DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,904
Mambo mengiNa wewe hujaoa?😛
muda mchache
Wewe ushaolewa mdogo wangu ?
Mambo mengiNa wewe hujaoa?😛
Dada yako Mimi,nitafutie kaka yako anioeMambo mengi
muda mchache
Wewe ushaolewa mdogo wangu ?
Wapi hukoChizas! Kuna mtu anaelekezwa kiblah
Ni wivu tu.Chizas! Kuna mtu anaelekezwa kiblah
JamaniSasa unakuta mwanaume hana mashine anafua mwenyewe, anapika mwenyewe, anapasi mwenyewe, chakula chake kitamu kuliko cha wanawake wengi, anaosha vyombo mwenyewe, akienda shopping anajua viungo vyote hadi tenderriser na hasahau kutokununua hata kimoja.
Sufuria zake saafi anazisugua na steelware kuchwao, anapata wageni wa kike na wa kiume kila weekend, akienda kazini ana pack chakula alichopika yeye, Wanawake wake hawapiki anawapikia wanasubiria chakula chake huku wanaangalia +EVA. Anaalikwa kwenye sherehe anahudhuria hasahau.
Sasa huyu aoe ili iweje? Anachokosa nisex tu.
Chizas! Kuna mtu anaelekezwa kiblah
Kama uanzo pesa lkn, ukiwa pangu pakavu, labla uendwe AsiaYote maisha, ila afrika hukosi wa kuishi nae.
Nilipointiwa single mother na father house mtoto akaletwa pini kweli. Sasa kujiridhisha nikaona nimjue mzazi mwenzie isee wahuni sio watu
Nimekuelewa... usisahau kunipa mrejesho kazi ikifanyika kwa mafanikio
😂😂😂😂😂heMimi changamoto nazopitia.
1. Watu wengi wanahisi mimi muhuni, wanajiuliza kwa nini sioi?
2. Wakati mwingine huaminiki na familia za marafiki zako, wanahisi utawaambukiza waume zao uhuni.
************
Kwenye kutafuta mke sidhani Kama ni changamoto kwangu, maana standards zangu ni za kawaida tu. Cha muhimu awe na chura akili tutatumia zangu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
We umeolewa?Ni pale unapopata tatizo la kukupeleka hospitali, patient history inakuwa hivi;
A patient is a 50 yrs old male, never bn married. He lives by himself, un able to look after himself.
Next of kin in case of an emergency? Querry a brother ?
Katika hali hiyo hata sanamu la Michelin utalitamani.
hakuna wakukutisha, ndio ukweli huo....Mnatutisha sasa
Baadae "professional bachelor"Chief usikate tamaa

Allah anijalie kabla sijafika huko. probably this yearField marshal
Yani hapo ndio penyewe yani mwanamke anataka uanze kumbembeleza bembeleza wakati we umechoka unataka upumzike mara aone humpendi yani kero tupuTena unakuta ule mda unaitaka kupumzika ndio anakuchokonoachokonoa. Ilisha nikuta sana hii