Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,841
Naweka barua pepe inakataaUsibonyeze hapo! Jaza vipengele hivyo, barua pepe, nywila NK, password iwe at least na special case mfano Kakayake2020!
Naweka barua pepe inakataaUsibonyeze hapo! Jaza vipengele hivyo, barua pepe, nywila NK, password iwe at least na special case mfano Kakayake2020!
Hizo space za chini sio za kutengeneza account. Ni mtu ambae tayari account anayoC umewekewa chini apo option za kutengeneza account walimu bwana kweli wanafunzi wataelewa hapo
Umeona hayo maneno hapo ...mwisho kabisa Kuna maneno 'Bofya hapa jisajili' ....unabofya tu afu unaendeleaBado neno "jisajili" halipo
Hapana bado neno jisajili haliji ila mwenye pc Hilo neno lipo Sasa sijui kwann tamisemi wanakua wahuni. Nimeweka mpaka mfumo wa desk top lakini Hola.Umeona hayo maneno hapo ...mwisho kabisa Kuna maneno 'Bofya hapa jisajili' ....unabofya tu afu unaendelea View attachment 2196966
Rudia kuchagua tena mfumo haukukaa Sawa
Acha uongo wewe. Hata uki tick kwenye mfumo wa desktop bado neno 'jisajili' halipo, period.Kama unatumia chrome, kuna vile vinukta vitatu ukibofya hapo nenda kaweke tick kwenye desktop site, chrome yako itafunguka na kuwa na muonekano wa computer.
Next time usiwe mbishi.... Wanaotumia simu baada ya kubadili kuwa kwenye desktop unapoona umelikosa neno jisajili... Tizama kwa pembeni upande wa chini... Bonyeza neno lililoandikwa Bonyeza hapaAcha uongo wewe. Hata uki tick kwenye mfumo wa desktop bado neno 'jisajili' halipo, period.
Bado neno "jisajili" halipo
Yah hata mm kwa simu sijaona hiyo sehemu, ila pale chini kwenye maelezo kuna sehemu pameandikwa boyfa kujisajili fanya hvyHapana bado neno jisajili haliji ila mwenye pc Hilo neno lipo Sasa sijui kwann tamisemi wanakua wahuni. Nimeweka mpaka mfumo wa desk top lakini Hola. View attachment 2196969View attachment 2196970
Namba za shule umeendikaje mana kwangu inagoma
S####-####Namba za shule umeendikaje mana kwangu inagoma
Bila mwakaS####-####
Ndio pia unaweza kuangalia jinsi ilivyoandikwa kwenye cheti husikaBila mwaka
Kaka Mkubwa Samahan...Hapo kwenye mwaka wa kumaliza chuo ulifanyaje maana kwangu hapa imetulia tu na siwezi hata kuandika huo mwaka?...Wakuu msikate tamaa. MUNGU amenisaidia kukamilisha application by saa 17:04 jioni ya Leo.,Naamini atawasaidia hata ninyi kwa kuwa ninyi ni watu WAKE kama tu mtamtegemea kuwasaidia katika application hizi. Mimi ninatumia simu kufanya application bcoz it is less expensive, i.e MB hazitumiki Sana, nikitumia pc GB moja inaisha faster sana.
Changamoto nimeziona zinazojitokeza kwenu(mlizopost) nami nimepitia changamoto kama hizo; cha msingi endelea ku-refresh (reload) page husika mara kwa mara ukiona imeload mda mrefu saaaana kupita kawaida au kama hairespondView attachment 2196900
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu pameandikwa ondoa, ondoa then weka upyaNataka kubadilisha attachment ya cheti Cha kuzaliwa kwenye taarifa binafsi, nafanyaje wakuu au ndo imekula kwangu mana nimekosea
Kwenye attachment ya cheti Cha kuzaliwa nimeweka cheti kingine