X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,680
- 12,255
- Thread starter
- #101
nahisi ni tatizo tu la mtandao hata kwangu dakika hizi hizi imeniletea ujumbe huo huo....tuwe wavumilivuMpya kabisaa leo
nahisi ni tatizo tu la mtandao hata kwangu dakika hizi hizi imeniletea ujumbe huo huo....tuwe wavumilivuMpya kabisaa leo
Poa ngoja tuendelee kusubirinahisi ni tatizo tu la mtandao hata kwangu dakika hizi hizi imeniletea ujumbe huo huo....tuwe wavumilivu
Mwenyewe hapa kuna dogo ameniomba nmsaidie kuomba ila bado hajanitumia documents zake hvy nikianza kupambana na nikapata shida itabidi nirudi huku kuomba msaada. Hvy n muhimu kusaidiana.huu ndio uhungwana tusaidiane hadi kieleweke
Angalia kwa chini pale kwenye maelezo, hayo maneno yapo..chanagamoto niliyoipata kutumia simu,kuna kile kisanduku cha juu kulia cha 'jisajili' hakionekani
Iv ambo wameshawah kuapply, wanatumia account za zamani au wanajisajiri upya mkuunakazia....nimeahangaika usiku kucha nimeambulia bila bila
Upyaaaa mzeeIv ambo wameshawah kuapply, wanatumia account za zamani au wanajisajiri upya mkuu
UNATAKIWA ujisajili upya namba yako ya nida itahitajika kipindi cha kujisajiliIv ambo wameshawah kuapply, wanatumia account za zamani au wanajisajiri upya mkuu
email umeikosea....au password passworf inatakiwa iwe mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo alama !@#$%^&*()_+ na namba 123456678....na hiyo pasword isiwe kubwa zaidi ya tarakimu 8Hapa tatizo ni nn wakuu..?...
Nataka nitengeneze account View attachment 2196366
Nimeshajisajiliumeshajisajili...? unatakiwa ujisajili kwanza...
Mkuu kipengele cha select course kimeafanya vizuriNimeshajisajili
Mimi imefunguka na nimefika kwenye attachment vyeti vya chuo haifunguki nifanyreje?????
UNAKWAMA nini...?Nyie wenzangu mfumo umewakubalia, manana Mimi kila ninapojaribu kufungua account mfumo unaload tu bila mafanikio yoyote
mimi imenigomea...kuattach vyeti vya chuo....Yeyote wa UDSM aliyefanikiwa ku upload transcript aje atupatie mbinu
mimi imenigomea...kuattach vyeti vya chuo....
IT....wa bongo hiyo kutatua itachukua siku mbili haki vile....kila siku tunaanza upya mbona ajira portal haina majanga kama hayo...Kuna hiki kipengele nimekiwekea mshale. Hakikubali kuendelea.
View attachment 2196532
Ubaya wake ni kuwa bila kukikamilisha huwezi kuendelea mbele ku upload vyeti. sasa sina hakika kama ni mimi tu au kila mtu akijaribu anakwama hapo kama mimi
Namimi kimegoma kabisa kaka.Kuna hiki kipengele nimekiwekea mshale. Hakikubali kuendelea.
View attachment 2196532
Ubaya wake ni kuwa bila kukikamilisha huwezi kuendelea mbele ku upload vyeti. sasa sina hakika kama ni mimi tu au kila mtu akijaribu anakwama hapo kama mimi