Ahahahah ile ya kusukuma kisha una ipasua pembe?Tumia prestage siag kupikia utapata rangi nzur sana au samli na pia kwenye kukunja Ili upate layer nzur Kuna namna ya kukunja hiyo tumeachana nayo tupo enz za Sasa☺️
Hupasui ila wakat wa kukunja unapeleka mbele halafu unarudisha nyumaAhahahah ile ya kusukuma kisha una ipasua pembe?
Hii sijawai ona hiHupasui ila wakat wa kukunja unapeleka mbele halafu unarudisha nyuma
Hiyo imepikiwa na siag na unaona Kuna layersAhahahah ile ya kusukuma kisha una ipasua pembe?
Mzuri sanaHiyo imepikiwa na siag na unaona Kuna layers
Naaaam bruh 😂 mshahara ukitoka ili u enjoy kimbia choma point kwanza na counter, Ila ukianza majukumu aaaaah utaishia kuona tuu!!!!Kaka 😁😁😁😊
wa nyumbani kabisa 😂Ahahaha...mkuu mi Tukuyu Makandana hapo opposite na hospitali 😂
Umemaliza kabisa boss wanguOrderly Cpl tuongezee material .haya hayatoshi, Halafu choma na Presitage na halafu ukunjaji wako uwe wa nje ndani, mostly important Usisahau kuweka na makange ya Swala 😋😋
Maelekezo yamekuwa kwa speed sana. Mie kilaza sijaelewa
Oya watu tunajitaidi kuacha hayo mambo we unatutia hamu, haya furahi sasa ngoja nikazigonge hizo nne chap nikalaleUpate na supu na safari nne za barrriidi na shoti moja ya konyagi full wikiend murua
Nimefurahi kukuona unarud chamani cheers 🍻🍻Oya watu tunajitaidi kuacha hayo mambo we unatutia hamu, haya furahi sasa ngoja nikazigonge hizo nne chap nikalale
Kilaza mpaka apewe masomo ya ziada yaan TUTION 😃😄Maelekezo yamekuwa kwa speed sana. Mie kilaza sijaelewa
Tafadhali naomba usinirudishe huko Kanaan, nimeshatokaUpate na supu na safari nne za barrriidi na shoti moja ya konyagi full wikiend murua
Naomba urudi kwa bill yangu,, 😂 cc Dr am 4 real PhDTafadhali naomba usinirudishe huko Kanaan, nimeshatoka
Unasahau shida zoteHapo upate na supu ya kokoriko🤗🤗🤗🤗
Acha kabisa Halafu Hali ya hewa iwe ya kiubaridi flani hivi🤗🤗🤗🤗🤗Unasahau shida zote