Changudoa alinidhulumu!!!

Changudoa alinidhulumu!!!

Nyie inaelekea hata hao mnaowamiliki ,mnawanyuka kimashakamashaka,we khadija ikae wazi pale ikushinde?mi hata ya nzi nikiiona inashughulisha ndo itakuwa ya binadamu mwenzangu!
asee cjui nkuweke kwny kund gan. Nimeshndwa kuku define
 
miaka sita aisee umetudanganya hiyo bei ni ya sasa.ilianza sh.500,1000,1500,mwaka jana sh 2000

Duh! kuna watu wana experience, I guess ukimpa details vizuri atakueleza aliyekuingiza mjini yuko wapi sasa hivi!
 
Machangudoa noma, hapa manzese kwa fisi, wamejaa tele kama awafanyabiashara wa nguo za mitumba, ukitaka wahaya huduma ni buku mbili kwa penati moja ya lionel mess, na kuna ambao wanasimama kwenye vichochoro ambao wengiwao ni mateja huwa wanatangaza kuwa tunatoa 0713 kwa elfu mbili then ukiingia katika gheto lake kunakuja vijana (wahuni) wanakuchenchia wanakunyanganya fedha na simu na kipigo juu, juzi kati yalimkuta mshikaji wangu, alipata majanga baada ya kushuka pale uwanja wa fisi manzese ,ndipo alipokutana na changudoa mmoja, walipokubaliana wakazama gheto baada ya muda mfupi kuanza match, ghafula wahuni wakavamia gheto na kumuibia mshikaji kila kitu, onyo kwa member wa MMU, jamani kama unaenda manzese kwa fisi ,kuwa makini sana, mimi napita, nawapa nafasi wachangia mada wengine
 
Kakudhulumu nini sasa? Kazi si umeshindwa mwenyewe, au? Kwa hiyo muda uliopotea 'bure' unalipiwaje?
 
Nadhani angekunyang'anya na viatu ili urudi nyumbani peku ili upate akili!

Kutodindisha kwako iwe tabu kwake? We ulitaka atumie JEKI kusimamisha dushe yako ama?!

Halafu naomba na mkeo nae akijua, ACHUKUE HATUA KABISAAA ZA KIMATENDO! TUONE SASA KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE NANI HUUMIA ZAIDI ENDAPO ATASALITIWA!
 
Nadhani angekunyang'anya na viatu ili urudi nyumbani peku ili upate akili!

Kutodindisha kwako iwe tabu kwake? We ulitaka atumie JEKI kusimamisha dushe yako ama?!

Halafu naomba na mkeo nae akijua, ACHUKUE HATUA KABISAAA ZA KIMATENDO! TUONE SASA KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE NANI HUUMIA ZAIDI ENDAPO ATASALITIWA!


hahaha nimechekaje,nini jeki?ila alipaswa kunirudishia chenji walau
 
Duh! kuna watu wana experience, I guess ukimpa details vizuri atakueleza aliyekuingiza mjini yuko wapi sasa hivi!

mkuu hii ni forum ya kila kitu.tafuta unachokitaka humu utakipata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom