Changia wahanga wa maafa ya arusha

Changia wahanga wa maafa ya arusha

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Changia wahanga wa maafa katika maandamano ya amani arusha. Tuma mchango wako kwa m-pesa 0753 444 443, zap 0688 111 161 na tigo pesa 0659 173 663 au fika ofisi ya mbunge.
Changia kiasi chochote kitasaidia.
Godbless lema(mp).
 
wasiwasi wako tu mkuu, mchango wako utafika kwa wahanga.....

sawa mkuu, lakini kwanini kuchangishana kwani wanadai fidia? kutakuwa na mekanizim ya kuoditi haya mapato?
 
hapo ndipo kwenye utata..mangi na pesa.
Mwenyewe bado hajamaliza kuclear madeni ya uchaguzi , michango iende moja kwa moja kwenye family kwanza walipata za kuwatosha uu umatonya ni kwa maslahi ya nani?
 
Serikali ifidie kwani si kuna tume ya maafa chini ya waziri mkuu?
 
sawa mkuu, lakini kwanini kuchangishana kwani wanadai fidia? kutakuwa na mekanizim ya kuoditi haya mapato?
lengo ni kuwasaidi majeruhi pamoja na yatima...kama wasiwasi wako pesa utakayo toa unaweza kufika Mount meru/ukaenda kwenye familia husika ukatoa msaada wako....
 
Mwenyewe bado hajamaliza kuclear madeni ya uchaguzi , michango iende moja kwa moja kwenye family kwanza walipata za kuwatosha uu umatonya ni kwa maslahi ya nani?
Anadaiwa bei gani?, na kosa mtu kudaiwa bona Tanzania inadaiwa na Rostam Aziz zadi ya bil 94, itakuwa ajabu Lema kuwa na madeni!?.... unaruhusiwa kupeleka mchango wako moja kwa moja
 
Serikali itatuzoea, jambo la msingi ni kujenga hoja za kuibana serikali iwahudumie watu hawa mambo ya kuchangishana kila cku wataona ndo mpango mzima kuwapiga piga raia wasio na hatia then hao hao raia wanyonge tuchangishane kutibu majeraha. Ni upuuzi na inauma sana.
 
Back
Top Bottom