MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
- Thread starter
- #41
Kwani LUSEKELO ni nani, na ana title gani kwenye ukristo mpaka awasemee wakristo. Nafikiri ni maoni yake na kanisa lake.
Mzee wa upako ni kiongozi wa kanisa. Anawafuasi ambao wanamuamini na kumkubali. Sio lazima awe amewasemea wakristo wote. Inawezekana Amewesemea wafuasi wake tu. Lakini wote tumepata faida.