Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

😀 😀 😀 mbona aijafungwa
There you go...au kuna admin ananibania
Screenshot_20190511-105210.jpeg
 
Katika wakuu wa vitengo wote wa shirika letu me pekee ndio bachelor. Nasemwa sana kila harusi napigwa madongo. Napata tabu sana wakati ndio kwanza nakaribia 30.
 
Mi nilioa 38 yrs, mambo safi tu, ila nilichoona inabidi Mungu akujalie upate mtoto mapema, kuhusu kwichikwichi bado stimu ipo sana tu, Ila tatizo ukiooa wife hajaenda shule yaani wa kiule nyumbiiibombiiii ndio utakoma ubishi. Wanawake wasiosoma hawana ile kujali muda kwamba kila jambo linafanyika kwa wakati, labda umuelimishe au utumie ukali kidogo utakuta amekuja jamaa yake wanapiga store, we unasubiri chai baada ya store anamsindikiza na anaweza kusahau kama aliacha mtu anasubiri chai

Vinginevyo Senior Bach unakuwa focused sana na familia..
 
PRONDO:
Kuna sehemu umesema,

"Wewe una 60 mtoto ana 37,lazima ugongewe".

Inategemea na mtindo wa maisha uliyoishi.Kuna mzee mmoja namfahamu ana miaka 72 ana wake watatu,mke wake wa tatu ana miaka 25.
Na huwa anashangaa vijana wanaolalamika kuhusu nguvu za kiume.Anaamini hakuna dawa ya nguvu za kiume na huo ugonjwa haupo kama ulizaliwa timamu.Anashangaa kijana wa miaka 27 analalamika nguvu za kiume na kutafuta dawa.

Anakwambia hata mke wake mdogo anamtambua vizuri.Anapiga goli 3+ hata ukimuona yuko vizuri ni mkakamavu.Tatizo ni vyakula na mapombe ndio vinatusumbua vijana.
Mmmm
 
Ma senior Bachelor nawaombea kwa Mungu mwaka huu afungue milango ya kuoa na kuolewa muondokane na hiyo adha jamani.Unajua muda mwingine unaweza ukawa umefanikiwa kwenye kila nyanja kiroho,kiuchumi na kiakili ila shetan anakua anakuchezesha au kukufunga kwenye mahusiano ili ufel tu hivyo vingine.Tusichoke kusubiri ila cha muhimu tunatakiwa kuwa na utayari kutoka ndani,sio kujilazimisha.
Upo vizuri.. kama hujaolewa naomba fanya uwezalo utupunguzie walau senior bachelor mmoja.
 
Mi nilioa 38 yrs, mambo safi tu, ila nilichoona inabidi Mungu akujalie upate mtoto mapema, kuhusu kwichikwichi bado stimu ipo sana tu, Ila tatizo ukiooa wife hajaenda shule yaani wa kiule nyumbiiibombiiii ndio utakoma ubishi. Wanawake wasiosoma hawana ile kujali muda kwamba kila jambo linafanyika kwa wakati, labda umuelimishe au utumie ukali kidogo utakuta amekuja jamaa yake wanapiga store, we unasubiri chai baada ya store anamsindikiza na anaweza kusahau kama aliacha mtu anasubiri chai

Vinginevyo Senior Bach unakuwa focused sana na familia..
Uliona mkeo ana umri gani?
 
Ma senior Bachelor nawaombea kwa Mungu mwaka huu afungue milango ya kuoa na kuolewa muondokane na hiyo adha jamani.Unajua muda mwingine unaweza ukawa umefanikiwa kwenye kila nyanja kiroho,kiuchumi na kiakili ila shetan anakua anakuchezesha au kukufunga kwenye mahusiano ili ufel tu hivyo vingine.Tusichoke kusubiri ila cha muhimu tunatakiwa kuwa na utayari kutoka ndani,sio kujilazimisha.
'tusichoke'....na wewe umo?
 
Ni pale unapopata tatizo la kukupeleka hospitali, patient history inakuwa hivi;

A patient is a 50 yrs old male, never bn married. He lives by himself, un able to look after himself.

Next of kin in case of an emergency? Querry a brother ?

Katika hali hiyo hata sanamu la Michelin utalitamani.
Simple......naajiri mtu Wa kunihudumia akisaidiana Na wanangu
 
Uliona mkeo ana umri gani?
nilimzidi miaka 9 au 10 sina uhakika sana yaani alikuwa 26 au 27 nilisahngaa sana kukuta bikra pale katika umri ule nilioa kanisani kwa heshima zote. Shida mimi sikuwa bikra na nilitaka mgegedo wa kushiba ilibidi niende slow slow. Kwasasa nae kanenepa na tofauti inaonekana ndogo.
Mi naona kuoa senior bach kumenisaidia kuwapenda sana watoto na familia kwa ujumla kuangalia familia tunakwenda wapi na nini cha muhimu, kwasababu katk umri huu upuuzi mwingi wa duniani unaujua faida na hasara.
 
Hakuna shida ukioa uemchelewa tena hakuna kitu kizuri kama hicho.
Japo kuoa ukiwa middle age sio mbaya nijambo zuri zaidi.
 
Back
Top Bottom