na imani kuwa this time its gonna be yes! Kuna wadau walirespond wanasubiri cost na date leo nimneona website ya moro hotel tumepiga namba haikupokelewa kesho niko free tutapiga asubuhi. Idadi hatuzidi 20 ingawa tunaendelea pokea watu hadi hiyo february. Karibuni nyote
Chasha Poultry Farm
Mama Joe
idea
Malila
ngoshas
Muinjilisti
Na wadau wenzangu wote wa jukwaa letu napenda niwasalimu wote katika jina la Bwana.
Hakika nimekuwa nje ya jukwaa kutokana na majukumu ya hapa na pale........ila nimepita post zote pale nilipokwamia na nimeona mawazo ya kila member kwa mtazamo wao.....hakika nimefurahi sana ndugu zangu.
Kwa mtazamo wangu na fikira niliyonayo na niliyopata kwa kuchanganya na mawazo yenu ni kwamba zoezi hili hakika tutalifanikisha kwa uwezo wake Mungu
Mama Joe endelea kuweka msingi vizuri na ingependeza kama ukajua ni member wangapi tunakuja hapo Moro isije ikafanana na ile ya kwangu ya member fulani wameniita na nilipofika Dar hawajajitokeza hata mmoja.

Sitamani yaliyonikuta yatokee na leo tena hapo Moro
Sina mengi ya kusema zaidi ya member watakaokuwa on line wajitokeze mapema sana kwani sisi Member wa Arusha tuko tayari muda wowote.

Na nyote tuwe na wakati mzuri popote pale mlipo!!
 
Last edited by a moderator:
Update
walioonyesha nia hadi sasa (please ukibadili mawazo tujulishe)
Chasha Poultry Farm
Malila
LiverpoolFC
Bw Daffa
Idea
Muinjilisti
Bluetooth
Mbepo Lyamba
Maundumula? aliomba confirmed date kwanza
Ngoshas
Flogham Poultry Farm
Madinimadini
Mama Joe
.....................
kama nimekusahau please please usi mind confirm hapa sijapita muda

Dates ni jumamosi ya kwanza ya February ambayo ni tarehe 7 2015 hii ni kuepuka usumbufu wa 14 feb ambayo ni Valentine day cost na pia wengi wasingekuja

Venue nimeongea na Moro hotel ila waliomba mail ili watume quotations zitawekwa hapa soon
gharama ya kukodi ukumbi
room kama mtu atapenda kulala single/ double
Lunch au refreshments kwa meeting (napendekeza hii iwekwe kwenye cost ya meeting room ili tuchangie pamoja ili kusiwepo wau wataoenda lunch masaa 4 au kuleta differences, itaamuliwa aidha lunch au refreshments na bites kulingana na uwezo wetu)
Nafikiri vitu vingine kama laptops wadau watakuja nazo je niulizie projector pia?
michango yenu ni muhimu hapa

Morogoro hotel:
The cost for a conference package( meeting room, 10 & 4 oclock teas and lunch) is 40,000/= per person.
Accommodation charges on BB are:- 1. Single 71,500/= 2. Double 97,000/=
*nimemwambia sisi hatuhitaji chai 2 amesema itakuwa 35,000/ per head naona kama kubwa? je kuna option nyingine please wadau changieni mawazo hapa tuwe na h
otel confirmed kabla ya ijumaa hii,

35,000 per head ni sawa au?


NB kuna wenza kuna friends ambao sio JF member na utapenda waje just indicate here and their number.
Thanks and blessings
 
Kwa conference package naona kama ipo very fair, labda accommodation, kwa Mororgoro kuna lodges zipo powa na cheap compared na Moro hotel. tuendelee kusikiliza wadau wengine wanasemaje. Kwaku naona ipo powa
 
Kwa conference package naona kama ipo very fair, labda accommodation, kwa Mororgoro kuna lodges zipo powa na cheap compared na Moro hotel. tuendelee kusikiliza wadau wengine wanasemaje. Kwaku naona ipo powa
thanks ni kweli accomodation hiyo ni option tu muhimu ni hiyo conference package na mimi naona iko fair hasa kama wameweka lunch na tea aidha saa 4 au saa 10 jioni
 
asante na tarehe je? kil anayeona kila kitu poa aseme ili ni confirm na venue kisha tutaelekezana what next
 
the cost per head is very reasonable ..... given the fact of the status and credibility of the venue ...

Naomba kujua proposed start and closing time of the gathering/meeting ..... hii itaniwezesha ku-schedule go and return trip from Dar at the same day

count me in
 
the cost per head is very reasonable ..... given the fact of the status and credibility of the venue ...

Naomba kujua proposed start and closing time of the gathering/meeting ..... hii itaniwezesha ku-schedule go and return trip from Dar at the same day

count me in
thanks ngoja waje waa,ue hapa tutakujulisha but its possible
 
Mama Joe hongera sana kwa kazi nzuri, na kilichopo ni watu kweli wawe commited kuhudhuria, na vile vile kuna optional kama mtaona Dar ni sawa basi tunaweza fanyia Dar make siajua watu Mikoani wako wangapi, ili tujue in akua vipi.

Kuhusu Projector ni kwamba ni lazima tukubaliane hapa kama kutakuwa na presentation na kuhusu nini na nani atapresent,

Na Watu wanaweza vile vile kuwaalika wadau wengine ambao wako nje ya jf wakaweza kujumuika nasisi.
 
Last edited by a moderator:
Mama Joe
Chasha Poultry Farm
Na wadau wote tulio ba nia njema na mengi tunayotazamia.
Napenda niwasalimuni wote katika Jina la Bwana wapendwa wangu wote wa jukwaa hakika tunaenenda vizuri kabisa.........ila napendkeza kitu kimoja ambacho ni muhimu sana.

Nimeona mtazamo wa Chasha Poultry Farm akilenga kwamba hata kama ni Dar ndiyo wanatoka member wengi itakuwa poa tukikutana huko,bila shaka ni mtazamo bora tu na ni changamoto ameleta.

Warning yangu ninayotoa ni moja tu........ Mama Joe ningependa sana tena sana tupate idadi ya member wenzangu ambao watakuwa active tunayoilenga ujue idadi kabisa na ikibidi kila mmoja uwe na mawasiliano naye.......si mbaya pale ulipofikia na kujua gharama ya kila kitu,hapo Mi binafsi nakupa pongezi asante sana Mpendwa wetu Mama Joe

Kuna kipindi fulani mwaka 2012 member kadha tuliahidiana jambo fulani na tukasema tukutane Dar,hakimungu ikala kwangu safari ile maana siku ya siku wamenidanganyia njia na hawajajitokeza na ikawa nimesfiri bure na kupoteza muda bure kabisa.

Narudia tena ya kwamba member tuliotayari na hili twende PM na Mama Joe kwa mawasiliano zaidi.

SINA MENGI ZAIDI YA KUWATAKIENI USIKU MWEMA WENYE NJOZI NJEMA NDUGU ZANGU.
 
Last edited by a moderator:
Mama Joe hongera sana kwa kazi nzuri, na kilichopo ni watu kweli wawe commited kuhudhuria, na vile vile kuna optional kama mtaona Dar ni sawa basi tunaweza fanyia Dar make siajua watu Mikoani wako wangapi, ili tujue in akua vipi.

Kuhusu Projector ni kwamba ni lazima tukubaliane hapa kama kutakuwa na presentation na kuhusu nini na nani atapresent,

Na Watu wanaweza vile vile kuwaalika wadau wengine ambao wako nje ya jf wakaweza kujumuika nasisi.
asante Chasha na mimi nafikiri hili ila nitawa pm members ili kufikia wk hii kila kitu kiwe clear. Wageni au wataalamu au wafanyabiashara wakubwa (role model) tunaweza jaribu waalika ili kushare experience na kutangaza bidhaa zao. Kuhusu presentation sio lazima lakini itakuwa boring kama siku nzima ni oral ppt bila vielezo so mwenye nayo aje nazo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom