babyclassic
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 227
- 39
Njo kwangu mi sijui kuomba helaa ila nachepukaa
Hv Unaanzaje Kumtongoza Mtu Humjui?
Njo kwangu mi sijui kuomba helaa ila nachepukaa
itabidi nivae uhusika wa mleta mada kwa mda...aya nakuja...!!
Karibu sanaaa kijanaaaa
Ulishawahi kujiuliza nini matokeo ya kuomba uchumba,urafiki nk. Kwenye mitando? Kama jibu ni ndio ulichokiomba ulikipata namazingira ya kuanzisha mahusiano katika mitandao ndio hayo, ikiwa kamaulifikiria mara mbili basi kubaliana nalo. Pili kama ulitamani mahusiano yakoyawe ya kuonana uso kwa uso usingetumia social media kuomba mahusiano. Sasaumempata umtakae.
Mtu ambaye hujaonana nae na unamuhofia unawezajekuanzisha mahusiano nae ya kimapenzi ? Kama utasimamia matamshi yako binti huyoulimwadaa kama sio kumrubuni nae akakuamini kiasi cha kukuomba umtimiziemahitaji yake ikiwa ni pamoja na noti! Sasa unashangaa ni nini? Toa noti.
Mtu ambaye moyo wako uradhi dhidi yake bado unamuhofia nakushindwa kusaidia njuluu kiasi za kujikimu!
Anasitahili kutokana na mazingira uliyomjengea tokamwanzo si unampenda why dont you help her now! Kwani shida alizonazo sasa naatakazo kuwanazo baada ya kuonana nae ni tofauti au ndio zitakuwa genuine kamafungu lipo mpe tu anashida.
Asante mkuu kwa ushauri wako!
Njo kwangu mi sijui kuomba helaa ila nachepukaa