Tumia mkono mkuu hii ni barua officialKumbe hatuwezi kuweka mikoa bila barua, haya wanangu ety barua tunaandika kwa mkono au ku-typing.? Nimejaribu kuwapigia tamisemi ili niulize ila simu haitoki inakata yenyewe.
Vipi kuhusu barua ya kujitolea au CV kuna sehemu ya ku-attach?
Kumbe hatuwezi kuweka mikoa bila barua, haya wanangu ety barua tunaandika kwa mkono au ku-typing.? Nimejaribu kuwapigia tamisemi ili niulize ila simu haitoki inakata yenyewe.
Hizo huandiki weweNamba za shule umeendikaje mana kwangu inagoma
Sababu nyingine ni jinsi mfumo ulivyotengenezwaUzi huu unaonesha tuna wasomi wengi vilaza mno, wanateseka na vitu vidogo vidogo sana.
Ukweli mchungu huu...Uzi huu unaonesha tuna wasomi wengi vilaza mno, wanateseka na vitu vidogo vidogo sana.
kaka mimi mwenyewe mtahaniwa kaka wewe bet...tu mwenyezi Mungu atakusaidia... maana hali unatisha sanaPrince Mhando nizingatie kipi wakati wa kuweka machaguo ya mikoa ya kufundisha
mihuri ya nini ukiingiza kwenye system kama feki inakataaJe vyeti inabidi vigongwe muhuri???. Kwani wakili anautashi wakugundua cheti feki na original?.
Sehemu ya taarifa za chuo umefanyaje hadi ukafanikiwa kupajaza?Nimefanikiwa kutuma maombi muda huu teaching subjects zangu ni Geography na Economics , ila kilichoniuma ni baada ya kutoiona economics kule ndani , nimesikitika kuona hilo somo halina uhitaji. Maana nilitegemea lingenisaidia kwenye kupunguza ushindani .
Imeniuma sana hasa kila nikikaa vile nilivyokuwa nateseka nalo huku nikipigwa mikuki mikali ya Dr oswald mashindano , Dr osolo , madam mkenda , Dr joel bila kumsahau mdadila kumbe somo lenyewe hata siyo marketable kwenye uwanja wa ajiraaa .
Nakataa sababu zako.Sasa ndugu zangu walimu na manesi hapa kosa la mtu wa IT ni lipi jamani?
Mbona mnapenda kutoa lawama sana.Haya unataka mtu wa IT afanye nini cha ziada hapa?
Nakupa elimu ya bure ili siku nyingine kabla ya kuponda IT wa bongo ujue nini kiko nyuma ya pazia.
Ni kwamba unapoingia kwenye browser yako na kutype address yako kwa ajili ya page hiyo ya maombi.Browser yako ndio inakuwa mteja na mhudumu wake ni hizo servers ambazo zina hiyo page.Ombi lako linapochelewa kushughulikiwa ni kwamba unakuwa umewekwa foleni kwa sababu server inakuwa imepokea maombi mengi na kila ombi linalotumwa linakuwa na mda wake wa kusubiri kabla ya kujibiwa.Mda wa kusubiri unaokuwa umepewa ukiisha bila kuhudiwa wewe unakuwa umetolewa kwenye foleni.
Sasa kama kwa kifupi sana jambo liko hivi kosa la IT wa bongo ni lipi sasa hapa?
Unasemaa....!mihuri ya nini ukiingiza kwenye system kama feki inakataa
Unasemaa....!
Kwamba system inakataa nyaraka feki? ebu niweke wazi hapa
Pia system inaweza kuprove scanned doxc na kama zipo tofauti na taarifa ilizodisplay inaikataa? hili swali ndio msingi wa kuwa doxc zinakataliwa na systemUkiandika tu index namba na mwaka uliomaliza system inakuletea information zote mpaka jina la shule ulomaliza
System haiwezi ku prove scanned documentsPia system inaweza kuprove scanned doxc na kama zipo tofauti na taarifa ilizodisplay inaikataa? hili swali ndio msingi wa kuwa doxc zinakataliwa na system