Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
hapo sawaHa ha ha maneno tu si vitendo
hapo sawaHa ha ha maneno tu si vitendo
Aisee...yaani 36 sitafika bila ndoa.36yrs
sijui
sawaSasa hujui tena halafu unamshauri hili haliwezekani kabisa.
sawa
...sina..Unaonekana una uzoefu mkubwa sana wa mambo ya ndoa. Tupe uzoefu sisi mabarobaro ili tujipange
...sina..
Barobaro ndio nini?
Kwanini huoi sasa?
Mungu wangu!usidhan ndoa ni lelemama mkuu..eti mtatumia zako
..nakushauri usioe tu basi



hahhaaa umeamua ufe bachel kabs bada gaa changamoto hizo?Mimi naona mipango yangu ya kuoa tena imeanza kufikia kikomo
Wewe pia sio single father?Hakika.
Mabinti wa miaka 25-30 wengi wan watoto bila ndoa. Kumkuta mwakamke ana miaka 30 na hana mtoto ni nadra sana.
Kwa mimi ambae msimamo wangu ni kutokuoa single mom, inanipatia shida sana ingawa mimi bado sijafikia senior bachelor.
Kumbe wewe ni Dr?Ni pale unapopata tatizo la kukupeleka hospitali, patient history inakuwa hivi;
A patient is a 50 yrs old male, never bn married. He lives by himself, un able to look after himself.
Next of kin in case of an emergency? Querry a brother ?
Katika hali hiyo hata sanamu la Michelin utalitamani.
nadhani huwa ni baru baru na si baro baro,Barobaro ndio nini?
Vijana ambao hawaja oa.
Aisee. Nilidhani ni masharobaro
SioWewe pia sio single father?