Chapati ya kuchambuka inavyo pikwa

Chapati ya kuchambuka inavyo pikwa

Chapati ni chakula cha kukunenepesha fasta usipokuwa na tahadhari. Mimi nilishafunga ndoa na chapati ambapo ni kifo tu kitatunganisha. Ni chakula ninachokipenda kuliko vyote hapa duniani.
 
Umenikumbusha Mwanza aisee kule sio chapati za kuchambuka ni chapati za kitabu kabisa.Msosi wangu pendwa kabisaa.
 
Chapati ni chakula cha kukunenepesha fasta usipokuwa na tahadhari. Mimi nilishafunga ndoa na chapati ambapo ni kifo tu kitatunganisha. Ni chakula ninachokipenda kuliko vyote hapa duniani.
Ahahah kwahy una kitambi mzee
 
Umenikumbusha Mwanza aisee kule sio chapati za kuchambuka ni chapati za kitabu kabisa.Msosi wangu pendwa kabisaa.
Ahahah kitabu kigumuuu 😂😂
 
Ahahah kwahy una kitambi mzee
Nilikuwa nacho hadi 2023 ikabidi nianze mazoezi makali ya kukimbia ili kukiondoa. Sasa hivi sina. Ila chapati sintoacha... nilikuwa nakula 5 kwa mara moja pale Golden Fork Sinza ila kwa sasa nakula 2 hadi 3 tu.
 
Nilikuwa nacho hadi 2023 ikabidi nianze mazoezi makali ya kukimbia ili kukiondoa. Sasa hivi sina. Ila chapati sintoacha... nilikuwa nakula 5 kwa mara moja pale Golden Fork Sinza ila kwa sasa nakula 2 hadi 3 tu.
Kupunguza mwili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom