Changamoto za kupata wachumba wa mtandaoni

Changamoto za kupata wachumba wa mtandaoni

Saa nyingine anakupima tu, kuangalia utu wako. Si ajabu hana ht shida na hiyo ela. But fanya unavyoona wew

Huku sio kupimana. huwezi mpima mtu kwenye hela kwamba atakuwa anakuhonga au.
ila ukweli ni kwamba wadada wengi sana mtaani ambao wametulia ila sie tunahangaika na micharuko inayowaza kuhongwa na matanuzi tu.
wengine anachojali yeye ni upendo kama ni hela hata yeye atakupa. hana shida ya kuanza kukujaribu kama unatoa hela au la.
tatizo tunatafuta wanawake bar, club nk
 
Ukiomba hela unaonekana mwizi unajiuza..huna mapenzi ya kweli.
Usipoomba unaonekana malaya mzoefu umekubuhu huna shida ya hela tena,
Sasa tufanyaje???
 
ukiomba hela unaonekana mwizi unajiuza..huna mapenzi ya kweli.
Usipoomba unaonekana malaya mzoefu umekubuhu huna shida ya hela tena,
Sasa tufanyaje???

uwe mpoleeeeeeeeee
 
julius caesar

Wake Up Mkuu!!what if ni dume mwenzio ametumia pic za mrembo fulani???Mrembo anayetanguliza pesa mbele faster namna iyo si wa kumuamini aisee....Sasa we tuma hata mil1 kisha aku block kimoja uje uombe ushauri tena kua umeingizwa mjini!Mabinti na nyinyi msiweke pesa mbele wakati mwingine mnapoteza waume wa maana kwa hizi pupa
 
Last edited by a moderator:
usitume hela mkuu kwanza ukituma utawafaidisha tgo pesa au mpesa wakati hata mtu mwenyewe hujamuona picha nazo skuhiz chenga kuna ma 360 ma photshop
 
julius caesar

mmmmmm! J Subiri kwanza uniijibu sio tunatoa ushauri kumbe mtu mwenyewe ndo ivo tena. Kutoka rohon sema hela iyo unayo???? Maana sion tatizo ungemtumia hata laki then ukaja hapa kuomba ushauri. Mtu mtoaji awezi lalamika kabla hajatoa. Kwanza mtumie then rudi hapa
 
Last edited by a moderator:
ukiomba hela unaonekana mwizi unajiuza..huna mapenzi ya kweli.
Usipoomba unaonekana malaya mzoefu umekubuhu huna shida ya hela tena,
Sasa tufanyaje???

usinambie kumbe ndio ilivyoo makubwa
 
Boss, sidhani kama kuna Mwanamke/Manzi yeyote humu ambaye utatangaza unatafuta mchumba/mke, ajitokeze na awe normal. Lazima ana flaws za kutosha ndio maana kashindwa kupata mtu in the real world. Vizuri havipatikani kirahisi kamwe. So wanaojitokeza kutangaza hizo nafasi, inabidi wawe wamejiandaa kisaikolojia.

Duh
Kwahiyo tulio humu hatupo normal!!!?
 
Ila ni kweli wanawake mnajiaibisha sana kwenye mitandao tena unakuta mwingine ata mjamtongiza anakuambia "mpezi nitumie ela ya saloon" sasa haya mapenzi yameanza lini afu analazimisha msiwe hivyo jamani.
 
Back
Top Bottom