John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Hayo yote aliyoyaongea yanaeleweka na wakristo wanajua, tatizo hawa waislamu wamekosa heshima
Jana nimefuatilia kipindi chake mwanzo hadi mwisho, kanifurahisha sana sana kwa namna alivotoa hoja za msingi juu ya kuchinja, huku akinukuu vipengele vya bible (warum 14;31) nk, na pia akanukuu moja ya hadith ktk uislamu, aliwananga bila hata kificho wale wote wanaotafuta namna ya kutofautisha watu kwa imani zao huku akitoa mfano wa somalia nk..
hii sio mara ya kwanza lusekelo kukemea wale wanao endekeza kuharibu amani tuliyo nayo,nakumbuka siku moja alialikwa kama sio ITV ilikuwa TBC, very good brother.....
kasoro moja tu aliyonayo ni kujisifu kuliko pitiliza, by the way viongozi wa dini zote wanapaswa kupima maneno yao kabla hawajawaletea waumini wao, kwa mfano kuna jamaa anajita shehe Ilunga, huyu anapaswa akaungane na sheh ponda kulupango,
wabillah taufiq
Hiyo red inazungumzia sanamu, sasa ni nani anaye endesha ibada ya sanamu kati ya Ukiristo na Uislaam ?
unapenda viongozi wanaoegemea upande mmoja?, ngoja nikwambie, zamani wakristo walikuwa hawana ufahamu kuwa kwa waislam, kuchinja ni sehemu ya ibada....sasa baada ya kufahamu hilo, inakuwa ngumu mkristo kula kitu ambacho kimechinjwa kwa ibada ya kiislam, yani ni sawa na kumshirikisha katika ibada yenu, na sote tunajua kuwa ibada za kiislam ni za kishetani, na wakristo na mashetani na majini hawaelewani, asa kwa nini mtushirikishe?? umeelewa ndugu??
Tatizo hakuruhusu maswali. ningekutuma umwulize hili:
1kor 10:27 Kama ukikaribishwa chakula na mtu asiyeamini nawe ukikubali kwenda, kula kila kitu kitakachowekwa mbele yako bila kuuliza maswali kwa ajili ya dhamiri. 28 Lakini kama mtu ye yote akikuambia, âHiki kimetolewa kafara kwa sanamu,â basi usikile kwa ajili ya huyo aliyekuambia na kwa ajili ya dhamiri.
ndugu Mohamedi Mtoi shida ipo hapo kwenye red, na tatizo limekuwa kubwa baada ya waislam kutangaza wazi kuwa kuchinja ni ibada. Ibada ya namna hiyo kwa mkristo ilisha komeshwa na ujio wa YESU KRISTO. Thus kula nyama iliyochinjwa kwa minajili ya Ibada, ni sawa na wewe umeshiriki ibada ile. Hii hairuhusiwi pamoja na kwamba tumeagizwa upendo.
Onyo, Mohamedi Mtoi, wewe ni kati ya watu wanaoheshimika sana hapa JF. Angalia uzi huu ulioanzishwa usije kukushua heshima.
MZIMU jina lako linatosha kuamini kabisa alichozungumza Lusekelo. Unapata uhai kwa tukio hilo. bila kupata damu ya mnyama, hakuna uhai wako. Lusekelo hafundishi iman sahihi ya KRISTO, ana imani yake mwenyewe anajua anaowatumikia.
Huna jipya pumba tuu ww na yeye.Kama waislamu hawakubali kula vilivyo andaliwa na wakristo kwanini kujipendekekwao? Kila mmoja achinje na ale kivyake , kama mnataka hivyo tusiishie katika swala la kuchinja tuu hata katika mengine tuwekeane mipaka.
Haina noma, je nyinyi kuchinja ni sehemu ya ibada. Najua nyie ndio zao la pandikizi la chuki dhidi ya Uislamu. Tatizo la kuhudhuria ibada katika Makanisa Vitega Uchumi.
Elewa ndugu yangu, Ujinga wenu na chuki zenu nyinyi wakristo wachache italifikisha nchi pabaya. Tunaenda ni huku. Mabucha ya Halal Meat na Mabucha ya Nguruwe.Halal Hotel na Nguruwe Hotel. Halal Mama ntilie na Kitimoto Mama ntilie. Hiyo just to begin with.
Ndugu yangu, hata kama mimi ningekua Mkristo, ningekua nafanya Maamuzi kwa kuzingatia COST BENEFIT ANALYSIS.
MZEE WA UPAKO, MZEE PINDA NA MZEE STEVEN WASIRA MTAKUJA KUWAKUMBUKA NA KUSAGA MENO.
Mkuu hilo ni jambo dogo sana, tatizo kubwa ni kuwa kuna upande unalalamika kuonewa kwenye kila anga muhimu kama ajira, elimu, MOu, na mfumo pia upande mwingine ukilalamika kuchafuliwa,kukashifiwa na baadhi ya watu na haya ndio yanazaaa mambo kama hayo ya kuchinja hayo tukiweza kuyatatua ndio tutasema amani haiwezi ingia dosari
Jamaa mjanja sana, anasema hivyo kwa kuwa kuna waisilamu wengi sana wanaohudhuria kanisani kwake kupewa upako, hasa wakina mama, so ni aina fulani ya kuvutia wateja!
Amerefer kitabu kipi? Anaongelea desturi na mazoea kwani mkuu hujui desturi yetu ni kuvaa vibwaya na magome? Kwani nani alitustua tukaacha nasasa tunajiona tulikuwa tuko nyuma ndio maana tukafanya tuliyofanya
nini maana ya kuokoka wacha ubabaishaji hubiri injili inayotakiwa kwasababu utatoa hesabu siku ya mwisho kwa roho ulizokabidhiwa na si kuhubiri watu wakupende kwa sababu unawaambia maneno yanayowafurahisha uwe kama kama mikaya ambaye alihubiri kweli kweli mbele mfalme bila kujali manabii wengine wa uongo wetabiri uongo ole wenu watu wote watakapowasifu
hivi wewe una imani kuwepo YESU tuu au uwepo wa MUNGU na YESU?maana ALLAH ndiye MUNGUhuyu si mfuasi wa Yesu ni mfanyabiashara wa injili, mkristo wa kweli hawezi kula nyama iliyotolewa sadaka kwa shetani, shwari la kujiuliza ni nani shetani kati ya Yesu na allah ?
Unasema wewe sio Mkristo alafu unadai anawakilisha imani sahihi ya ukristo, ni kwa sababu anapinga swala la nani achinje au vipi?