HOPE man
Member
- May 23, 2019
- 62
- 33
Ase mkuu nisaidie hap kidogo..hivi ukijaza hivyo ukaacha then baadae ukija kuingia kweny account yako ili uendelee..mbona hairespond kukupa mwendelezo ili uendelee kuingiza taarifa zako! Mm natumia cm lakn, au wenda ndio tatizo. Nisaidie plzKila kipengele ukijaza kikikamilika inasoma asilimia 100% ..kipengele cha viambatanisho vingine ndo sijaweka barua inasoma 50%