Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,280
- Thread starter
- #121
UjakoseaHawakosagi wahivyo maishan
UjakoseaHawakosagi wahivyo maishan
Wewe ni Mtanzania?Mimi napenda sana kypika na chapati ni moja ya vyakuka navyopenda kupika lakini mambo 2 yananipa shida sana kusuka iwe ya roundi na kuifanya iwe laini
Ndio ila ni suriyamaWewe ni Mtanzania?
mie na zipo za aina nyingiI like chapati, chapati nzuri kitu ninachoinjoi kula
Nimejaribu sana,na nimekanda kwa staili nyingi sana,mfano kwa majinya baridi,maji ya uvuguvugi,nimekanda kwa siagi na kwa mafuta lakini sijaweza kufanikiwakufanya ziwe laini kama nazoziona kwenye mitandaoUna kanda haraka
Umenichekesha sna hapa upo wapi?Nimejaribu sana,na nimekanda kwa staili nyingi sana,mfano kwa majinya baridi,maji ya uvuguvugi,nimekanda kwa siagi na kwa mafuta lakini sijaweza kufanikiwakufanya ziwe laini kama nazoziona kwenye mitandao
Mimi nipo mwanza,mimi napenda kupika na kwangu nimenunua vifaa kika aina vya kupikia,majiko ya kila aina na najua kupika kwa kiasi changuUmenichekesha sna hapa upo wapi?
Ungekuwa dar ningetenga siku kwaajili yako tuMimi nipo mwanza,mimi napenda kupika na kwangu nimenunua vifaa kika aina vya kupikia,majiko ya kila aina na najua kupika kwa kiasi changu
Uje nikufundisheKila nikijaribu kupika chapati zinakuwa kama mkate wa Yesu!
nipe locationUje nikufundishe
We upo wapinipe location
mimi najua we ni ME, nimeshangaa jamaa hajui hapo, nikawa nasubiri nijihakikishie namimAu sio
niko huku PMWe upo wapi
Karibuniko huku PM