Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

Safi sana Chasha hapo poa kabisa
Nazani Mwezi wa Pili katikati itakuwa mwafaka, sana na unaweza pendekeza tarehe ila shariti iwe weekend hasa jumamosi make wa mikoani tunaweza ondoka ijumaa, jumamosi tukaatend na jumapili tukageuza zetu. Na Morogoro patafaa zaidi kwani ni centre na kwa watu wa Dar ni rahisi mno,

Maada mtaongezea.

1. Furusa za Kilimo biashara kwa Tanzania

2. Urban Farming(Kilimo cha kwenye Rami) Tehe tehe

2. Ufugaji ndege wote

3. Ng'ombe, mbuzi, kiti moto na kazalika

4. Nyuki na kazalika

5. Kilimo

6. Changamoto

7. Ways foward

Na kama tutakuwa na mda watu wanaeza shusha nondo na mtu anaweza chukua maada moja akapresent, mimi binafsi naweza present maada ya kuku au part ya kilimo hasa kilimo cha kwenye Rami
 
Samahanini! Mimi naona hivi vikao vingefanyika kimkoa au kikanda mf. Watu wa Arusha wakutane kwanza. Kujadili changamoto zinazotukabili katika ufugaji, au Arusha, Moshi na Tanga tubadilishane uzoefu masoko na changamoto.then tupanue upeo kwa kukutana na wenzetu wa Dar, Moro, pwani nk. Na kuwe na shamba darasa yaani tukutane kwa mfugaji aliyepiga hatua katika ufugaji, akiwemo na docta wa mifugo ili kutupa elimu ya magonjwa na namna ya kukinga mifugo yetu na magonjwa.
Ajenda ziwe mahususi kama ni kuku tujikite kwenye kuku wa aina zote na changamoto zake. Na kama ni ngombe basi ajenda pia ijielekeze huko.

Inawezekana na hii ya Moro haizuii hii ya kanda kufanyika, na za kanda zinaweza fanyika wakati wowote hata kila baada ya miezi miatatu wadau wanakutana
 
Mkuu Chasha ilifika kipindi ni melting point! Yaani kila leo kufunga security program kwenye computer, wakahamia simu..... Nikaona too much. Sio kwamba tunaiba nooo ni kwamba kila ufanyacho, uwasiliana nao wawajue hata baada ya kazi. Nikasema kama ni hela tu, hii too much, niliacha april nimesurvive na bizness na nimekuwa na amani. Nina kama vikazi 3 nafanya nahesabu masaa lakini niko free. Bado niko chini lakini naamini sio muda nitafikia pato la ajira na kuzidi. Nashukuru michango yako imeniinua na dawa ya pullorums imekata vifo kabisa kwenye vifaranga. Nakusanya nguvu uniuzie kenbro na dorep nafikiri february mwanzoni. Blessings

Haya mashirika ya nje/ ya kigeni ndo wana haya mambo, hufikia hadi kufuatilia fb account za staff wao kujua wanacho post huko kitaa, ni shida sana.pole sana ila nazani umeelewa kwamba unaweza ishi bila kuwa chini ya mtu,

Mimi kitu pekee ninacho kiogopa ni kifo, na huwa naambia watu wanionyeshe makabuli ya watu walio kufa kisa tu wameachiswa/wameacha kazi,
 
Wadau nami ni mfugaji wa broilers. Nimelipenda sn hili wazo ambalo ndiyo naliona. Nilitingwa nikawa sijaingia kwa muda humu. Mawazo yang ni kuwa agenda zilizotolewa ni pana mno kwa mkutano wa siku moja.

Kwa nini tusiwe more effective kwa kuconcentrate na swala mmoja Kwanza. Mfano tuanze na kuku. Kuna wa kienyeji, broilers na layers. Hao wenyewe ni tosha kwa siku mmoja. Kwa hiyo tu propose agenda kuhusiana na hiyo Mada. Tukisema tuweke vyoote tutaishia kuhit around the Bush.

Namba zangu ni 0784664341/0713664341/0754200061. Count me in
Tuko pamoja
 
Wadau nami ni mfugaji wa broilers. Nimelipenda sn hili wazo ambalo ndiyo naliona. Nilitingwa nikawa sijaingia kwa muda humu. Mawazo yang ni kuwa agenda zilizotolewa ni pana mno kwa mkutano wa siku moja. Kwa nini tusiwe more effective kwa kuconcentrate na swala mmoja Kwanza. Mfano tuanze na kuku. Kuna wa kienyeji, broilers na layers. Hao wenyewe ni tosha kwa siku mmoja. Kwa hiyo tu propose agenda kuhusiana na hiyo Mada. Tukisema tuweke vyoote tutaishia kuhit around the Bush.
Namba zangu ni 0784664341/0713664341/0754200061. Count me in
Tuko pamoja

Naunga mkono. Tukiwa too broad hatutakuwa na kitu at the end. Tuanze na kuku na kilimo mjini tu mengine kwenye meetings zijazo
 
Wakuu tumeishaongelea hili nafikiri wanaohudhuria mikutano mikubwa wameishaliona. Wote mnakutana mwanzo tu then kila sector inakuwa na side meeting, kama huna interest na miti au kuku huingii huko. Maybe mwisho mnahitimisha. Masaa 2-3 kwa sector yanatosha, vitu kama challenges na way forward ni vya pamoja
Naunga mkono. Tukiwa too broad hatutakuwa na kitu at the end. Tuanze na kuku na kilimo mjini tu mengine kwenye meetings zijazo
 
Kabisa ni shida
Haya mashirika ya nje/ ya kigeni ndo wana haya mambo, hufikia hadi kufuatilia fb account za staff wao kujua wanacho post huko kitaa, ni shida sana.pole sana ila nazani umeelewa kwamba unaweza ishi bila kuwa chini ya mtu,

Mimi kitu pekee ninacho kiogopa ni kifo, na huwa naambia watu wanionyeshe makabuli ya watu walio kufa kisa tu wameachiswa/wameacha kazi,
 
Wadau nami ni mfugaji wa broilers. Nimelipenda sn hili wazo ambalo ndiyo naliona. Nilitingwa nikawa sijaingia kwa muda humu. Mawazo yang ni kuwa agenda zilizotolewa ni pana mno kwa mkutano wa siku moja. Kwa nini tusiwe more effective kwa kuconcentrate na swala mmoja Kwanza. Mfano tuanze na kuku. Kuna wa kienyeji, broilers na layers. Hao wenyewe ni tosha kwa siku mmoja. Kwa hiyo tu propose agenda kuhusiana na hiyo Mada. Tukisema tuweke vyoote tutaishia kuhit around the Bush.
Namba zangu ni 0784664341/0713664341/0754200061. Count me in
Tuko pamoja

Mkuu hiyo meeting haitakuwa yakufundishana jinsi ya kufuga, ni vigumu sana kufika pale tunaze kuelezana sijui maswala ya chanjo, mara sijui chakula, it will take time, pale sana sana ni kufahamiana na kucheki kwa kifupi oprtunity na changamoto, vinginevyo watu wajitoe iwe siku mbili kitu ambacho nacho hakiwezekani, nazani kila kitu kitakuwa ni introduction tu, ukisema tuanze kufundishana mfano, Utotoleshaji kwa kutumia mashine ni siku nzima inaisha
 
Lakini tu wasikate tamaa maana kuna break time, anayeweza ataleta vipeperushi au contacts hivyo tutaondoka na watu tayari wa kuwatafuta kama shamba darasa, wataalamu, business partner, wateja nk. So ni wakati wetu tunaeibukia kwenda kuonana na wakongwe na kuuliza maswali wamefikaje na changamoto walizopitia. Pia sisi wenyewe kwa wenyewe kujuana watu wa kanda au eneo moja, biashara moja au zinazotegemeana.
Mkuu hiyo meeting haitakuwa yakufundishana jinsi ya kufuga, ni vigumu sana kufika pale tunaze kuelezana sijui maswala ya chanjo, mara sijui chakula, it will take time, pale sana sana ni kufahamiana na kucheki kwa kifupi oprtunity na changamoto, vinginevyo watu wajitoe iwe siku mbili kitu ambacho nacho hakiwezekani, nazani kila kitu kitakuwa ni introduction tu, ukisema tuanze kufundishana mfano, Utotoleshaji kwa kutumia mashine ni siku nzima inaisha
 
Lakini tu wasikate tamaa maana kuna break time, anayeweza ataleta vipeperushi au contacts hivyo tutaondoka na watu tayari wa kuwatafuta kama shamba darasa, wataalamu, business partner, wateja nk. So ni wakati wetu tunaeibukia kwenda kuonana na wakongwe na kuuliza maswali wamefikaje na changamoto walizopitia. Pia sisi wenyewe kwa wenyewe kujuana watu wa kanda au eneo moja, biashara moja au zinazotegemeana.
Mama Joe inabidi watu watakao attend waanze kujulikana sasa hivi na ikibidi kama kuna ishu za gharama zitolewe mfano ukumbi, make tusije tukapeana matumaini halafu wakaja watu wa nne,kwa wewe uliko huko unaweza fanya michankatao na wenzako mlioko Dar
 
Last edited by a moderator:
Mimi niko Dar na niko tayari kuja morogoro lakini iwe Jumamosi.
 
Asante Chasha ngoja tuanze tafutana si unajua mitandao wachache wanataja wako wapi.
Cost za ukumbi zitajulikana tukijua idadi, kwaiyo wadau wa Dar mlio na nia ya kuja tujiorodheshe hapa au mwaweza pm namba zenu hadi mwisho wa mwezi January tutajijua wangapi
mama Joe
Malila
Idea
Mbepo Lyamba??
Bw Daffa??
......................



Mama Joe inabidi watu watakao attend waanze kujulikana sasa hivi na ikibidi kama kuna ishu za gharama zitolewe mfano ukumbi, make tusije tukapeana matumaini halafu wakaja watu wa nne,kwa wewe uliko huko unaweza fanya michankatao na wenzako mlioko Dar
 
Last edited by a moderator:
By All Means Mama Joe Nadhani Katikati ya Mwezi wa Pili Nitakuwa Morogoro.Kama Nitakuepo Huko Basi Nitashirikiana na wewe Kwenye Maandalizi ya Mkutano.

Frankly Speaking!
 
Last edited by a moderator:
Haya ndo mambo, ukumbi je upi unapendekeza, mimi VETA
.


By All Means Mama Joe Nadhani Katikati ya Mwezi wa Pili Nitakuwa Morogoro.Kama Nitakuepo Huko Basi Nitashirikiana na wewe Kwenye Maandalizi ya Mkutano.

Frankly Speaking!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom