Changamoto za kupata wachumba wa mtandaoni

Changamoto za kupata wachumba wa mtandaoni

Uwiii lazima nikuvurugie, kwani wifi yangu hakutoshi??

Haahaaa eti lazima univurugie!! haya sista, nilikuwa napima upepo tu, wifi yako ananitosha sana tu!!
 
Haahaaa eti lazima univurugie!! haya sista, nilikuwa napima upepo tu, wifi yako ananitosha sana tu!!

Hayo ndio maneno sasa!! Uje uhangaike na anononimous huku wakati home kifaa cha ukweli kimetuliaaaa, mwisho uje uanzishe na ww mada huku sijui umeombwa nn!! Siku hz balaa tupu mtu eti akiombwa hela anakuja kuomba ushauri huku, wanaume siku hz hawana maamuzi kabisaaaaa
 
Hayo ndio maneno sasa!! Uje uhangaike na anononimous huku wakati home kifaa cha ukweli kimetuliaaaa, mwisho uje uanzishe na ww mada huku sijui umeombwa nn!! Siku hz balaa tupu mtu eti akiombwa hela anakuja kuomba ushauri huku, wanaume siku hz hawana maamuzi kabisaaaaa

Umeona eeh, na nina kifaa cha nguvu kweli kweli yaani!!

BTW vijana wa dotcom wanalia lia sana, hawana maamuzi wapo wapo tu hawajielewi
 
Sasa unategemea kipindi chote hiki yupo nawe hela amuombe nani we mpe ukimnyima atachepuka kwa asiemjua mwingine
 
Tabia si kitu cha kuonekana kwa siku moja wala mbili...
Ukisema hata uonane naye ana kwa ana kama anakudanganya hutajua...
Kwahyo ukionana naye utajenga trust?...
Kuonana nae na kutoonana nae haimbadilishi kuwa yeye ni nani...
Cha muhimu uwe makini na hiyo distance love mlionayo...
Kutuma pesa au kutotuma pesa ni juu yako...
 
Hastahili kutumiwa pesa hamjaonana anaomba he mkionana si hatari itakua na wewe muombe pesa pia atakupa na hiyo pic aloweka jua kua sio yake na ukitaka amino mwambie aingeie kwenye IMO call video atasema hana imo
 
Mmmh!!! mpe tu kama huna shaka nae, mambo haya hata kushauri mtu unapata ukakasi kwa kweli.
 
Inakuwaje unampenda mrembo kiasi hiki halafu unashindwa kufanya mipango ya kuonana naye uso kwa uso!?

Habari wakuu!,Natumaini mko poa!,

Leo ningependa kutoa ushuhuda wangu juu ya changamoto za kupata wachumba wa mtandaoni!,

Muda mrefu umepita niliwahi kutuma post ya kutafuta mchumba wa kuoa hapa jamii forum!,nashukuru mungu baadhi ya wasichana walirespond vizuri nikafanya nao mawasiliano then nikaamua kuchagua mmoja ambae niliona ananifaa,sema tatizo yeye alikuwa anaishi mkoa mwingine na mmi naishi mkoa mwingine,lakini mmi niliamua kumkubalia tuwe pamoja kwa sababu niliamini IPO siku tungeonana pengine ningeweza kwenda mkoani anapoishi au yeye kuja ninapoishi,

Tulianza kuishi kama wapenzi kwa mawasiliano lakini changamoto iliyojitokeza yule binti alianza kuniomba pesa za matumizi nimtumie lakini mmi sikumpa nilimwambia sina baada ya hivyo binti akaanza kulalamika kuwa mmi simpendi na mambo mengine mengi!,hivi wandugu kweli inawezekana kumhudumia mpenzi ambae hujawahi kuonana nae live yani face 2 face?,ambae pia bado hujamsoma tabia yake vizuri zaidi?,

sio siri huyo binti moyo wangu ulimpenda sana lakini ilikuwa ni mapema sana kumuamini!,hizo pesa alizohitaji nilikuwa na uwezo wa kumhudumia sema sijawahi kumuona live nimeona picha zake2 na tumewasilana kwenye simu2,ningependa maoni yenu wadau kwenye hili!,

Hivi huyu binti anastahili kutumiwa pesa kweli?
 
Umtumie hela ya nini? kabla ya wewe kutangaza nia alikuwa anaishi vipi? Mwambie akope hela aje ulipo umchape nao kwanza uone Kama analipa amsha nae popo mpaka kwa pilato/ustadhi/padre/mchungaji mkafunge ndoa.
 
Saa nyingine anakupima tu, kuangalia utu wako. Si ajabu hana ht shida na hiyo ela. But fanya unavyoona wew
 
Siku utakapo kutana na bibi kizee usishangae... Sasa hivi kupata mpz sio ishu kama wengine wanavyo dhani.... Face to face ndio mpango mzuri.
 
Back
Top Bottom