Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Mtu amemaliza St. Augustine University lkn pale kwenye course hakuna bachelor kuna certification na diploma tuu
Msaada wenu tafadhali
 
Mtu amemaliza St. Augustine University lkn pale kwenye course hakuna bachelor kuna certification na diploma tuu
Msaada wenu tafadhali
kuwa mpole tu bro watarekebisha mfumo kadri siku zinavyoenda na bado naamini watasogeza muda mbele kwa hiyo kila kitu kitakaa sawa tu kwa sasa we jaza chochote ili maombi tgen kadri wanavyobadili mfumo na wewe unarekebisha simple tu. nimemjazia wife vitu vingi tofauti na iko 100 now
Screenshot_20220423-012549.jpg
 
kuwa mpole tu bro watarekebisha mfumo kadri siku zinavyoenda na bado naamini watasogeza muda mbele kwa hiyo kila kitu kitakaa sawa tu kwa sasa we jaza chochote ili maombi tgen kadri wanavyobadili mfumo na wewe unarekebisha simple tu. nimemjazia wife vitu vingi tofauti na iko 100 nowView attachment 2197077
Gud, hapo kwenye viambatanisho vingine tunaweka vitu gn, chet cha kuzaliwa tayari kipi kingine
 
Mkuu, hongera kwa kufika kote huku, mimi nimefika kwenye kujaza taarifa za chuo nimefanikiwa kujaza kote ila kwenye Year completed na ku- upload vyeti, College certificate na Transcrip imegoma kabisa.. Umefanyaje msaada tafadhali
Hii changamoto nami ndo napambana nayo hapa,naumiza kichwa cha kufanya niweze kuselect course mwaka wa kuhitimu na ku-upload vyeti bado ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kubadilisha attachment ya cheti Cha kuzaliwa kwenye taarifa binafsi, nafanyaje wakuu au ndo imekula kwangu mana nimekosea
Kwenye attachment ya cheti Cha kuzaliwa nimeweka cheti kingine
Ipo option ya kuondoa
 
kuwa mpole tu bro watarekebisha mfumo kadri siku zinavyoenda na bado naamini watasogeza muda mbele kwa hiyo kila kitu kitakaa sawa tu kwa sasa we jaza chochote ili maombi tgen kadri wanavyobadili mfumo na wewe unarekebisha simple tu. nimemjazia wife vitu vingi tofauti na iko 100 nowView attachment 2197077
Nmefanikiwa kujaza, sasa nimeacha hapa kwenye machaguo, nasubiri wataalamu mje mnipe mawazo yenu hapo kwenye machaguzi
 
Hapa kwenye kujaza mikoa ya kufundisha, vp kama itakuwa imebanwa kote wataweza kumpeleka mtu mkoa mwingine au ndo ukichagua ndo huko huko.?
 
Mimi nashindwa kwenye kujisajili baada ya kujaza Particulars app kwenye kubonyeza ili kuendelea hapabonyeki, Msaada wadau ninakosea wapi
Screenshot_20220423-033443.jpg
 
Habari zenu?Binafsi sijakamilisha Bado kwa sababu ya ile sehemu ya kuambatanisha nyaraka za chuo!Nauliza tu endapo pdf zangu hazijafika 2MB inaweza ikaniletea shida ya kukosa sifa ya kuchaguliwa?(Kwa kuwa mafaili yote niliyotuma mpaka Sasa Ni chini ya 2 MB)!Ni hayo tu wadau
Nakazia hapo kwenye mb. Mm vyote ni kb 200
 
Ndugu zangu naomba tutumie ukrasa huu kujadi tunazo kutananazo kwenye mfumo wa maombi mpaka hivi leo tarehe 21/4/2022 nimefanikiwa kufungua akaunti mbili tu kwa mbinde sana nilicho kigundua ni lazima ufungue akaunti mpya hivyo...utaingiza email yako kisha itafuata utambuzi wa namba ya UTAIFA. mida ya jioni ya leo 22/4/2022 saa 11:45 jioni nilifanikiwa kuona kipengele cha kuattach file kwenye eneo la shule kimefunguliwa ambapo kuanzia jana nilikuwa siwezi kuattach vyeti.
View attachment 2195644

tuendelee kupeana update hadi kieleweke hakuna kulalaView attachment 2195669
Je hata walioomba mwaka wa jana wanahitaji kujisajili upya ndio waombe au wanalogin tu?
 
Nimefanikiwa kutuma maombi muda huu teaching subjects zangu ni Geography na Economics , ila kilichoniuma ni baada ya kutoiona economics kule ndani , nimesikitika kuona hilo somo halina uhitaji. Maana nilitegemea lingenisaidia kwenye kupunguza ushindani .

Imeniuma sana hasa kila nikikaa vile nilivyokuwa nateseka nalo huku nikipigwa mikuki mikali ya Dr oswald mashindano , Dr osolo , madam mkenda , Dr joel bila kumsahau mdadila kumbe somo lenyewe hata siyo marketable kwenye uwanja wa ajiraaa .
 
Nimefanikiwa kutuma maombi muda huu teaching subjects zangu ni Geography na Economics , ila kilichoniuma ni baada ya kutoiona economics kule ndani , nimesikitika kuona hilo somo halina uhitaji. Maana nilitegemea lingenisaidia kwenye kupunguza ushindani .

Imeniuma sana hasa kila nikikaa vile nilivyokuwa nateseka nalo huku nikipigwa mikuki mikali ya Dr oswald mashindano , Dr osolo , madam mkenda , Dr joel bila kumsahau mdadila kumbe somo lenyewe hata siyo marketable kwenye uwanja wa ajiraaa .
Vumilia mtandao ukae Sawa tu
 
Back
Top Bottom