Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Duh
Kwahiyo tulio humu hatupo normal!!!?
haha, wanaotafuta wanaume wa kuwaoa, YES! kwa namna moja ama nyingine wana tatizo mahali, otherwise wangeshaonekana huko nje.
Duh
Kwahiyo tulio humu hatupo normal!!!?
julius caesar
mmmmmm! J Subiri kwanza uniijibu sio tunatoa ushauri kumbe mtu mwenyewe ndo ivo tena. Kutoka rohon sema hela iyo unayo???? Maana sion tatizo ungemtumia hata laki then ukaja hapa kuomba ushauri. Mtu mtoaji awezi lalamika kabla hajatoa. Kwanza mtumie then rudi hapa
Usimpe pesa.Kama pesa ndo upendo,hapo hakuna upendo.Msome kwanza&muonane!
Ukiomba hela unaonekana mwizi unajiuza..huna mapenzi ya kweli.
Usipoomba unaonekana malaya mzoefu umekubuhu huna shida ya hela tena,
Sasa tufanyaje???
Siku utakapo kutana na bibi kizee usishangae... Sasa hivi kupata mpz sio ishu kama wengine wanavyo dhani.... Face to face ndio mpango mzuri.
Aiseee kuna viumbe wa ajabu hii dunia hivi mtu unaanzaje kuomba omba hela ovyo
Siuache tuu mwenyewe akuhudumie kwa jinsi moyo wake unavyopenda.
Aisee wadada wenzangu wenye hii tabia tuache aisee tunajiaibisha sana hatujui tuu.
Ila wanaume nanyi mtekeleze wajibu wenu kwa kuwajali wapenzi wenu mnapenda vizuri lakini kugharamia hamtaki.
Kabla ya kuwa na wewe alikua nanapata wp hela?
hilo halina maana coz hata mvua hunyesha na baadae huisha, na hata ikishaisha huitaji mvuke na moshi ili ijitengeneze tena nadhan ushajua ninachomaanixha