Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Pole yako 🤣
Natania bana!

Sijaambiwa nakupenda ila nimeulizwa hivi unajua kuwa nakupenda Binti kiziwi? leo saa 13:32 .

Ni kitu hiko hiko au tofauti? Kuna kitu tulikuwa tunachat tunabishana, mie kwa ubishi…. Kaniambia hivyo ili nisimshinde 🤦🏻‍♀️
 
Inategemea kilichozidi ni kipi katika matendo hayo mawili. Haviwezi kuwa balanced lazima imma uzidi wema au uzidi ubaya lakini sifa zote hizo binaadamu anazo. Tutakutambua kwa ile sifa iliyozidi.
 
Inategemea kilichozidi ni kipi katika matendo hayo mawili. Haviwezi kuwa balanced lazima imma uzidi wema au uzidi ubaya lakini sifa zote hizo binaadamu anazo. Tutakutambua kwa ile sifa iliyozidi.
Tutakutambua kwa ile sifa iliyozidi

Asante mkuu karibu tena
 
Nilijua tu🤗

Bismillah MashaAllah 😍 rahaaa

Ni kitu hiko hiko dear 🤗🤗
Punguza ka ubishi basi🫢
Kwenye ubishi niombee 🤦🏻‍♀️😂

Lakini nadhani ubishi ni my love language, mimi kama sikujali, hata ukosee sitakurekebisha, kimya kama sipo. I have 0 business telling someone i don’t care about what to do…

Ila kama nakujali, nikikuona kuna kitu unakosea tutaparangana mnooo.
 
Kwenye ubishi niombee 🤦🏻‍♀️😂
Nafunga tatu kavu kwa ajili yangu na wewe maana wewe ni twin wangu kwa tabia hiyo🤣

Japo ubishi wetu naamini si wa kiburi ila wa kujenga hoja zenye mantiki
Lakini nadhani ubishi ni my love language, mimi kama sikujali, hata ukosee sitakurekebisha, kimya kama sipo. I have 0 business telling someone i don’t care about what to do…

Ila kama nakujali, nikikuona kuna kitu unakosea tutaparangana mnooo.
Na imagine unavyokua mbishi kwa fact 🤣🤣🤣
 
Upo sahihi si katai kumfanyia utafiti mtu tena ule wa kina kama unavyosema ni kweli ndio utaweza kumfahamu zaidi

Japo pia ni ngumu kumjua in deep
Ila mazingira yanaweza kumfanye uhalisia wake wa ndani anaouficha au oneshe njee

Hat

Pia usisahu kila mtu ana tabia yake kuu inayomtambulisha
Ukiingia (kama utaweza)kwa undani zaidi (4th Window) usishangae kugundua kwamba kuna characters mtu fulani anazo lakini hata yy mwenyewe hajijui kwamba anazo. e.g. mtu mbeya, ni mpaka pale inapotokea anaambiwa na wenzake kwamba unayo tabia ya kutoa maneno huku na kupeleka kule jambo ambalo linafitinisha watu. Ila yy atakataa katakata kwa sababu yy anaona huwa ni mazungumzo/story za kawaida za kijiweni.
 
Ukiingia (kama utaweza)kwa undani zaidi (4th Window) usishangae kugundua kwamba kuna characters mtu fulani anazo lakini hata yy mwenyewe hajijui kwamba anazo. e.g. mtu mbeya, ni mpaka pale inapotokea anaambiwa na wenzake kwamba unayo tabia ya kutoa maneno huku na kupeleka kule jambo ambalo linafitinisha watu. Ila yy atakataa katakata kwa sababu yy anaona huwa ni mazungumzo/story za kawaida za kijiweni.
Hiyo character ya umbeya mtu mwenye nayo hujijua kabisa tena vizuri

Kukubari kama anayo ndio kitu hawezi japo ukweli anao mwenyewe maana anajijua namna anavyosalanda kuokoteza maneno huku na huku
 
Katika dunia ya sasa kila kitu kinaweza kuigwa vyema tu ila kabla ya kuchunguza unatakiwa kuwaelewa watu hawa;

Introvet; huyu unaweza kaa nae muda mrefu na bado ukaamini ana roho mbaya kisa tu huelewi yeye ni mtu wa aina gani.

Extrovet; anaweza kua anakufanyia wema kwa lengo la wengine waone ila katika nafsi yake sio kusudio lake anaweza kufurahia anguko lako lakini si kwasababu ya ukaribu laah hapana ni kwasababu aliona ulichokua nacho wewe hukustahili.

Ni vyema kuelewa saikolojia ya mtu kwanza sio kupima wema wa mtu kwa matatizo yako hapana wengine wanaogopa kujitoa sana kwa watu kwasababu ya husda na hulka ya mwanadamu ilivyo ndomaana leo hii mtu akiwa na misimamo yake binafsi katika kuendesha maisha yake huonekana kua na roho mbaya hapana ni dunia kwasasa inataka tuishi ivyo.
ShesRise_1
 
Katika dunia ya sasa kila kitu kinaweza kuigwa vyema tu ila kabla ya kuchunguza unatakiwa kuwaelewa watu hawa;

Introvet; huyu unaweza kaa nae muda mrefu na bado ukaamini ana roho mbaya kisa tu huelewi yeye ni mtu wa aina gani.

Extrovet; anaweza kua anakufanyia wema kwa lengo la wengine waone ila katika nafsi yake sio kusudio lake anaweza kufurahia anguko lako lakini si kwasababu ya ukaribu laah hapana ni kwasababu aliona ulichokua nacho wewe hukustahili.

Ni vyema kuelewa saikolojia ya mtu kwanza sio kupima wema wa mtu kwa matatizo yako hapana wengine wanaogopa kujitoa sana kwa watu kwasababu ya husda na hulka ya mwanadamu ilivyo ndomaana leo hii mtu akiwa na misimamo yake binafsi katika kuendesha maisha yake huonekana kua na roho mbaya hapana ni dunia kwasasa inataka tuishi ivyo.
ShesRise_1
Upo njee ya mada aisee uwiiiiiiii

Issue ya tabia mbaya au nzuri
Anaweza kua nayo Introvert / extrovert
Uchambuzi wako sijui ulilenga nini labda uje unieleweshe
Palac
 
Watu wengi Sana unaweza kuwaangalia jinsi walivyo nje na kuweza kufahamu Kwa asilimia kadhaa clues za Tabia zao generally, ni watu wachache Sana duniani wanaoingia kwenye kundi la "Don't judge a book by it's cover" na hii ni exception ambayo ipo Kila mahali duniani...Kumtambua mtu mwema au mbaya inahitaji trainings, experience na instincts, mbali na hapo labda uwe na kipawa hicho.
 
Watu wengi Sana unaweza kuwaangalia jinsi walivyo nje na kuweza kufahamu Kwa asilimia kadhaa clues za Tabia zao generally, ni watu wachache Sana duniani wanaoingia kwenye kundi la "Don't judge a book by it's cover" na hii ni exception ambayo ipo Kila mahali duniani...Kumtambua mtu mwema au mbaya inahitaji trainings, experience na instincts, mbali na hapo labda uwe na kipawa hicho.
Ooh okay karibu tena mkuu
 
Back
Top Bottom