Changudoa alinidhulumu!!!

Changudoa alinidhulumu!!!

Kuna siku mi nilinunua wale wa kona bar, kwenda gest ile navaa kondom kitu ikasinyaa kabisa na demu nilishamlipa 15000. Ukichukulia na nilivyokuwa soft yule changu akajua mi mgeni tu. Akanipa pole na akasepa!
 
Kuna siku mi nilinunua wale wa kona bar, kwenda gest ile navaa kondom kitu ikasinyaa kabisa na demu nilishamlipa 15000. Ukichukulia na nilivyokuwa soft yule changu akajua mi mgeni tu. Akanipa pole na akasepa!

mkuu,mi nashukuru Mungu kwa kutokufanikiwa kuduu,hiyo shughuli kwa wale watu yataka moyo mkuu
 
LoL!!! Mgegedo kakosa halafu Buku 3 zake kadhulumiwa!!! Jamaa alikuwa mnyonge sana alipotoka pale. Pole sana Mkuu.

mkuu bak,nakubali unyonge kabisa,coz c unajua aliongea kiluga,mi sikumuelewa,yaani wakati natoka wakawa kama kumi na tano hivi wako mlangoni,walikuwa kishari kweli kweli,nadhani ningejitia kudinda kudai changu shigongo angeuza gazeti.cjui ningemwambia nini mama yeyoo,ningeificha wapi aibu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tena nifanyaje? Lazima nikucheke maana kilichokufanya uende kwa dada poa ni nini usotulia na roho yako...

we c unajua tena sometymz mnakuwaga na kero za ujinga ujinga,ndo maana nikajitoa ufahamu emberu emberu
 
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...


hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!

nimeconfess ila waifu hatajua!!!

Pole kaka Hukuzulumiwa ila wewe ndo uliye mzulumu kwani pamoja na biashara anayofanya hua anafaidi na uroda wewe ukampa hela ukamnyima uroda
 
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...


hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!

nimeconfess ila waifu hatajua!!!

DontGetItTwisted..AIDSKills.jpg
 
Believe me. All men have extra marital sex or even relationships regardless of their ages. tribes. incomes and races. the few who dont are the ones suffering from diabetes those who have suffered strokes etc. or those above sixty five years. mwanamme wa kweli akikuambia hatoki nje ni mwongo mzandiki na mbakaji. muogope sana

Mmmh!!! Source please...?

Sent from my BlackBerry 9900 using Jamii Forums.
 
Hawa dada poa wanamsaada mkubwa sana manake bila wao ubakaji ungeongezeka mara dufu wake zetu sometimes ni kama hawajtambui kabisa kuhusu mapenzi.
 
watu kwa kuponda bwanah,mkuu hyo hali ya kawaida kwa wanaume sisi,mbna ndo zetu sana ila sasa na ww una matatizo yaani husimamishi maka leo au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom