Chapati ya kuchambuka inavyo pikwa

Chapati ya kuchambuka inavyo pikwa

Andaa ngano mafuta na chumvi changanya kisha kanda kwa mda mrefu kiasi kwamba ngano ina legea yenyewe kisha tengeneza madonge yako kulingana na idadi yako unayo taka kisha anza kusukuma then ikunje kama unavyo kunja mkeka itokee umbo hili
View attachment 3427847
Baaada ya hapo utaisukuma tena itokee duara linalo eleweka kisha utaanza kuikaanga View attachment 3427855baada una kuwa una weka mafuta pole pole na uhakikishe chapati yako inakunjika hivi baada ya kuiva vizuri
View attachment 3427860
Hivyo tu ina pendeza jumamos kama hii una amka mapema una andalia familia yako kama wewe ni mwanamke mwaandalie mumeo ili awe ata ana kukumbuka siku za kazi ila sio mwanaume ana sema bora chapati za kazini mzuri no pika vizuri kama hivi
Hicho kibao dah.
 
Mda uho nilikuwa kipapa 😂 af nilikuwa sijahamia magomen nilikuwa nakaa kota za jeshi kule
Hahaha, 2010/11 tulikuwa pale Aquinas, ile njia ya Magomeni/ Mkanared tulikuwa tunaitumia sana kipindi mvua ikinyesha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom