basi IT watakuwa wanaboresha mfumoBinafsi pia toka asbh nahaingaika nao, sijafanikiwa kulog in, japo account nilishafungua
Hata mimi toka sa 12 asubui kila nikilogin haitaki japo nilifikia hatua flani kama vile birth certificateBinafsi pia toka asbh nahaingaika nao, sijafanikiwa kulog in, japo account nilishafungua
Asee kweli jamaa hajui loloteunaongea kitu usichokijua halaf unaongea kwa kujiamin yan tangu lini elimu ngazi ya cheti na diploma wakatoa NACTE
Vipi ndugu yangu wewe uchumi umeuona mule ndaniwe jamaa itakuwa tulisoma pamoja
Mfumo leo haufunguki toka asubuh mimi nina account toka juzi lakin leo ku-log in imekuwa tatizoKuna mtu amefanikiwa kuingia kwenye mfumo tangia asubuhi hadi sasa?
Kabisa leo ngoma haifunguki kabisaMfumo leo haufunguki toka asubuh mimi nina account toka juzi lakin leo ku-log in imekuwa tatizo
kijana vyuo vyote vya ualimu cheti na diploma wako chini ya NECTA, sio NACTE vyuo vingine ndio NACTEMkuu
Veta wanasimamia NTA Level 1-3
Nacte 4-6
Tcu 7-..
Certificate na diploma inasimamiwa na Nacte "baraza la mafunzo ya ufundi"
Na sio Necta "baraza la mitihani".
skiliza dogo, vyuo vya elimu kati na cheti viko chini ya NECTA, Vyuo vingine vya kati wako chini ya NACTE, , Unachokataa n kipi sasaAsee kweli jamaa hajui lolote
Mbona somo la economic lipo nanimeliweka. Tatizo mna papala kama mnakimbizwa yani, uvumilivu kwenu nichangamoto ndomana ngozi nyeusi tumelaniwa.Vipi ndugu yangu wewe uchumi umeuona mule ndani
Yess ndivyo nnavyomanisha kaka nazan tumepishana kidogo nlikuwa namjibu huyo jamaa alekataa kwamba hivyo vyuo haviko nacteskiliza dogo, vyuo vya elimu kati na cheti viko chini ya NECTA, Vyuo vingine vya kati wako chini ya NACTE, , Unachokataa n kipi sasa
Mjibu vizuri mwenzako, somo la Economics wengine halionekani. Mfano mtu mwenye Somo la Mathematics na Economics anaona Mathematics peke yake hata mwenye History na Uchumi anaona History peke yake. Inategemea amechagua Biashara,Sayansi au Sanaa. Watakuwa wanarekisha mfumo ili kuwezesha wenye masomo tofauti Kama hayo hapo juu.Mbona somo la economic lipo nanimeliweka. Tatizo mna papala kama mnakimbizwa yani, uvumilivu kwenu nichangamoto ndomana ngozi nyeusi tumelaniwa.
Mapumziko Leo jumapiliKwahiyo leo wametugomea kabisa tusitumie mfumo wao
Leo haifunguki kabisa labda kwa sababu ni Jumapili 😆😆😆Kuna mtu amefanikiwa kuingia kwenye mfumo tangia asubuhi hadi sasa?
ASilimia inakujaje mkuu wakati barua bado haujapandisha....!!!!!Yani bora kuomba mapema ukisema utaomba tarehe 3 au 4 unaweza kulia machozi ya damu kama mambo ndo aya mfumo haufunguki kabisa leo na mimi nilishajaza taarifa zote 100% toka juzi ilibaki ku attach tu barua
ASilimia inakujaje mkuu wakati barua bado haujapandisha....!!!!!