Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Mimi nitakua auntie mwenye gubu😎
Bad side ovu yu.

Your good side unaonekana unapenda sana mastory angalau kwenye maandishi. Hope kipindi cha ku date ulikuwa unachangamsha sana simu ya uncle with your endless sms notifications.
 
Bad side ovu yu.

Your good side unaonekana unapenda sana mastory angalau kwenye maandishi. Hope kipindi cha ku date ulikuwa unachangamsha sana simu ya uncle with your endless sms notifications.
Umewaza mbali sana ☺️☺️🤗🤣🤣
 
Bad side ovu yu.

Your good side unaonekana unapenda sana mastory angalau kwenye maandishi. Hope kipindi cha ku date ulikuwa unachangamsha sana simu ya uncle with your endless sms notifications.
Hivi naonekana je
Mpaka umewaza hivyo we kijana 😎
 
"Yesu akamwambia kwanini waniita mwema hakuna aliyemwema nae ni Mungu" Marko 10:18
Binadamu wanabadilika kutokana na mazingira hivyo hawezi kuwa na tabia moja atachanganya
 
Kuna msaidizi wetu kazini ana hzo pigo tukiwa tumetoka out.

Hiyo attitude huwa inanipa maswali sana kuhusu tabia nzima ya mtendaji.
Wengine ni alivyo au malezi aliyokulia. Ila sometimes mtu akiwa performer na sna attitude hizo, office inachangamka maana wabongo pia kusipokuwa na hizo figures. Mambo yanaenda tu tunavyotaka
 
Human Nature:-

1.Jinsi wewe ulivyo - Hii haibadiliki
2.Jinsi watu wanavyokuona - Hapa kuna 1 2 3 Action ,Cut ,One Take
3.Jinsi wewe unavyojiona - Mwamba ngoma huvutia kwake

Kuwa Mbaya au Wema inategemea huyo mtu na watu wengine wanavyomchukulia ,kuna watu wanasema jamaa ana roho nzuri sana lakini ukakutana na mtu mwingine akasema jamaa ni noma rohombaya sana ,sas kwa mtu kama huyo utamuweka kwenye kundi gani?

Kuna mwingine anakuactia ubaya kwasababu ulimfanyia uhuni ingawa yeye kama yeye ana roho safi tu.
 
Hakuna wema bila ubaya ,na hakuna ubaya bila wema, binafsi mimi ni mtu mbaya kwa wabaya na mwema kwa watu wema.
Hii inaitwa: "Newton's Third law of motion".



Newton's Third Law of Motion states that for every action, there is an equal and opposite reaction. This means that forces always occur in matched pairs; if Object A exerts a force on Object B, Object B simultaneously exerts a force of equal magnitude and opposite direction back on Object A.
 
Human Nature:-

1.Jinsi wewe ulivyo - Hii haibadiliki
2.Jinsi watu wanavyokuona - Hapa kuna 1 2 3 Action ,Cut ,One Take
3.Jinsi wewe unavyojiona - Mwamba ngoma huvutia kwake

Kuwa Mbaya au Wema inategemea huyo mtu na watu wengine wanavyomchukulia ,kuna watu wanasema jamaa ana roho nzuri sana lakini ukakutana na mtu mwingine akasema jamaa ni noma rohombaya sana ,sas kwa mtu kama huyo utamuweka kwenye kundi gani?

Kuna mwingine anakuactia ubaya kwasababu ulimfanyia uhuni ingawa yeye kama yeye ana roho safi tu.
Sahihi kaka asante karibu tena😊
 
Kwenye ubishi niombee 🤦🏻‍♀️😂

Lakini nadhani ubishi ni my love language, mimi kama sikujali, hata ukosee sitakurekebisha, kimya kama sipo. I have 0 business telling someone i don’t care about what to do…

Ila kama nakujali, nikikuona kuna kitu unakosea tutaparangana mnooo.
Ila unakuwaga na point za maana, very bright ndio maana nakupenda
 
Back
Top Bottom